Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Yep nimejiunga rasmi 2022...... Before nilikuwa nasoma tuu kupitia google since 2014-15 hapo, nilipogundua Kuna hii jamii forum...... ko sikuwa naifatilia kihivyo kama sasa hivi madam
Okay, safi sana mkuu kama ulikuwa unaifuatilia tangu hapo awali.
Ila humu palikuwa pa moto sana.
Na pakaanza kupoa baada ya baadhi ya members kuanza kufungua magroup ya WhatsApp na kuanza kujizolea wana jukwaa
 
Okay, safi sana mkuu kama ulikuwa unaifuatilia tangu hapo awali.
Ila humu palikuwa pa moto sana.
Na pakaanza kupoa baada ya baadhi ya members kuanza kufungua magroup ya WhatsApp na kuanza kujizolea wana jukwaa
Hizo group za WhatsApp zipo active? Au ndo zishapoteana ?

Nimekuwa nikipata vitu vingi humu hususani kupata shule nzuri advance, pamoja na Mambo mengine niliyohitaji assistance kama kazini nilikuwa ofisi ambayo Haina mwelekezaji zaidi umpigie simu mtu yupo eneo jingine akupe maelekezo,

Lakini kupitia humu nilijua vitu kiasi chake katika ile kazi bila ya yule muongozaji wa awali...
 
Hizo group za WhatsApp zipo active? Au ndo zishapoteana ?

Nimekuwa nikipata vitu vingi humu hususani kupata shule nzuri advance, pamoja na Mambo mengine niliyohitaji assistance kama kazini nilikuwa ofisi ambayo Haina mwelekezaji zaidi umpigie simu mtu yupo eneo jingine akupe maelekezo,

Lakini kupitia humu nilijua vitu kiasi chake katika ile kazi bila ya yule muongozaji wa awali...
Yes, baadhi ya groups ziko active na nyingine zilijifia zenyewe.
Hongera kwa kufanikisha baadhi ya kazi kupitia Jf
Humu kuna rika mbalimbali na maoni pambanuzi ya baadhi ya watu.
Safi sana.
 
Yes, baadhi ya groups ziko active na nyingine zilijifia zenyewe.
Hongera kwa kufanikisha baadhi ya kazi kupitia Jf
Humu kuna rika mbalimbali na maoni pambanuzi ya baadhi ya watu.
Safi sana.
Aseeh na bado nazidi kujifunza yaan hapa nna app mbili tu WhatsApp na jamii forum kwingine naona bdo bado ... Nafurah kuwa huku..
 
Kuna jamaa fulani nilimuona kwenye daladala tulikaa siti moja kabisa alikuwa amevaa tisheti ya blue imeandikwa jamii forums.

Nilikuwa nimekaa nimetulia nafanya makisio yangu huenda labda huyu ni Mod au mmojawapo wa wafanyakazi wa JF.

Ili sikutaka tujuane.
Huyo uliye muona na tisheti ndo mimi sasa...
Hbr za cku kiongozi...
 
Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Nipo nao kwenye group moja la watsap, kuna lijamaa limoja linapenda kujifanya lijuaji utafkir paulo makonda
 
Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Katika mtandao unaowaumiza vichwa TISS ni huu wa JamiiForums
Na siku hizi wakigundua wewe ni wa kiume wanakutumia madem inbox unase wamalizane nawe. Wakigundua ni dem wanakutumia nauli na ya kutolea ndo mwisho wako.

JF tupo wengi sana lakini uangalifu wetu umeyusaidia kudumu hadi sasa.

Kongole kwa team nzima ya JF chini ya slim Maxence Melo
 
Back
Top Bottom