Je, umewahi kupata alama A zote kwenye mtihani wowote shuleni? Ilikuwa shule gani na ulijisikiaje baada ya matokeo hayo?

Je, umewahi kupata alama A zote kwenye mtihani wowote shuleni? Ilikuwa shule gani na ulijisikiaje baada ya matokeo hayo?

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Wakuu kwema!

Mimi niliwahi kupata alama A zote katika mtihani mara kadhaa nikiwa O level huko Kwiro Sec Moro, na pia nilipokuwa Mkwawa high school niliwahi pata A zote mara kadhaa katika mitihani. Kiukweli nilikuwa najisikia vizuri sana na ilinipa ham ya kusoma zaidi.

Je, humu jf tupo watu wa namna hii, ambao tulikuwa hatusomi sana mpaka kuloweka miguu kwenye beseni/ ndoo lakini bado tulitusua mtihani. Tafadhali Kwa comment tafadhali,kama unaye hata ndugu aliyewahi kuwa anatusua Ivo please njoo,utueleze tujifunze.

Karibuni kwa mjadala Wakuu.
 
Huwa sipendi hata kuyakumbuka maisha yangu ya shule, visa na mikasa mingi, kuna kipindi ndoto za kuwa shule ziliniandama saana, kuna sehemu nilipaswa kufika ila haiko hivyo.
Kuanziia primary mpaka O level A zilikuwa za kuokota hata kwenye giza.
Form 5 kwa uchache
6 - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -
DIT mwaka mmoja niliopiga pale mabanda nilikuwa nayo ya kutosha.

May b ndio fate yangu. 🙏
 
Wakuu kwema!

Mimi niliwahi kupata alama A zote katika mtihani mara kadhaa nikiwa O level huko Kwiro Sec Moro, na pia nilipokuwa Mkwawa high school niliwahi pata A zote mara kadhaa katika mitihani. Kiukweli nilikuwa najisikia vizuri sana na ilinipa ham ya kusoma zaidi.

Je, humu jf tupo watu wa namna hii, ambao tulikuwa hatusomi sana mpaka kuloweka miguu kwenye beseni/ ndoo lakini bado tulitusua mtihani. Tafadhali Kwa comment tafadhali,kama unaye hata ndugu aliyewahi kuwa anatusua Ivo please njoo,utueleze tujifunze.

Karibuni kwa mjadala Wakuu.
Headmaster wako alikua mbao au?Makanyagio boy
 
Wakuu kwema!

Mimi niliwahi kupata alama A zote katika mtihani mara kadhaa nikiwa O level huko Kwiro Sec Moro, na pia nilipokuwa Mkwawa high school niliwahi pata A zote mara kadhaa katika mitihani. Kiukweli nilikuwa najisikia vizuri sana na ilinipa ham ya kusoma zaidi.

Je, humu jf tupo watu wa namna hii, ambao tulikuwa hatusomi sana mpaka kuloweka miguu kwenye beseni/ ndoo lakini bado tulitusua mtihani. Tafadhali Kwa comment tafadhali,kama unaye hata ndugu aliyewahi kuwa anatusua Ivo please njoo,utueleze tujifunze.

Karibuni kwa mjadala Wakuu.
Yes, mimi nimewahi pata A's masomo yote ya semester 2, Mzumbe University 2012
 
Tatazo ka mathe [emoji81][emoji81] A zote ila kwenye mathe ka F lazima
 
Kwa hizi shule zetu za st. Kayumba , kupata A plain labda uwe genius na mimi ni mwanachi wa kawaida tu kufanya hayo maajabu

Wenye hizo marks hongereni kwa kubarikiwa confidence ya kuonesha vyeti 😁😁
 
Back
Top Bottom