Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Hapana alaf sio wengi nawaheshimu nao wananiheshimuUliowaona hakuna aliyevutwa na macho yako?🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana alaf sio wengi nawaheshimu nao wananiheshimuUliowaona hakuna aliyevutwa na macho yako?🤣
Hahaha kwani kuheshimiana manake hamuwezi kulianzisha!Hapana alaf sio wengi nawaheshimu nao wananiheshimu
Il nikute picha ya underwear yangu kwenye Uzi wa mtu ndo unachotaka 😂😂😂Hahaha kwani kuheshimiana manake hamuwezi kulianzisha!
👍
Hakuna wanaume wa hivyo bwana!Il nikute picha ya underwear yangu kwenye Uzi wa mtu ndo unachotaka 😂😂😂
Halafu sahv simuoni kabisa au kabadili user name?Na Kuna yule alikuwa anajifanya ana migodi ya madini kumbe ni ni mdangaji aliumbuka vibaya 🤣 💔
Karibu sana mkuu 🤝🤝Aseeh na bado nazidi kujifunza yaan hapa nna app mbili tu WhatsApp na jamii forum kwingine naona bdo bado ... Nafurah kuwa huku..
Sahv kanenepa nenepa boss wetu🤓Katika mtandao unaowaumiza vichwa TISS ni huu wa JamiiForums
Na siku hizi wakigundua wewe ni wa kiume wanakutumia madem inbox unase wamalizane nawe. Wakigundua ni dem wanakutumia nauli na ya kutolea ndo mwisho wako.
JF tupo wengi sana lakini uangalifu wetu umeyusaidia kudumu hadi sasa.
Kongole kwa team nzima ya JF chini ya slim Maxence Melo
Wengi walibadili ID na kuja kivingine , wengine wanapita kimya kimya kama huyo miss chitchat chaming L last see inasoma jumanne🤣Halafu sahv simuoni kabisa au kabadili user name?
Ila wanawake walibanduliwa sana kipindi hiko, japo wapo wanaume waliokuwa wanatoa kweli mpunga mrefu ili kupata mademu.
Nakumbuka kuna demu mmoja alishindaga miss chitcht sikumbuki mwaka kama sio 2012 basi 2013 alibanduliwa sana na wanaume wa humu japo nae alikuwa mtoto wa mjini alikula sana pesa za wanaume humu.
Kuna yule kaka wa Arusha aliyekuwa anagawa dola kwa demu alimpenda nasikia kachapa sana mademu wa Arusha mpaka akawaambukiza gono halafu mada ikaja jukwaani, weeeeeee!!!!
Acha kabisa
Mtu anashindia salads za kukaanga na robo paja la kuku, unene autoe wapi bana😂😂😂😂Sahv kanenepa nenepa boss wetu🤓
😂😂😂 Ya kweli hayo au unataka mods wakulishe banMtu anashindia salads za kukaanga na tobo paja la kuku, unene autoe wapi bana😂😂😂😂
Hapana boss..... Nidokeze kunani humo ?Karibu sana mkuu 🤝🤝
Japo kuna majukwaa waweza pata nondo za uhakika.
Hv ulikuwepo enzi za Jukwaa la Wakubwa🤭?
Mbona jamani hukusema kuwa halooo.... Hamjambo Wana JF wenzangu🤗, ukajikausha tu🙆, Mungu hapendiNilikutana na Mshana Jr, Pascal Mayalla, princess ariana, na Dkt. Gwajima D bila wao kujua kuwa kama Mimi ni mtumishi wa JF.
Wote ni watu wema.
Hata jambo mwanaJF mwenzangu hakuna, ukakaa kimya 🙆Wapo wengi tu hawa kina Mbowe,zito,slaa , Kigwangalla,kitila na n.k na juzi nimekutana na Dk Gwajima
USSR
Hahahaha!Mbona jamani hukusema kuwa halooo.... Hamjambo Wana JF wenzangu🤗, ukajikausha tu🙆, Mungu hapendi
Kusalimiana jamani jambo jema 😅Hahahaha!
Next time tukikutana tutayajenga 😅😆
Fact 💯%.Kusalimiana jamani jambo jema 😅
Inshallah Mungu atatujaalia mkuu🙏