Je umri gani Serengeti boys ....Wanakuwa wakubwa ....

Je umri gani Serengeti boys ....Wanakuwa wakubwa ....

Hao vijana wako U17 labda hamfuatillii habari za michezo.Mambo ya kutumia vyeti vya kuzaliwa yalishapitwa na wakati.Majuzi tu CAF walikuwa nchini.kuwapima watoto hawa kipimo cha Umri (MRI?),wote wako 17.Miili ya mazoezi hiyo.ISSUE kubwa ilikuwa je wakati wa mashindano wote watakuwa bado U17?TFF walisema walishalifanyia kazi watoto wote watakuwa bado 17 cum May,2017.Go go Serengeti boys.Mungu ibariki Tanzania
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umenikumbusha mbali Mkuu hapa ulipotumia neno "cum". Cyo wote wenye kujua maana yake, mwenzake na "cum" anaitwa " ex"
 
Kiukweli kabisa hawa madogo baadhi yao ni beyond 17...iwe kwa MRI au kwa macho...ukweli ni ukweli tuh...yasije tukuta kama ya miaka ile tukashindwa kuingia fainali sababu ya umri wa mchezaji.
 
Kinachokufanya umuone kaseja kashapita 30 ni nini!?wabongo bwana mnaishi kwa kukariri!!
Ameanza kucheza Simba mwaka 2001 yaani miaka 16 iliyopita na kabla ya hapo alicheza miaka 2 Moro United kwa hiyo ameanza kucheza soka la ushindani akiwa na umri gani.
 
Ameanza kucheza Simba mwaka 2001 yaani miaka 16 iliyopita na kabla ya hapo alicheza miaka 2 Moro United kwa hiyo ameanza kucheza soka la ushindani akiwa na umri gani.
hahahahahahaha umetisha
itakuwa miaka 12.
.
ila watz kwa kudanganya umri hawajambo hapo kuna madogo kama wawili nawajua ni 20yrs ila ndo hivyo acheni wapate tu ulaji maisha yenyewe ndo hayahaya kama hizo MRI zimeshindwa kuwadetect basi acha wale maisha
.
wabongo mabingwa wakufanya happy birthday party ila kutaja umri ndo kimbembe unaweza kutolewa hata bastola
 
Mwili wa mazoezi ndio unampelekea kijana kijana wakiume kuonekana anamika 21 achaa uongoo pia hivyo vipimo sidhani kama vitakuwa vimepimaa sawa na sizani kama.vishafika africa....hii....wangekuwa wakike sawa lakini wakiume achanganyee kukomaaa kiasi hichoo.....
Vipimo habijafika africa? jamani km soka c hobby yenu kaeni kmya yle kijeba wa congobrazaville iliamriwa na caf aende misri kupimwa MRI ss we unaesema Africa bdo hatuna hicho kipimo hv Misri ni america? Nchi inapoandaa mashindano lazma wawe na hicho kipimo watapimwa tena na tena Gabon naona unabishana tu ilhali soka lenyewe c mfuatiliaji umeng'ang'ana tu wakubwa wakubwaaaa we mcameroon nn?
 
Kama CAF wamewakubali kwamba wako U-17 we unabisha nn sasa. Na ubishi wako unatusaidia nini kama Taifa.
 
Wanajamvi hili la sport naombaa tuwekanee saawa kuhusu huu umrii wa wachezaji wa serengetii boys .....kweli tanzania kijana wa umri wa miaka 17 anakuwa hiviii..... Jaman hebu 2we wakweli msema kweli nimpenz wa mungu...hiv hapa kuna under 17 kweli? Tz bana hahaha cheka kwadharaaaaaaaauuu..SIO BASHITE TU HADII VYETI VYA KUZALIWA TUVIKAGUEE....KWA SERENGETI BOYS.

21efaddaef85ac8e4a4d4625560f2bf9.jpg
Tatizo lako ni umeogopa suti, hujawahi ona kijana mdogo katupia suti alafu anaamkiwa na wakubwa zaidi yake??
 
labda mpira ndio unawachosha, huenda wakawa wadogo kweli tehe tehe tehe
walete vyeti na wao
 
Hao vijana wako U17 labda hamfuatillii habari za michezo.Mambo ya kutumia vyeti vya kuzaliwa yalishapitwa na wakati.Majuzi tu CAF walikuwa nchini.kuwapima watoto hawa kipimo cha Umri (MRI?),wote wako 17.Miili ya mazoezi hiyo.ISSUE kubwa ilikuwa je wakati wa mashindano wote watakuwa bado U17?TFF walisema walishalifanyia kazi watoto wote watakuwa bado 17 cum May,2017.Go go Serengeti boys.Mungu ibariki Tanzania
Acha uongo wewe hapo hakuna U 17
 
Mwili wa mazoezi ndio unampelekea kijana kijana wakiume kuonekana anamika 21 achaa uongoo pia hivyo vipimo sidhani kama vitakuwa vimepimaa sawa na sizani kama.vishafika africa....hii....wangekuwa wakike sawa lakini wakiume achanganyee kukomaaa kiasi hichoo.....

79c9fcc8fd18b989644b8138d3ceb44b.jpg
uyu hapa ana miaka 17,na anaonekana mkubwa zaidi ya hao hapo. Siku hizi hakuna kudanganya umri tena,teknolojia imekua. Kongo walichezesha aliezidi umri wakatolewa kwenye mashindano ndio Serengeti wakapita.
 
Back
Top Bottom