The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
-
- #21
π€£π€£π€£ Duh job true true ndo hii sasaDuuh mkuu nilisafiri juzi kati toka Kilwa kuja kwa Chalamila..nilipanda Buti la Zungu, kufika Nangurukuru tulisimama Mashujaa kuchimba dawa..nikajiangalia kwenye kioo nikajikuta nimekutana na mimi..nilifurahi sana!
Najua mliienjoy sana kwa kupiga stori zisizoisha za JFNilikutana nae 2015. Tulikua safarini mwenye bus tumekaa seat moja nikaona mdada anafungua JF. Baada ya hapo sijawahi kumuona mwingine
Huwenda alikuwa ni mfanyakazi wa JFKuna jamaa fulani nilimuona kwenye daladala tulikaa siti moja kabisa alikuwa amevaa tisheti ya blue imeandikwa jamii forums.
Nilikuwa nimekaa nimetulia nafanya makisio yangu huenda labda huyu ni Mod au mmojawapo wa wafanyakazi wa JF.
Ili sikutaka tujuane.
Jamaa sio tu chizi ila ana madini.Chizi Maarifa ni chizi kweli?
Na aliliwa kimasihara π€£.Najua mliienjoy sana kwa kupiga stori zisizoisha za JF
Tulizigusia na kutaja majina kadhaa ya watu tunaowafahamu...sana sana tuligonga sofiero piaStori za JF hamkgusia hata kidogo?
Unatumikia nafasi gani huku JF?!Nilikutana na Mshana Jr, Pascal Mayalla, princess ariana, na Dkt. Gwajima D bila wao kujua kuwa kama Mimi ni mtumishi wa JF.
Wote ni watu wema.
Sina nafasi yoyote mkuu ila nipo kama sipo.Unatumikia nafasi gani huku JF?!
Ooh uliposema mtumishi wa JF nikajua wewe ndiye huwa unagawa BANSina nafasi yoyote mkuu ila nipo kama sipo.
πππ Dah πππNa aliliwa kimasihara π€£.
Pamoja sana mkuu πTulizigusia na kutaja majina kadhaa ya watu tunaowafahamu...sana sana tuligonga sofiero pia
π Ulitaka uanze kumshushia ya moyoni nini? Maana watu wana hasira na modsOoh uliposema mtumishi wa JF nikajua wewe ndiye huwa unagawa BAN
Aah mkuu serious?Samia ana account humu maarufu lakini sitaji
Ni mkongwe lakini, hongera yako πMimi bado.