AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
HatariKabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariKabisa.
I hope umepata kichwa haswaaShe is wife of m
Y life now
Tutajie ID zao mkuu, sio dhambi kama wamepoteaKuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
AiseeSasa mbona ni ngori wajameni.
Yaani unamdnganyanga demu alafu kumkulanga hutiki.
Hahaha na uzee wangu huu kwa nini nikose kifua wakwetu 🤣Una kifua Wakwetu🤣
We, hapanaTutajie ID zao mkuu, sio dhambi kama wamepotea
Yaani Mimi nikishamtongoza mtu nikakutana kwa bed namkula. Siwezangi kupiga picha.Aisee
Duh kumbe ndo mapaka wana wanafikia huko, hii sio tabia njema kwa maana wanafanya watu wapate uoga kuanzisha mahusiano kupitia JF.Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.
Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Hapana, kuna wastaarabu tu na kila siku tunaonana nao ila ogopa sana mtu anakuja tu Pm bila taarifa halafu anakwambia anataka siku mtoke mkanywe bia, kimbia mbio👣👣👣huo mtegoDuh hii ni mbaya sana , na itakua imesababisha wengi wakose fursa njema humu 🤔
Hatari sana very very bright sikutegemeaI hope umepata kichwa haswaa
Sogea holiday inn pale agiza chochote we endelea kula mimi niko njiani nakuja na mwendokasi ya kibaha ndio tunatoka kituoni hapa nipe dakika tano 😎🤣🤣.(Nitumie buku 5 mix by yas nkishuka mwendokas nichukue boda ya buku nkifka hapo nakupa cash mkuu)
Hakika hapo ndio kuna changamotoUnajua humu tuko rika anuai.
Na kila mtu ana uhuru wake, sasa jinsi ya kuutumia huo uhuru sasa, hapo ndo ngoma ngondoigwa🫀🫀👅
Limeisha hilo.Sogea holiday inn pale agiza chochote we endelea kula mimi niko njiani nakuja na mwendokasi ya kibaha ndio tunatoka kituoni hapa nipe dakika tano 😎🤣🤣.(Nitumie buku 5 mix by yas nkishuka mwendokas nichukue boda ya buku nkifka hapo nakupa cash mkuu)
Hongera sana mkuu 🙌Hatari sana very very bright sikutegemea
Kabisa, wanawakosesha wengine uhondo.Duh kumbe ndo mapaka wana wanafikia huko, hii sio tabia njema kwa maana wanafanya watu wapate uoga kuanzisha mahusiano kupitia JF.
Japo wengine wanaogopa kwa sababu wanaamini ID nyingi za kike ni fake zinatumika na wanaume kutafuta attention ⚠️ tu
KabisaHakika hapo ndio kuna changamoto