AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Okay, safi sana mkuu kama ulikuwa unaifuatilia tangu hapo awali.Yep nimejiunga rasmi 2022...... Before nilikuwa nasoma tuu kupitia google since 2014-15 hapo, nilipogundua Kuna hii jamii forum...... ko sikuwa naifatilia kihivyo kama sasa hivi madam
Ila humu palikuwa pa moto sana.
Na pakaanza kupoa baada ya baadhi ya members kuanza kufungua magroup ya WhatsApp na kuanza kujizolea wana jukwaa