Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Bila shaka ulishawahi kuleta hiki kisa hapa JF hii ni mara ya pili

Kuna Mwanangu nimesoma nae primary anaitwa Denis hasa maskio ni madogo yake ni kama upawa

But atuwahi kumfanyia Bullying ya aina yeyote ni mwana sna anadunda na life lake sasa ivi
Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
 
"SINUNG'UNIKI SINA VIATU..WENZANGU HAWANA MIGUU NA AWALALAMIKI..WANAMSHURU ALIE JUU" Mwana F.A

Sasa wewe unalalamika unamasikio makubwa? Kuna wenzako hawasiikii vizuri na Wengine hawasikii kabisaa(viziwi 100%)

Na bado unaona muumba kakupunja? Aisee kazi ipo
 
Bila shaka ulishawahi kuleta hiki kisa hapa JF hii ni mara ya pili

Kuna Mwanangu nimesoma nae primary anaitwa Denis hasa maskio ni madogo yake ni kama upawa

But atuwahi kumfanyia Bullying ya aina yeyote ni mwana sna anadunda na life lake sasa ivi
Mimi pia nimekumbuka hiki kisa, jamaa atakua anapata shida sana
 
Dah pole mkuu usingejisema Islamic nilijua ni ndg yangu flani, huwa namtania na masikio yake lakini tunacheka,, jiamini tu rafiki yangu,,

Japokuwa hii ishu ipo Sana, hasa Kama mtu ameomba kitu fulani ukamgomea au unamzidi maisha nk basi anakutafutia kaudhaifu kako kimaumbile.

Kiuchumi ama kipindi cha mapito magumu kukudhihaki ili ujisikie vibaya na ujione hufai na ukiwa hivyo maana yake umecheza ngoma yake Yani unakuwa umemfurahisha,, Sasa dawa Ni kutojali Yani usiwajali kabisa jiamini na wapuuze wao wenyewe watakuonea aibu
 
Bila shaka ulishawahi kuleta hiki kisa hapa JF hii ni mara ya pili

Kuna Mwanangu nimesoma nae primary anaitwa Denis hasa maskio ni madogo yake ni kama upawa

But atuwahi kumfanyia Bullying ya aina yeyote ni mwana sna anadunda na life lake sasa ivi
Naufahamu huo Uzi na nilicomment pia ila visa tu vimefanana..
 
Dah pole mkuu usingejisema Islamic nilijua ni ndg yangu flani, huwa namtania na masikio yake lakini tunacheka,, jiamini tu rafiki yangu,,

Japokuwa hii ishu ipo Sana, hasa Kama mtu ameomba kitu fulani ukamgomea au unamzidi maisha nk basi anakutafutia kaudhaifu kako kimaumbile,
kiuchumi ama kipindi cha mapito magumu kukudhihaki ili ujisikie vibaya na ujione hufai na ukiwa hivyo maana yake umecheza ngoma yake Yani unakuwa umemfurahisha,, Sasa dawa Ni kutojali Yani usiwajali kabisa jiamini na wapuuze wao wenyewe watakuonea aibu
Pamoja sana mkuu..
 
Nusura nijiumize kumbe shida ni mawazo yangu tu.Nilikuwa nikioga na watoto wenzangu wakichanua naona wako poa wote nikijicheki mimi khaa vinyama vinabembea...nikaanza kuishi kwa kujificha kitumbua...nimekua nataman mkuyenge nitafanyaje...

Nikanunua Girrate nikate mbona sikio nilijitoga mwenyewe nitashindwaje kutata mashavu yanayobembea.Isiwe kesi ...vile naanza tu damu hizo afu za kuruka,panaumaa..nikasema Leo kidogo kesho kidogo tena mpaka yatadondoka.

Sasa,,,utandawaz huu bhana si nikainyaka xvideo moja ...aisee yule Dada anashavu za kubembea hatari afu anapigwa miti huku kachanua fresh bila aibu.....tena mwingine..na mwingine tena(ee kumbe fresh bhana) ...nilivyolianzisha mimi bhanaa(ivo kama una kasoro JIKUBALI)
 
Hapa kila mtu atajifanya kukwambia "Jiamini, kawaida tu, usisikilize maneno ya watu" alafu ukikutana nao mtaani wanakucheka 😂
Mtoa mada km una pesa ya surgery nenda kafanye km umeamua. Sikiliza moyo wako unavosema. Changamoto unazipata wewe na wewe ndo una feel na unaona zinavokutesa. So kama unamini ukifanya surgery utakua huru kafanye usisikilize blah blah za watu wa umu
 
Apa kla mtu atajifanya kukwambia "Jiamini, kawaida tu, usisikilize maneno ya watu" alafu ukikutana nao mtaani wanakucheka [emoji23]
Mtoa mada km una pesa ya surgery nenda kafanye km umeamua. Sikiliza moyo wako unavosema. Changamoto unazipata wewe na wewe ndo una feel na unaona zinavokutesa. So kama unamini ukifanya surgery utakua huru kafanye usisikilize blah blah za watu wa umu
Na ndivyo ilivyo mkuu, hapa nimeandika tu ila moyoni nimeshafanya maamuzi .. ila kiuhalisia ndo hawa hawa wanaocheka [emoji23]
 
Nusura nijiumize kumbe shida ni mawazo yangu tu.Nilikuwa nikioga na watoto wenzangu wakichanua naona wako poa wote nikijicheki mimi khaa vinyama vinabembea...nikaanza kuishi kwa kujificha kitumbua...nimekua nataman mkuyenge nitafanyaje...nikanunua Girrate nikate mbona sikio nilijitoga mwenyewe nitashindwaje kutata mashavu yanayobembea.Isiwe kesi ...vile naanza tu damu hizo afu za kuruka,panaumaa..nikasema Leo kidogo kesho kidogo tena mpaka yatadondoka. Sasa,,,utandawaz huu bhana si nikainyaka xvideo moja ...aisee yule Dada anashavu za kubembea hatari afu anapigwa miti huku kachanua fresh bila aibu.....tena mwingine..na mwingine tena(ee kumbe fresh bhana) ...nilivyolianzisha mimi bhanaa(ivo kama una kasoro JIKUBALI)
[emoji23][emoji23] unataka kusemaje labda ?? .. anyway thanks mkuu ..
 
Back
Top Bottom