Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Mie sijishtukii hata sina wasiwasi hata kidogo. Makalio kila mtu anayo sema size tofauti tu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahahah ila mtu akikusema huna tako lazma ujiskie vibaya😅!

Well mie napenda ujistiri tu vyema ukivaa viuzuri hata kama huna chura unapendeza tu!
 
Najua namna ambavyo bullying inatesa, hivyo kama itatokea mtot wangu kuyarithi basi na yeye atafanyiwa operation, siwezi kuruhusu awe bullied najua madhara yake ..
Kweli umeamua. Kama unaona ni sawa endelea tu
 
Hahahahah ila mtu akikusema huna tako lazma ujiskie vibaya[emoji28]!

Well mie napenda ujistiri tu vyema ukivaa viuzuri hata kama huna chura unapendeza tu!
Akinisema nitamuuliza yeye anakalia kifuu?[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi ni kipara kilichonianza nkiw around 19 na hadi 22 kikawa kimekolea na sasa ndio kimekuw sugu


Mwenye dara niwez kurejesha nywel zangu
 
Yea mimi mpaka leo nmekua ASocial watu wanajuaga naringa kumbe nakimbia negative energy zuyokazo vinywani mwa watu.

Sent from
 
Kweli umeamua. Kama unaona ni sawa endelea tu
Binafsi naona ni sawa nilikua nina wasiwasi tu kuhusu dini inasemaje lakini nimejiridhisha kuwa imeruhusu under some circumstances ..
 
Mimi ni kipara kilichonianza nkiw around 19 na hadi 22 kikawa kimekolea na sasa ndio kimekuw sugu


Mwenye dara niwez kurejesha nywel zangu
Dah bila shaka hicho cha ukoo mkuu ..
 
Mimi ni kipara kilichonianza nkiw around 19 na hadi 22 kikawa kimekolea na sasa ndio kimekuw sugu


Mwenye dara niwez kurejesha nywel zangu
Siku hizi kuna wigi zinabandikwa za wanaume wenye vipara
 
Habari wakuu

Je, umewahi kupitia bullying kutokana na maumbile au muonekano wako, ni namna gani iliathiri saikolojia na maisha yako kiujumla na je ni namna gani ulipambana na tatizo hili.

Binafsi kuna kitu hakipo sawa kwenye mwili wangu ( siwezi taja ) imekua ikiathiri sana saikolojia na maisha yangu in general, shule niliiona chungu kipindi nipo primary, nimekua nikitaniwa sana na kuchekwa. [emoji23]

Imedidimiza my self esteem siwezi hata kusimama mbele za watu, unfortunately only surgery can correct that. Mimi ni muumini wa dini ya kiislam hivyo nilijaribu kufuatilia kama ni sahihi kufanya surgery but luckily enough nimeambiwa it's permitted if only done to correct any deformity in the body be it a birth defect or an acquired one, most especially if it causes either psychological or physical pain.

Japo wazazi wapo against jambo hili kwa kisingizio eti dini, itoshe tu kusema hiyo dini hawajui inasemaje kuhusiana na hili na mbaya zaidi hawataki kuelimishwa ( much know ) .. kwa hili watanisamehe tu, maisha yenyewe mafupi haya kwanini ukose raha kwa kudhikakiwa yet there's a solution na dini imepermit ?? ..

Mwisho wa yote, kama na wewe mdau wa JF ni Ile aina ya watu wenye kupenda kucheka ama kudhiaki watu kutokana na muonekano please acha mara moja, hujui tu ni namna gani inaathiri saikolojia ya mtendewa na mara nyingi hupelekea hata kujitoa uhai sababu wengine mioyo yao mepesi hivyo vitu kama hivi vinaweza kumtoa kabisa kwenye reli ..wanasema kushare na watu yanayo kutatiza kunaweza saidia kuleta relief moyoni hivyo basi yangu ni hayo tu naomba kuwasilisha.

Mwisho kabisa kama kuna mtu anataka kunipinga nasema hivii nipe mkono tushindane nipeeee ([emoji23]jokes)
Bullying ni mbaya saaana hasa ikiwa shuleni pale ambapo mtu anaanza kujitambua ktk miaka 15 -18.

Moja ya sababu ya MJ kubadili muonekano ni bullying ilitoka nje na kuingia ndani ya familia. Nakumbuka kipindi fulani Brandy Norwood pia alitamani kufanya surgery ya pua kisa bullying.
 
Back
Top Bottom