Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa tukiwaachia nyie maafisa ubashiri si mtafirisi na kuiwekea mkeka nchi yetu mkuu. 😀😀😀Ili nchi ipate katiba mpya inabidi kizazi chote kilichotumia hizo sarafu kifutike kwenye uso wa dunia yaani kife
We nae wa juzi tu 😃Ukitoa hizo sent sent, naona hapo kuna sh.10 na sh20 nimewahi kuzitumia😊😊
Na Sisi ya maana tumeyafanya bwana! Ila bado bado tunasukuma aisee! Bado kama miaka 15 hivi!Hakuna namna Inabidi tufe tu ili waje watu wanaoweza kufanya ya maana zaidi
Wala hata sio wa juzi,. Kuna watu wako humu na hawajaziona kabisa hizo🤓We nae wa juzi tu 😃
mzee mtei na nyirabu wamegonga mikwaju yao imetulia hapo
Hahahaha kwahiyo nawe ni muhenga mkuu?Wala hata sio wa juzi,. Kuna watu wako humu na hawajaziona kabisa hizo🤓
Dah,
Kwetu tunaita gwala wakati huoHilo liliitwa 'dala'
Hilo lilikuwa kibunda tosha kabisa
itakuwa shilingi 5 hiyo maana ilitumika muda mrefu sana hiyoUkitoa hizo sent sent, naona hapo kuna sh.10 na sh20 nimewahi kuzitumia😊, Na hiyo ya pembeni sijui shilingi tano
YAani we acha tu, tushazeekaHahahaha kwahiyo nawe ni muhenga mkuu?
Yeah nimewahi kuitumia nayo,.itakuwa shilingi 5 hiyo maana ilitumika muda mrefu sana hiyo
Hizi ndio zilikuwa nyekundu za ukweli sana
Oaaa weee mi mtoto wa mbwa mwitu ujuena bado upo active kwa uzi pendwq wa mkuu rikiboy 🤣(joking)
Ukibana matumizi unabaki na akiba kabisaHiyo shilingi tano "Gwala" Shule ya Msingi ilikuwa na nguvu sana.
Unaenda nayo shule unakula siku nzima.
Sa nne muhogo shilingi, ashikirimu shilingi, halafu saa nane unarudia ashikirimu na bajia, na shilingi inabaki akiba.