Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
She is wife of m
Y life now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Y life now
Upande wangu naona ni kinyume chake..🤣🤣🤣
Kwa mimi binafsi naona Id za kiume hazina mambo mengi
Ngoma ngumu ipo huku kwetu kwenye id za kike.
Yaani tunasoma jf kwa shida sana tukiwa kwenye mikusanyiko
Muda mwingine ni uhalisia na muda mwingine ni kuichangamsha tu JF 😄,Sasa kama nyie wanaume mnatambua hili, kwanini kila siku mada za kutuponda na kutusagia wanawake haziishi humu Jf?
Lucas Mwashambwa.View attachment 3168109
Yule jamaa ambaye kila kikizungumzwa kuhusu bimkubwa wa nchi fulani anabubujikwa na machozi...Hata hatujasaliamiana tu akaanza kububujikwa na machozi ya furaha sijui alidhani tuko kwenye kampeni.
SIJAMTAJA MTU.
Harmonize anakuambia "Kama unamjua , mtaje"
Nawaachia mwaisa wenu mnamjua.
Kabisa.Yeah, na ndio maana kule juu nikasema tukijulikana huo moto wake sio poa huku Jukwaani, tena haswa haswa mleta mada awe na uhakika wa picha acha kabisa🥺
Sio wiki tu, ni mwezi mzima 😂Bora muwe hivyo hivyo asee, mkikutana na vijana wa ovyo mkajisahau ni rahisi mno kuwa mada ya wiki humu.
Makiwendo dada yangu siku moja tuonane aseee🤔Upande wangu naona ni kinyume chake..
Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopitaBora muwe hivyo hivyo asee, mkikutana na vijana wa ovyo mkajisahau ni rahisi mno kuwa mada ya wiki humu.
Hapana.Upande wangu naona ni kinyume chake..
Una kifua Wakwetu🤣Makiwendo dada yangu siku moja tuonane aseee🤔
Nilijisikia burdaaniHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Unajua humu tuko rika anuai.Muda mwingine ni uhalisia na muda mwingine ni kuichangamsha tu JF 😄,
Ila naamini wewe kama wewe tayari una kitu cha ziada 🙌
Sasa mbona ni ngori wajameni.Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Duh hii ni mbaya sana , na itakua imesababisha wengi wakose fursa njema humu 🤔Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika