Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Kuna ki IST Cha mshikaji wangu mmoja huwa tunapitianaga kwenda Job/ mishe mishe.

Huwa asubuh jamaa anasanya 2500 kariakoo siku moja mwezi ulio pita tulimpakiza dada mmoja kavaa full HIJABU tumeenda nikiwa nimekaa nae siti ya nyuma nikaona ana soma vitu jamii forum.

Tulikua watatu nyuma Mimi na jamaa mmoja na huyu dada ikanibidi nikate story na jamaa nianze kuongea na bi dada.

Maongezi.

Mimi: mshangao kumbe upo jamii forum.

Dada: ndio nipo muda tuu.

Mimi; nimeshangaa kuona mdada Kama wewe unamfaham jamii forum

Dada: nipo kitambo Mimi ni memba naendelea Sana kusoma soma nyuzi tofauti tofauti.

Tukaanza kujadili member mbali mbali akamtaja mshana jr, gwajima, gentamicin, faizafoxy n.k

Piga story Sana akasema wasomi, makabwela na viongozi na watu mbali mbali wengi na wapo Jf tunapigana vikumbo.

Huyu dada alikua amevaa HIJABU fully.

NB.
Pia Kuna washikaji baadhi hapa Jf nafanyanao business tupo kwenye field moja ya pharmaceutical industry.
 
Habari za muda huu wanajamvi!

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?

Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana

Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.

#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Nilikutana na mwana Jf kwenye basi la ABOOD, lililokuwa linatokea Mwanza,
Alikuwa amekaa siti ya pili kutoka siti za mwisho nyuma ya basi.
Alikuwa amevaa kapelo nyeusi, t-shirt ya blue na jeans ya bluu, begi jeusi la mgongoni na mkononi kashika jacket jeusi lililochanganyika na unjano.
Nilisikia anaongea na simu kuwa anaenda kumtembelea dada yake aliyekuwa mgonjwa Morogoro (alishukia Msamvu).

Wakati anatoa begi juu ya gari kwa ndani akadondosha kitambulisho cha upolisi.
Na wakati wa safari alikuwa anachati huku kiganja cha kushoto kaziba sehemu ya username wakati wa ku-reply comments.
 
Kuna ki IST Cha mshikaji wangu mmoja huwa tunapitianaga kwenda Job/ mishe mishe.

Huwa asubuh jamaa anasanya 2500 kariakoo siku moja mwezi ulio pita tulimpakiza dada mmoja kavaa full HIJABU tumeenda nikiwa nimekaa nae siti ya nyuma nikaona ana soma vitu jamii forum.

Tulikua watatu nyuma Mimi na jamaa mmoja na huyu dada ikanibidi nikate story na jamaa nianze kuongea na bi dada.

Maongezi.

Mimi: mshangao kumbe upo jamii forum.

Dada: ndio nipo muda tuu.

Mimi; nimeshangaa kuona mdada Kama wewe unamfaham jamii forum

Dada: nipo kitambo Mimi ni memba naendelea Sana kusoma soma nyuzi tofauti tofauti.

Tukaanza kujadili member mbali mbali akamtaja mshana jr, gwajima, gentamicin, faizafoxy n.k

Piga story Sana akasema wasomi, makabwela na viongozi na watu mbali mbali wengi na wapo Jf tunapigana vikumbo.

Huyu dada alikua amevaa HIJABU fully.

NB.
Pia Kuna washikaji baadhi hapa Jf nafanyanao business tupo kwenye field moja ya pharmaceutical industry.
Comment bora mpaka sasa ya uzi huu, Hakika watumiaji ni wengi sana na hao mliowataja nahisi kuna wasanii hawawafikii kwa umaarufu.

Binafsi naamini mtu aliye JF anakitu cha ziada kichwani mwake
 
Nilikutana na mwana Jf kwenye basi la ABOOD, lililokuwa linatokea Mwanza,
Alikuwa amekaa siti ya pili kutoka siti za mwisho nyuma ya basi.
Alikuwa amevaa kapelo nyeusi, t-shirt ya blue na jeans ya bluu, begi jeusi la mgongoni na mkononi kashika jacket jeusi lililochanganyika na unjano.
Nilisikia anaongea na simu kuwa anaenda kumtembelea dada yake aliyekuwa mgonjwa Morogoro (alishukia Msamvu).

Wakati anatoa begi juu ya gari kwa ndani akadondosha kitambulisho cha upolisi.
Na wakati wa safari alikuwa anachati huku kiganja cha kushoto kaziba sehemu ya username wakati wa ku-reply comments.
Hahaha hivi ni kwa nini member huwa hawataki kufahamika uhalisia wao?
 
Back
Top Bottom