secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
BRAZA CHOGO come on!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi mnoHabari za muda huu wanajamvi!
Je, umewahi kukutana na mtumiaji wa Jamii Forums katika maisha ya uhalisia (Jamii)?
🔹 Ulijisikiaje?
🔹 Ulijitambulisha kuwa na wewe ni mwanachama, au ulifanya kama hauijui kabisa?
🔹Baada ya kujitambulisha mlikuwa na mazungumzo ya aina gani?
Nimeuliza hivi kwa maana watumiaji wengi wa JF hutumia huu mtandao kwa Siri sana
Share nasi uzoefu wako! 📢👇
Naamini kila mtu ana hadithi ya kipekee ya kusimulia.
#JamiiForums #Jamii #Uhalisia #UzoefuWako
Haiwezekani humu faragha kwenda mbeleItaje tafadhari tunakuomba
Naomba unifungulie.Kabisa, wanawakosesha wengine uhondo.
Sahv asilimia kubwa ya wadada na Id za kike wamefunga Pm zao.
Sio kama wanapenda, la hasha! ni kutokana na jinsi matumizi ya mitandao inatumiwa ndivyo sivyo.
Zamani tulikuwa tunakutana pasi na shaka,ila kwa sasa uoga ni mwingi mno
Na uaminifu umebaki kwa wale tunaowafahamu personal tu.
Hii ni kwa upande wako, ila si wote wenye kariba hii!!Yaani Mimi nikishamtongoza mtu nikakutana kwa bed namkula. Siwezangi kupiga picha.
Kwa nini mkuu iwe vizuri usifamike?
Mie yangu iko wazi.Naomba unifungulie.
Kumbuka Mimi ni mtu mwema.
HakikaJamii forum imenisaidia sana kunipa madini aisee, humu kila nyanja za maisha zimegusiwa.
Kweli penepo wengi pana mengi.
Duh watu wakora kama hao walaaniwe aiseHii ni kwa upande wako, ila si wote wenye kariba hii!!
Ni aidha mwanamke adhalilike au mje kudhalilishana hapa jukwaani
Wamewazibia riziki wenye nia njemaDuh watu wakora kama hao walaaniwe aise
Naunga mkono hoja yako mkuu, ni kweli kabisa kuna vitu unakua hauna uhuru navyo kuchangia.Unakuwa huru kueleza mambo kwenye majukwaa unakuwa open na honest kwenye discussion
Kwa mfano member anayejulikana na members wengine hawezi kuwa huru kuzungumzia baadhi ya mambo akitumia ID inayofahamika na wengine lazima kuna mambo ili afunguke anaruka na ID ambayo hawaifahamu
Kuna baadhi ya nyuzi humu watu wanazipost kwa sababu tu hakuna anayewafahamu kwa ID wanazotumia kwa mfano nyuzi za matatizo ya kifamilia, ndoa, magonjwa, kuomba ushauri n.k Na hilo linaongeza participation
Kwa sababu za kiusalama members ambaye hajulikani na members wengin anafeel safer hata kuchangia mijadala ambayo ni mizito kwa taifa. Wengine humu kwa sababu ya kujulikana waajikuta lazima walog account watu hawamfahamu ili accoment
Kihalisi kwenye social media or forums yoyote haitakiwi watu wakufahamu kwa ID yako halisi
Kumbuka unakokaa wewe ndiko ninakokaa. Jifiche uone kama sijakupata.Mie yangu iko wazi.
Japo hatutaweza kuonana.
Tucheze tu "hide and seek" hapahapa jukwaani mkuu🤔
Kwa nyie wadada hapo ni sawa ila kwangu mimi wala siwazi kama ratiba yangu itaruhusuHapana, kuna wastaarabu tu na kila siku tunaonana nao ila ogopa sana mtu anakuja tu Pm bila taarifa halafu anakwambia anataka siku mtoke mkanywe bia, kimbia mbio👣👣👣huo mtego
Hapo mwisho wa maelezo yako unaweza kuwa umeelewa nilichomaanisha...Mwanaume kutoa picha za mgomvi wake ili iweje...Hapana.
Sisi wanawake tuna maadui wengi humu.
Kwanza kwetu wanawake kwa wanawake na pia wanawake kwa wanaume.
Kuna ishu pia ilitokea, mwanamke kampa mwanaume picha ya mgomvi wake wa kike ili mwanaume aifungulie mada
Vipi Lucas na Mtambuka mmewahi kutana?Wapo wengi tu hawa kina Mbowe,zito,slaa , Kigwangalla,kitila na n.k na juzi nimekutana na Dk Gwajima
USSR
Usije kurudi hapa ukaanza kuwaeleza wanaJF Makiwendo mwenyewe tako hana🤣Hahaha na uzee wangu huu kwa nini nikose kifua wakwetu 🤣
Mimi nimefurahi kuona naye anapatwa na uchovu,njaa na umaskini pia.Umetamani hiyo kofia tu!