Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Binafsi naamini kungekua na namna ya kitibu ualbino basi hata huyo manara mwenyewe asingekua albino saivi ..
Yes uko sahihi watu wabaya wanadhalilisha inaumiza sana hyo kitu na ndio maana anakuwa mkorofi
 
Haya mambo yapo ,Mimi nakijana wangu alizaliwa jicho moja likiwa dogo ,Binafsi kama mzazi niliumia kwa kumuonawanangu yuko hivyo ,basi nikalipokea tatizo ,nilichofanya nikazidisha mapenzi kwake kiasi kwamba asione tofauti na nikakubaliana nalo kwamba mungu anasababu zake kumfanya hivyo ,Ila Al hamdillah nachoshukuru dogo ana akili sana na darasani wa kwanza ,WATOTO KIANZIA MTAANI NA SHULENI WALIANZAGA KUMSUMBUA ,KUMCHEKA ,ila nilipambana nao na kumfanya ajione kawaida na nashukuru hata wao wamemzoea na wanamuona sawa wala hawamtanii na maisha yanaendelea ,.
DUNIA KAKA INA CHANGAMOTO NYINGI SANA NA KILA JAMBO MUNGU ANA SABABU ZAKE ,
Ume play part kubwa sana kama mzazi na hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa, kwenye masuala kama haya ya bullying support ya mzazi Ina nafasi kubwa sana katika kumfanya mtoto asijihisi hafai, hongera kwa hilo. Binafsi wazazi wangu wamekua wakini dharau tu tangu udogoni na nimepata tabu haswaa yani imefikia kipindi mpaka nahisi labda hawanipendi sababu hawajawahi kujali hata kidogo licha ya yote ninayopitia ..
 
Yes uko sahihi watu wabaya wanazalilisha inaumiza sana hyo kitu na ndio maana anakuwa mkorofi
Wazazi pia wasidharau endapo wanapoona mtoto anapitia vitu kama hivi kwani ikishazidi kumuathiri kisaikolojia anaweza kujiua ..
 
Mimi bado sijaelewa inazungumzia aina gani ya muonekano. Wewe unahisi una maumbile gani ambayo yanakutoa muonekano wako kuwa mbaya?!
Mwamba atakuwa na chogo au bichwa baya😅

Kama sio hivyo basi ni suzuki escudo 3 doors aka short chassis!
 
Kipi kinaku chekesha hapo, au ndo bullying imeanza humu humu [emoji23] ..
Feel good boss,kwangu me nilidhani una tatizo kubwa sana baada ya kuona hiyo picha nikaona ni kama hakuna tatizo kabisa,kwanini kutaabika na hìi miili yetu yenye kuharibika,kukongoroka,kuzeeka na kufa?.

Mbona me ninayo pia na naitwa kabisa MASIKIO na hainiathiri chochote?.

Ikiwa unaona wewe unaathirika kwa namna yoyote fanya surgery,la kama unaweza kubali maisha yaendelee,hakuna aliye perfect.
 
Feel good boss,kwangu me nilidhani una tatizo kubwa sana baada ya kuona hiyo picha nikaona ni kama hakuna tatizo kabisa,kwanini kutaabika na hìi miili yetu yenye kuharibika,kukongoroka,kuzeeka na kufa?.

Mbona me ninayo pia na naitwa kabisa MASIKIO na hainiathiri chochote?.

Ikiwa unaona wewe unaathirika kwa namna yoyote fanya surgery,la kama unaweza kubali maisha yaendelee,hakuna aliye perfect.
Thanks mkuu [emoji1545][emoji1545] ..
 
Feel good boss,kwangu me nilidhani una tatizo kubwa sana baada ya kuona hiyo picha nikaona ni kama hakuna tatizo kabisa,kwanini kutaabika na hìi miili yetu yenye kuharibika,kukongoroka,kuzeeka na kufa?.

Mbona me ninayo pia na naitwa kabisa MASIKIO na hainiathiri chochote?.

Ikiwa unaona wewe unaathirika kwa namna yoyote fanya surgery,la kama unaweza kubali maisha yaendelee,hakuna aliye perfect.
Yani mwamba anaumia sababu ana maskio kama Jerry?😅

Kuna mtu anajimaliza na mabia ameachwa na mke wa pili juzi, hadindishi na wala hana mtoto!
 
Ume play part kubwa sana kama mzazi na hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa, kwenye masuala kama haya ya bullying support ya mzazi Ina nafasi kubwa sana katika kumfanya mtoto asijihisi hafai, hongera kwa hilo. Binafsi wazazi wangu wamekua wakini dharau tu tangu udogoni na nimepata tabu haswaa yani imefikia kipindi mpaka nahisi labda hawanipendi sababu hawajawahi kujali hata kidogo licha ya yote ninayopitia ..
Wazazi wako unataka wakutetee usitaniwe na masela? We jifanye chizi maisha yatakuwa mepesi sana!

Mi nimetaniwa sana utotoni kuna kipindi ilikuwa hadi nazinguana na raia sababu ya ungese sema nilipofikia age flani ya adolescence nikawa calm. Sikuwa navipa tena nafasi vitu vidogo hivyo😅
 
Try to be positive regardless of all negative perceptions against you, ukivuka hapo wewe ni mwamba.

Mifano ipo mingi ya watu, halafu waza na wewe una kipi chenye tatizo kwa mtazamo wa kijamii cha ajabu kuwazidi wao.

-Fikiria kuhusu Haji Manara na dhana nzima kuhusu watu wenye ualibino hapa Tz, lakini jamaa ameweza kuwa maarufu kwa kipaji chake cha usemaji, anavuta mpunga mnene, anakula maisha, na anakamatia mademu wowote anaowataka!

-Njoo kwa Diamond, waza kuhusu ule mdomo wake (chai jaba!), halafu mtazame anavyopiga pesa za matangazo, anavyoigwa na vijana kwa kipaji chake, anawavutia mpaka warembo na anawatafuna anavyotaka.
 
Yani mwamba anaumia sababu ana maskio kama Jerry?[emoji28]

Kuna mtu anajimaliza na mabia ameachwa na mke wa pili juzi, hadindishi na wala hana mtoto!
Hahahaha shangaa mkuu hicho ndicho kipengele kwa mwanamme,nikiwa hivyo nitatafuta dawa kwa namna yoyote na kwa nguvu zote hadi visiwa na nchi za mbali huko[emoji16]

Ila masikio tu na mambo napiga vizuri mmmh si tatizo kabisa,binafsi nilishakataa kujiathiri kimawazo na vitu ambavyo sijavifanyia maamuzi (Maumbile) na siwezi vibadilisha (Uzee na kifo).

Sijioni nisiye na thamani kwa sababu SIJAJIUMBA WALA KUCHAGUA NIZALIWE VIPI, na siitishwi/sina hofu na vitu ambavyo najua siwezi vibadilisha kama KIFO.
 
Back
Top Bottom