Je umewahi kutumia sarafu hizi za kitanzania?

Je umewahi kutumia sarafu hizi za kitanzania?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Je umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?

Au
Screenshot_20241229-170612_Chrome.jpg

ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆​
 

Attachments

  • Screenshot_20241229-170911_Chrome.jpg
    Screenshot_20241229-170911_Chrome.jpg
    98 KB · Views: 4
Je umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?

AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆​
Hiyo shilingi tano "Gwala" Shule ya Msingi ilikuwa na nguvu sana.

Unaenda nayo shule unakula siku nzima.

Sa nne muhogo shilingi, ashikirimu shilingi, halafu saa nane unarudia ashikirimu na bajia, na shilingi inabaki akiba.
 
Back
Top Bottom