Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Hahaha hivi ni kwa nini member huwa hawataki kufahamika uhalisia wao?
Nadhani hii inatokana na ufeki wa baadhi yetu hapa jukwaani.
Let's say labda mie Katrina najisifu hivi na vile halafu unanikuta katika uhalisia sipo kama ninavyojisifu unategemea moto wake hapa jukwaani utakuwaje?
Halafu sikuhizi kuna.....ambatanisha picha....
Yaani mtu akinijua kuwa mimi ndo fulani atanipiga na picha kisha itakuwa mada jadiliwa hapa jukwaani
Sasa katika kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizo ndo tunaona heri tusifahamike tu😁😁
 
Comment bora mpaka sasa ya uzi huu, Hakika watumiaji ni wengi sana na hao mliowataja nahisi kuna wasanii hawawafikii kwa umaarufu.

Binafsi naamini mtu aliye JF anakitu cha ziada kichwani mwake
Very true yule dada nilipo muuliza akasema yeye hayupo Instagram, TikTok

Ni kweli jamii forum ni jukwaa halisi la watu wenye kitu KICHWANI.

Yule dada nilikua interested nae yupo vizuri upstairs ana logic unajua humu jamvini Tunapata CHAKULA ya UBONGO.
 
1.2019 nipo kwenye Coaster natoka Arusha kwenda Moshi...Nilikaa ile siti karibu na mlangoni...nipo JF kuna Uzi mmoja ulikuwa hot sana na Dada mzuri Heaven Sent kuna ushauri alikuwa anautoa kwenye hiyo mada..nikawa nafuatilia kwa makini sana wakati huo sikuwa active sana hapa jukwaani...kufika Machame road kuna Abiria akashuka Mkaka( si haba)😃wakati anashuka akaniambia kumbe wewe ndiyo Makiseo( ID yangu ya mwanzo).

2. Kibaruani kwangu...Kuna mmojawapo alinibamba...Kipindi App ikiwa ipo poa...Ila hakuona ID...Akaniambia kumbe Familia😄
 
Nadhani hii inatokana na ufeki wa baadhi yetu hapa jukwaani.
Let's say labda mie Katrina najisifu hivi na vile halafu unanikuta katika uhalisia sipo kama ninavyojisifu unategemea moto wake hapa jukwaani utakuwaje?
Halafu sikuhizi kuna.....ambatanisha picha....
Yaani mtu akinijua kuwa mimi ndo fulani atanipiga na picha kisha itakuwa mada jadiliwa hapa jukwaani
Sasa katika kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizo ndo tunaona heri tusifahamike tu😁😁
sisi watu wagambe tuna kutana tu tunaweka vitu mbavuni wala hakuna nongwa🤣
 
Very true yule dada nilipo muuliza akasema yeye hayupo Instagram, TikTok

Ni kweli jamii forum ni jukwaa halisi la watu wenye kitu KICHWANI.

Yule dada nilikua interested nae yupo vizuri upstairs ana logic unajua humu jamvini Tunapata CHAKULA ya UBONGO.
Sana yani ukiona mdada mpaka kafika huku na kawa member kwa mda mrefu jua kabisa huyo anakitu cha ziada kichwani.

Jamii Forums ni maisha halisi na ni msaada mkubwa kwa jamii na nchi kwa u jumla.
Kongole nyingi kwa Maxence Melo
 
1.2019 nipo kwenye Coaster natoka Arusha kwenda Moshi...Nilikaa ile siti karibu na mlangoni...nipo JF kuna Uzi mmoja ulikuwa hot sana na Dada mzuri Heaven Sent kuna ushauri alikuwa anautoa kwenye hiyo mada..nikawa nafuatilia kwa makini sana wakati huo sikuwa active sana hapa jukwaani...kufika Machame road kuna Abiria akashuka Mkaka( si haba)😃wakati anashuka akaniambia kumbe wewe ndiyo Makiseo( ID yangu ya mwanzo).

2. Kibaruani kwangu...Kuna mmojawapo alinibamba...Kipindi App ikiwa ipo poa...Ila hakuona ID...Akaniambia kumbe Familia😄
Tena wa nyumbani humu ni wengi kama nyumbu wa serengeti ukijichanganya tu ni rahisi kujulikana🤣
 
Back
Top Bottom