Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tumenunulia sana bazoka hasa hizo senti tano miaka ya mwanzo ya 80Je umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?
AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumenunulia sana bazoka hasa hizo senti tano miaka ya mwanzo ya 80Je umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?
AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆
Hatufi leo mkuu bado tupotupo sana!Ili nchi ipate katiba mpya inabidi kizazi chote kilichotumia hizo sarafu kifutike kwenye uso wa dunia yaani kife
Senti Hamsinisumni = thumuni
Liliitwa dala kwa sababu thamani yake ilikuwa sawa na US dollar moja.Hilo liliitwa 'dala'
Hilo lilikuwa kibunda tosha kabisa
Hakuna namna Inabidi tufe tu ili waje watu wanaoweza kufanya ya maana zaidiHatufi leo mkuu bado tupotupo sana!
Miaka ya 70 senti 20 nilikuwa napata chapati na kachumbari shuleniTumenunulia sana bazoka hasa hizo senti tano miaka ya mwanzo ya 80
Maisha matamu hata kama huwezi kutembea 😄Hakuna namna Inabidi tufe tu ili waje watu wanaoweza kufanya ya maana zaidi
Watu tumetumia hadi tabora poundJe umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?
AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆
doh sababu? akili zimeexpire au?Ili nchi ipate katiba mpya inabidi kizazi chote kilichotumia hizo sarafu kifutike kwenye uso wa dunia yaani kife
Nilitumia zoteJe umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?
AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆
kabisa aiseeHatufi leo mkuu bado tupotupo sana!
Cent 5 nilikuwa nanunulia pencil moja miaka hiyo. Tukiwa watoto nikiwa na miaka 7 mwaka fulani hiyo cent 20 bwege mmoja alikuwa anaoga ameacha nguo. Mwenzetu akazama mfukoni akatokea nayo, tulinunua fezez tunaongeza maji, tukiwa zaidi ya 6, na biscuits hadi tukasaza.Je umewahi kutumia pesa hizi za kitanzania?
AuView attachment 3187855
ndio kwanza unaziona hapa kwa mara ya kwanza?😆
Huku ni kung'ang'ania uhai hakuna tofauti na jinsi Mbowe anavyong'ang'ania madarka😏Maisha matamu hata kama huwezi kutembea 😄
Mnakimbiza nini?Zote nimetumia!! Kuna na zile za noti shs 10, 20, 50 100, 200 na 500.
Halafu bado nakimbiza na vijana wadogo kabisa japo nimewaacha mbali.
Uwezo wetu ndio umeishia hapa, kama ni gari inatakiwa kushishwa engine, kama ni computer inabidi kupiga chini window na kuformat kila kitu😃doh sababu? akili zimeexpire au?
Mama ntilie ni msemo wa Pwani.. Watu wa pwani jioni hawana tabia ya kupikaMiaka ya 70 senti 20 nilikuwa napata chapati na kachumbari shuleni
Neno mama ntilie sijui limeanza lini maana zamani tulikuwa hatulijui
Kwenye shida na furaha 😄Huku ni kung'ang'ania uhai hakuna tofauti na jinsi Mbowe anavyong'ang'ania madarka😏
lile gwala lilitembea sanabilashaka na sh5 umeitumia
Zote nimetumia!! Kuna na zile za noti shs 10, 20, 50 100, 200 na 500.
Halafu bado nakimbiza na vijana wadogo kabisa japo nimewaacha mbali.