Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
Mmmmmmhmn hii sio deformity mbona ni maumbile. Labda umehofia muonekano wako tu ambayo unaweza kuta unapendezea. MUNGU fundi, anaumba kwasababu.

Hayo masikio kukaa kama upawa hivyo kuna sababu yake kulingana na mwili wako ulivyoumbwa na hearing mechanism ya mwili wako.

Unaweza fanya mabadiliko then ndio ukapata shida. Watu kama Will smith ana masikio kama hayo na ana pesa ila hajawahi kuwaza kujibadilisha sijui kufanya upasuaji.

Be comfortable na asili yako. Okay?! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fact mkuu, ila kuna muda inakua kero ..
Mzee jambo la kawaida sana utaona tabu kwa watu wapya wale ambao hamjazoeana ila fresh vilema vipo unaweza kupata maisha kama bado unaishi mimi nimeishi na jamaa kitaa mmoja amezaliwa pua iko nusu ila ana dharau huyo na kwa mademu kamaliza mtaa.

Mwingine miguu mibovu ukimchek kama ana akili watoto wanamuogopa ila alivyokuwa na kuanza kushika pesa akawa msafi we viduku kwa sana macheni huwezi amini bishoo sana ila miguu mibovu yote miwili
 
Kwann inakuwa kero. Hebu nielekeze
Watu wanaangalia kupita maelezo bro, na kuchekwa mda mwingine maneno ya dhihaka najipa moyo labda ni akili yangu tu ila kuna circumstance nyingi (nisingependa kuzitaja) zinafanya niamini naonekana vibaya.
 
Yah! Endapo hakutakuwa na solution, ila kama solution ipo basi huna budi kurekebisha kwanini uteseke ..
Dogo una umri gani?

Ina maana kuambiwa una masikio makubwa nayo shida?

Inaonekana wewe ungekuwa mweusi kama mimi na vile huwa nataniwa mimi ni mweusi kama mkaa, ungekuwa unagombania mkorogo na dada zako.

Dogo huwezi kuwa mzuri kuliko watu wote duniani na huwezi kuwa mbaya kuliko watu wote duniani.

Vijana wa Dar mnazingua sana.
 
mzee jambo la kawaida sana utaona tabu kwa watu wapya wale ambao hamjazoeana ila fresh vilema vipo unaweza kupata maisha kama bado unaishi miminimeishi na jamaa kitaa mmoja maezaliwa pua iko nusu ila ana dharau huyo na kwa mademu kamaliza mtaa, mwingine miguu mibovu ukimchek kama ana akili watoto wanamuogopa ila alivyokuwa na kuanza kushika pesa akawa msafi we viduku kwa sana macheni huwezi amini bishoo sana ila miguu mibovu yote miwili
Yah hakuna budi kujikubali kama hamna solution, ila binafsi naamini kama kungekuwa na dawa ya ualbino basi asingekuwepo hata mmoja..
 
Watu wanaangalia kupita maelezo bro, na kuchekwa mda mwingine maneno ya dhihaka najipa moyo labda ni akili yangu tu ila kuna circumstance nyingi ( nisingependa kuzitaja) zinafanya niamini naonekana vibaya ..
Nadhani ni akili yako unailisha uongo so ina amplify yale unayoyanena kichwani kwako. Ila hakuna ukweli wowote kuwa hayo masikio yako yanakufanya wewe kuwa na dosari kimuonekano.
 
Dogo una umri gani?

Ina maana kuambiwa una masikio makubwa nayo shida?

Inaonekana wewe ungekuwa mweusi kama mimi na vile huwa nataniwa mimi ni mweusi kama mkaa, ungekuwa unagombania mkorogo na dada zako.

Dogo huwezi kuwa mzuri kuliko watu wote duniani, na huwezi kuwa mbaya kuliko watu wote duniani.

Vijana wa dar mnazingua sana.
Siku hizi nikikutana na demu mweusi halafu awe na mwili wa kimodo daaaaah huwa napata stimu balaa.
 
Dogo una umri gani?

Ina maana kuambiwa una masikio makubwa nayo shida?

Inaonekana wewe ungekuwa mweusi kama mimi na vile huwa nataniwa mimi ni mweusi kama mkaa, ungekuwa unagombania mkorogo na dada zako.

Dogo huwezi kuwa mzuri kuliko watu wote duniani, na huwezi kuwa mbaya kuliko watu wote duniani.

Vijana wa dar mnazingua sana.
[emoji23][emoji23] mkuu! Mimi nina asili ya sudan kusini na ni mweusi tii na nataniwa sana ila hili la masikio naona linaenda out of hands .. mimi sio wa dar mkuu nimekulia Kampala na ndipo napoishi ..
 
Nadhani ni akili yako unailisha uongo so ina amplify yale unayoyanena kichwani kwako. Ila hakuna ukweli wowote kuwa hayo masikio yako yanakufanya wewe kuwa na dosari kimuonekano.
Inawezekana pia japo sikubaliani na hili..
 
Fid Q aliwahi kusema katika ngoma ya Kiberiti "usipende kuchukulia vitu personal"

Kwenye maisha kila wanachozungumza watu juu yako usitake kukibeba.Wengine wanaweza kukubully sio kwa sababu ya kasoro yako ila chuki zao tu, wengine utani tu etc. Wakina Manara wanatukanwa tena matusi mazito mara nguruwe sijui misukule lakini wanadunda tu bila shida.

Tafuta hela mkuu acha kuhangaika na vitu vidogo vidogo.

Ushauri Mrua sana huu
 
Watu wanaangalia kupita maelezo bro, na kuchekwa mda mwingine maneno ya dhihaka najipa moyo labda ni akili yangu tu ila kuna circumstance nyingi ( nisingependa kuzitaja) zinafanya niamini naonekana vibaya ..
Sema unasumbuliwa na tatizo gani Mkuu?
 
Bullying ipo sana. Ni kwa sababu katika jamii zetu bullying inafanywa na wazazi pia. Watoto wanaiga wazazi. Wazazi wanatukana na kucheka watoto wao wa kuzaa. Yaani ni kama kitu cha kawaida tu. Mimi nilikulia kwenye jamii ambayo kuwa na chogo kama lile la Mwalimu Nyerere ni kitu cha kawaida.

Mimi kichwa changu hakina chogo refu. Basi shule ya msingi nilitaniwa sana na kuchekwa kwa vile sina chogo. Na kweli inaumiza na kuua self-esteem. Baadae nilivyoanza kutembea hapa ndani na nje ya Tanzania ndio nikagundua kuwa kumbe kuwa na chogo ndio kitu cha ajabu. Kutokuwa na chogo ndio kawaida. Wasiokuwa na chogo ni wengi kuliko wenye chogo.

1637590407218.png
 
Back
Top Bottom