Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa JF katika maisha ya uhalisia (Jamii)?

Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.

Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Tutajie ID zao mkuu, sio dhambi kama wamepotea
 
Kuna mada moja ililetwaga humu miaka kama 4 au 5 iliyopita
Kipindi hiko humu Jf kila mwanamke anajiita pisi
Jamaa akaomba mchezo na pisi moja pm, akakubaliwa, kumbe bwana ulikuwa mchongo.
Yule dada kafika lodge kumbe jamaa kategesha camera chumbani.
Yule dada hatakuja kusahau ile aibu halafu wote tulikuwa tunamuona bonge la demu na mkali balaa hapa jukwaani, kumbe hakuna kitu na ni aibu sana.
Pia kosa kubwa alilofanya yule dada ni kuchati kupitia Pm mpaka sura yake.
Jamaa aliscreenshot kisha akaja na uzi wenye naked video ya yule dada pamoja na picha zake.
Jamaa alikula life ban na ile Id ya yule dada last seen yake imesimama July 2019 mpaka leo.

Kwahiyo hizi ndizo sababu za wengi kukataa kufahamika
Duh kumbe ndo mapaka wana wanafikia huko, hii sio tabia njema kwa maana wanafanya watu wapate uoga kuanzisha mahusiano kupitia JF.

Japo wengine wanaogopa kwa sababu wanaamini ID nyingi za kike ni fake zinatumika na wanaume kutafuta attention ⚠️ tu
 
Duh kumbe ndo mapaka wana wanafikia huko, hii sio tabia njema kwa maana wanafanya watu wapate uoga kuanzisha mahusiano kupitia JF.

Japo wengine wanaogopa kwa sababu wanaamini ID nyingi za kike ni fake zinatumika na wanaume kutafuta attention ⚠️ tu
Kabisa, wanawakosesha wengine uhondo.
Sahv asilimia kubwa ya wadada na Id za kike wamefunga Pm zao.
Sio kama wanapenda, la hasha! ni kutokana na jinsi matumizi ya mitandao inatumiwa ndivyo sivyo.

Zamani tulikuwa tunakutana pasi na shaka,ila kwa sasa uoga ni mwingi mno
Na uaminifu umebaki kwa wale tunaowafahamu personal tu.
 
Back
Top Bottom