Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wala hana haja ya surgeryNdio hao hao wanaokuzalilisha kwa maumbile ya mtu kiukweli mtu ukiwa na hela fanya tu hyo surgery Ili uwe comfortable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hana haja ya surgeryNdio hao hao wanaokuzalilisha kwa maumbile ya mtu kiukweli mtu ukiwa na hela fanya tu hyo surgery Ili uwe comfortable
Sio akutetee hapana! Bali aonyeshe kuwa anajali na sio kudharau moja kwa moja, inaweza kuaffect overall life ya mtoto ..Wazazi wako unataka wakutetee usitaniwe na masela? We jifanye chizi maisha yatakuwa mepesi sana!
Mi nimetaniwa sana utotoni kuna kipindi ilikuwa hadi nazinguana na raia sababu ya ungese sema nilipofikia age flani ya adolescence nikawa calm. Sikuwa navipa tena nafasi vitu vidogo hivyo[emoji28]
Afanye tu hyo surgery kupata confidence Ili wajinga wakose hoja mzungu karahisisha mamboWala hana haja ya surgery
Hutakiwi kuumia na kitu ambacho huwezi kukibadili mzee!Hahahaha shangaa mkuu hicho ndicho kipengele kwa mwanamme,nikiwa hivyo nitatafuta dawa kwa namna yoyote na kwa nguvu zote hadi visiwa na nchi za mbali huko[emoji16]
Ila masikio tu na mambo napiga vizuri mmmh si tatizo kabisa,binafsi nilishakataa kujiathiri kimawazo na vitu ambavyo sijavifanyia maamuzi (Maumbile) na siwezi vibadilisha (Uzee na kifo).
Sijioni nisiye na thamani kwa sababu SIJAJIUMBA WALA KUCHAGUA NIZALIWE VIPI, na siitishwi/sina hofu na vitu ambavyo najua siwezi vibadilisha kama KIFO.
Hii mbona poa tu!! Watu tuna meno kama ngiri na bado tunachukulia maisha poa. "We simply don't care what other people think and talk about us behind our backs!" Mshukuru Mungu kwa kuruhusu uumbaji huo kwako. Hukujiumba mwenyewe.Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
Huo ujinga mnafanyaga watoto wa kike to impress the society. Sifa ya mwanaume ni kujiamini yani. Kaza fanya mambo yako kuwa na hela uone kama kuna msenge ataongelea maskio yako badala ya maghorofa unayomiliki mjini😅Afanye tu hyo surgery kupata confidence Ili wajinga wakose hoja mzungu karahisisha mambo
Sahizi Diamond waliomuita Domo wako radhi wakatiwe hata bure ilimradi tu wajifeel wamekazwa na staa😅Afanye tu hyo surgery kupata confidence Ili wajinga wakose hoja mzungu karahisisha mambo
Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
HAHAHAHAHH 🤣🤣🤣Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
Sahizi Diamond waliomuita Domo wako radhi wakatiwe hata bure ilimradi tu wajifeel wamekazwa na staa
Kuna vitu Ili uwe comfortable lazima ufanye namna especially smile yako mkuu Ili kupata confidence Sasa unayaachaje aisee,Huo ujinga mnafanyaga watoto wa kike to impress the society. Sifa ya mwanaume ni kujiamini yani. Kaza fanya mambo yako kuwa na hela uone kama kuna msenge ataongelea maskio yako badala ya maghorofa unayomiliki mjini[emoji28]
Hahahahah if you always need peoples approval to be happy then you are a bitch hata kama unamiliki kende! A real man don’t need nobodys approval to be aiight!Kuna vitu Ili uwe comfortable lazima ufanye namna especially smile yako mkuu Ili kupata confidence Sasa unayaachaje aisee,
Bora una regret. Yan bullying inatesa watoto mashuleni.Sijawahi kuwa bullied, I was a bullie and I do regret it
Kutaniwa na kuchekwa kunafanya mtu kua insecure maana hata watu wakicheka na yao utajihisi unachekwa wewe. Hata uwe commando vipi deep down lazima uumie.Hahahahah if you always need peoples approval to be happy then you are a bitch hata kama unamiliki kende! A real man don’t need nobodys approval to be aiight!
Kwa wanawake its usual kupenda kuambiwa umependeza kila wakati, makes them feel precious and confident. Kwa mwanaume we don’t need that at all! So kumshauri jamaa afanye surgery its okay kama ataafiki ila sio lazima sana.