Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Kutaniwa na kuchekwa kunafanya mtu kua insecure maana hata watu wakicheka na yao utajihisi unachekwa wewe. Hata uwe commando vipi deep down lazima uumie.
Heheheh hii ni sana kwa watoto wa kike i usually hear these stuffs ati wameniangalia vibaya like yow, wale achana nao wako na mambo yao sio wewe bana 😅 then kamtu kanajifeel poa!

Kwa mimi hata ushinde unacheka kama Tom & Jerry huwa siwazagi😅! I guess i am super confident with who i am.

We unaonekana una aibu sana Ms Van?
 
Bora una regret. Yan bullying inatesa watoto mashuleni.
Bullying is bad ila inawafundisha watoto kuwa makamanda! Teach your child kwamba nobody steps on to you stay safe 😅 chapa nakoz wajinga wajinga...Wakishtaki ntakuja kukutetea kwa staff!
 
Hata Mimi nilipata kutaniwa sana na tatizo hili na ninalo ila now Niko Chuo na nilitaniwa sana nilipo kuwa shule msingi na sekondari ila nilipokuwa nakuwa na mama yangu aliwahi nambia una masikio mazuii kama ya .... Hii ilipelekea kunitia moyoo sana kwa hiyoo nulineglect hayoo maneno yaoo
Masikio kama majani ya maboga 😅!!! Au kama dish la gulf star?
 
Habari wakuu

Je, umewahi kupitia bullying kutokana na maumbile au muonekano wako, ni namna gani iliathiri saikolojia na maisha yako kiujumla na je ni namna gani ulipambana na tatizo hili.

Mwamba jikubali sisi wengine tunamabawaba lakin tunapata pisi kali sana tunaenjoy life tunarizika na vile Maulana katuumba jikubali mkuu ww tafuta pesa tu mengine ni mbwembwe
 
Hahahahah if you always need peoples approval to be happy then you are a bitch hata kama unamiliki kende! A real man don’t need nobodys approval to be aiight!

Kwa wanawake its usual kupenda kuambiwa umependeza kila wakati, makes them feel precious and confident. Kwa mwanaume we don’t need that at all! So kumshauri jamaa afanye surgery its okay kama ataafiki ila sio lazima sana.
Hakuna mtu anayetaka people's approval, ambacho mtu hapendi ni Ile hali ya kuchekwa na kudhihakiwa, we fikiria unapita tu barabarani mtu anakuita nyani na humjui hakujui is it what u call seeking people's approval ?? ..
 
Bullying is bad ila inawafundisha watoto kuwa makamanda! Teach your child kwamba nobody steps on to you stay safe [emoji28] chapa nakoz wajinga wajinga...Wakishtaki ntakuja kukutetea kwa staff!
Mimi mtu ham-bully mtoto wangu. Nitakula naye sahani moja. Ila sio watoto wote wana confidence ya kuwaambia wazazi wao kuhusu kua bullied maana wazaz wengine hawana hata muda na watoto wao hata kujua kuna kitu tofaut kwa mtoto inakua ngumu.
 
Mimi mtu ham-bully mtoto wangu. Nitakula naye sahani moja. Ila sio watoto wote wana confidence ya kuwaambia wazazi wao kuhusu kua bullied maana wazaz wengine hawana hata muda na watoto wao hata kujua kuna kitu tofaut kwa mtoto inakua ngumu.
Ni noma yani muhimu kuwa na mtoto beneti
 
Mimi mtu ham-bully mtoto wangu. Nitakula naye sahani moja. Ila sio watoto wote wana confidence ya kuwaambia wazazi wao kuhusu kua bullied maana wazaz wengine hawana hata muda na watoto wao hata kujua kuna kitu tofaut kwa mtoto inakua ngumu.
Na hiki ndicho kilichokua kikinitesa sana, hawajawahi kuwa na muda kabisa...
 
Na sitaki mwanangu awe Bullied na pia asiwe bullie
Ni tabia mbaya sana akikua nayo kama ya mtoto wa Corey Benjamin former NBA player. Anapiga wenzie mpaka anawaumiza. Asipopata msaada wa afya ya akili atakua mtu mwenye tabia mbaya mno halafu mengine mama yake anasupport. Sometimes lawama zitufikie wazazi.
 
Jikubali ulivyo Mungu kakuumba hivyo kapendezwa nacho mwonekano wako wampendeza yeye ndo maana kakuumba kwa namna kipekee enjoy your life haijalishi watu wanakuongea vp move on
 
Heheheh hii ni sana kwa watoto wa kike i usually hear these stuffs ati wameniangalia vibaya like yow, wale achana nao wako na mambo yao sio wewe bana [emoji28] then kamtu kanajifeel poa!

Kwa mimi hata ushinde unacheka kama Tom & Jerry huwa siwazagi[emoji28]! I guess i am super confident with who i am.

We unaonekana una aibu sana Ms Van?
Mtoto wa kike aibu lazima hahaaaaa.

Lakin mtu ambaye unajiona maumbile yako hayako kama wengine usikie watu wanacheka utajishtukia tu. Mfano kama zaman tulikua tunaambizana akipita mlemavu wa ngozi ujitemee mate kifuani ili usipate mtoto wa hivyo. Imagine vile apite mtu mwenye shida hiyo halafu watu wapo busy kujitemea mate kifuani
 
Ni tabia mbaya sana akikua nayo kama ya mtoto wa Corey Benjamin former NBA player. Anapiga wenzie mpaka anawaumiza. Asipopata msaada wa afya ya akili atakua mtu mwenye tabia mbaya mno halafu mengine mama yake anasupport. Sometimes lawama zitufikie wazazi.
Ila cliques ndo zinasababisha bullism kuendelea, shule zapaswa piga marufuku makundi.... Huwezi bull mtu bila kuwa na kundi nyuma yako.
 
Mtoto wa kike aibu lazima hahaaaaa.

Lakin mtu ambaye unajiona maumbile yako hayako kama wengine usikie watu wanacheka utajishtukia tu. Mfano kama zaman tulikua tunaambizana akipita mlemavu wa ngozi ujitemee mate kifuani ili usipate mtoto wa hivyo. Imagine vile apite mtu mwenye shida hiyo halafu watu wapo busy kujitemea mate kifuani
Duh noma sema naiman chura unaye maana mademu wenye chura sikuhizi wanajiamini kuliko ma meneja wa bank.
 
Ila cliques ndo zinasababisha bullism kuendelea, shule zapaswa piga marufuku makundi.... Huwezi bull mtu bila kuwa na kundi nyuma yako.
Ni kweli. Makundi yale yanayojifanya ndio wandewa shuleni.
 
Mimi mzuri ila chura sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana huwa unajistukiaga basi 😅 jiamini bana we mrembo kama priyanka chopra chura sio ishu sana sura inaita😅
 
Na hiki ndicho kilichokua kikinitesa sana, hawajawahi kuwa na muda kabisa ..
Pole sana mkuu. Lakin ukifanya operation ukija kupata watoto wakawa wameyarithi itakua changamoto kwao. Bora wewe kama baba ukiwa nayo watakua wanafanya reference masikio kama ya baba yao. Na wao itawapa confidence
 
Pole sana mkuu. Lakin ukifanya operation ukija kupata watoto wakawa wameyarithi itakua changamoto kwao. Bora wewe kama baba ukiwa nayo watakua wanafanya reference masikio kama ya baba yao. Na wao itawapa confidence
Najua namna ambavyo bullying inatesa, hivyo kama itatokea mtot wangu kuyarithi basi na yeye atafanyiwa operation, siwezi kuruhusu awe bullied najua madhara yake ..
 
Ndio maana huwa unajistukiaga basi [emoji28] jiamini bana we mrembo kama priyanka chopra chura sio ishu sana sura inaita[emoji28]
Mie sijishtukii hata sina wasiwasi hata kidogo. Makalio kila mtu anayo sema size tofauti tu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom