Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Je, umewahi kupitia bullying kwenye maisha yako?

Hahaa. Nilijua tuu
Mwenzako huyu hapaa[emoji28][emoji23]
Screenshot_20211122-201039_Messages.jpg
 
[emoji38][emoji38][emoji1]ila nyiee...kuna watu wana matusi ya reja reja eti side mirror za fiat
 
Nimewahi kuwa bullied mtaani hata humu JF pia nimekuwa bullied kuhusu sura yangu, in short wanaopenda kuzalilisha wengine mapungufu Yao huwa ni watu wenye matatizo ya akili, wajinga na wasiojielewa na wasio jali wengine, na wanao bully wengine na wao huwa Wana mapungufu sema vile watu huwa hawayasemi Yao basi wanajiona perfect.
 
Fid Q aliwahi kusema katika ngoma ya Kiberiti "usipende kuchukulia vitu personal"

Kwenye maisha kila wanachozungumza watu juu yako usitake kukibeba.Wengine wanaweza kukubully sio kwa sababu ya kasoro yako ila chuki zao tu, wengine utani tu etc. Wakina Manara wanatukanwa tena matusi mazito mara nguruwe sijui misukule lakini wanadunda tu bila shida.

Tafuta hela mkuu acha kuhangaika na vitu vidogo vidogo.
Bullying sio nzuri hata hao kina Manara wanaumia ka binadamu wengine vile ni celebrity doesn't mean hawaumii bana, tuheshimu watu
 
Bila shaka ulishawahi kuleta hiki kisa hapa JF hii ni mara ya pili

Kuna Mwanangu nimesoma nae primary anaitwa Denis hasa maskio ni madogo yake ni kama upawa

But atuwahi kumfanyia Bullying ya aina yeyote ni mwana sna anadunda na life lake sasa ivi
[emoji23][emoji23][emoji23] maskio ya upawa yakoje
 
Ni minor deformity tu kama mnavyoona kwenye picha, sema ya huyu dogo yaongezeke kidogo [emoji23][emoji23] View attachment 2019815
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ungekuwa unaweza jikubali hivyo hivyo, ingekusaidia sana.

Tena mtu akikusema unamwambia unayapensa hivyo hivyo, ila sio mboya go for surgery.
 
Nimewahi kuwa bullied mtaani hata humu JF pia nimekuwa bullied kuhusu sura yangu, in short wanaopenda kuzalilisha wengine mapungufu Yao huwa ni watu wenye matatizo ya akili, wajinga na wasiojielewa na wasio jali wengine, na wanao bully wengine na wao huwa Wana mapungufu sema vile watu huwa hawayasemi Yao basi wanajiona perfect.
Na ndio hawa hawa wanaosema jikubali na mengine mengi ila asilimia kubwa ni unafIki tu..
 
Bullying sio nzuri hata hao kina Manara wanaumia ka binadamu wengine vile ni celebrity doesn't mean hawaumii bana, tuheshimu watu
Binafsi naamini kungekua na namna ya kutibu ualbino basi hata huyo manara mwenyewe asingekua albino saivi..
 
Tafta hela ukafanye surgery hata Uturuki technology imepanuka kwanini uteseke?
Kabisa, hii kitu isikie tu hivyo hivyo kama hujawahi pitia inaumiza mno ..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ungekuwa unaweza jikubali hivyo hivyo,ingekusaidia sana.

Tena mtu akikusema unamwambia unayapensa hivyo hivyo,ila sio mboya go for surgery.
Pamoja sana ..
 
Haya mambo yapo, Mimi nakijana wangu alizaliwa jicho moja likiwa dogo ,Binafsi kama mzazi niliumia kwa kumuonawanangu yuko hivyo, basi nikalipokea tatizo, nilichofanya nikazidisha mapenzi kwake kiasi kwamba asione tofauti na nikakubaliana nalo kwamba mungu anasababu zake kumfanya hivyo.

Ila Al hamdillah nachoshukuru dogo ana akili sana na darasani wa kwanza ,WATOTO KIANZIA MTAANI NA SHULENI WALIANZAGA KUMSUMBUA ,KUMCHEKA ,ila nilipambana nao na kumfanya ajione kawaida na nashukuru hata wao wamemzoea na wanamuona sawa wala hawamtanii na maisha yanaendelea.

DUNIA KAKA INA CHANGAMOTO NYINGI SANA NA KILA JAMBO MUNGU ANA SABABU ZAKE ,
 
Back
Top Bottom