Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV

Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV

Ahahaaa kaka Duniani kila mtu kaletwa na kibaji sema wote tupo na vipaji tofauti. Kuwa na kibaji pekee haitoshi. Kipaji ni kama mimba mwanamke ili azae anaitaji kuwa mvumlivu kuna vitu atatakiwa asile na asifanye pia atatakiwa kuhudhuria clinic kujua maendeleo ya mimba. Mwisho wa siku atazaa kwa taabu sana na atahitaji kutumia nguvu kupushi mtoto na pia atahitaji ushirikiano wa manesi... Kaka Kipaji chako ni mimba yako kuna vitu utakiwi kufanya na kuna vitu utakiwi kula. Mfano uwez sema unataka kuwa news anchor then uangalii habari jee utajuaje wenzio wanafanyaje, ama unavuta bangi na kupenda vinywaji vya baridi jee utaweza kuimprove sauti yako vp ni sawa mama mjamzito anaekunywa pombe kali daily jee ataweza jiifungua vizuri.
Unataka kuwa mwanahabari jee umesoma yaan shule ndoo clinic ya mimba yako ndiyo itakayo kuwa inakusukuma kimaendeleo,.
Mimba inaanzaga kuwa changa hadi Inakuwa jee alivyoandika hapo Pascal umeshafanya vingap kama bado rudi chimbo tengeneza saut na muonekano wako mzuri pia jifunze how to create journalism contents and ideas. Then utakuwa umefikisha miez sita tumbo kubwa sasa tafuta mentor Tanzania mwanamke akifika miez sita ya ujauzito wa kwanza anaenda kwa mama yake kwa sababu mama ake anajua jinsi ya kumuongoza mwenye mimba so na ww tafuta mentor wa kukuongoza kuzaa Kipaji chako... Na hapo ndoo utaumia sana kama mwanamke akiwa kwenye mwezi wa saba wa ujauzito anapata shida but atoi mimba kwan anajua kuwa atazaa soon nawe uskate tama
Kumbuka mayalla ajafka hapo alipo kwa siku moja kapambana sana na amekuwa inspiration kwangu na wanahabari wengine binafsi siwez mfata gafla naisubilia mimba ifike miezi saba niende kuonana nae tujenge jinsi ya kuzaaa Kipaji changu
Safi sana nakuelewa sana, ila wenye vipaji wengi hawajulikani mkuu na wengine wanakufa na vipaji vyao mkuu
 
ASANTE KWA ELIMU HII.
MM NA MAWAZO MAZURI SANA YA KUAANDA VIPINDI LAKINI NAKOSA VIFAA NA WATU MAKINI MWENYE UWEZO WAKUBEBA MAWAZO YANGU.NIMEGUNDUA KUWA MWANZO NI MGUMU SANA KATIKA KUSHIRIKISHA AU KUWASILISHA WAZO KWA MTU MWINGINE.
Hata mm nililigundua hili nikaanza harakati taratibu,angalau nifike sehemu mtu aniamini ninachokifanya,kwaio usisubiri mtu akuamini mkuu anza mwenyewe watakuamini mbele ya safari
 
Bahati mbaya matangazo yote ya Saba Saba ni outdoor hayahitaji taa, ila hata ukinibebea betri tuu ya kamera, inalipa!, kuna sura zingine ukiandamana nazo, zina mvuto wa bahati!, si unashuhudia jinsi chama chetu kilivyo dorora siku za hivi karibuni, laki baada tuu ya kuingia sura mvuto, mara ghafla kimeng'aa, hata wasiokwendaga mpirani, sasa wamekwenda!, usifanya masikhaa na sura za mvuto!. Tena sisi wenye njaa, tunakula tuu kwa macho na tunashiba!.

Paskali
Then Mkuu Pascal Mayalla tusaidie pia ni wapi tunaweza kwenda kusajiri IDEA zetu - pamoja na Segments, na Vipindi ili kuwa SAFE Side bila kusahau Gharama zake zikoje
 
Then Mkuu Pascal Mayalla tusaidie pia ni wapi tunaweza kwenda kusajiri IDEA zetu - pamoja na Segments, na Vipindi ili kuwa SAFE Side bila kusahau Gharama zake zikoje
Kabla hujasajili idea, unaanzia Brella unasajili jina, kisha nenda COSOTA, idea yako utapewa copy right, the best way kuiprotect idea yako, kwenye proposals za kutafuta udhamini, weka synopsis tuu, maana wengine wakishaona, watakuambia they are not interested, kisha siku mbili tatu, wanaibuka nayo!.

Wale madogo wa THE COMEDY SHOW, walipohama ITV kwenda TBC, wakazuiwa kutumia jina hilo, hivyo wakabadili na kuwa Ze Comedy Show, then kuna Original Comedy, hata TMK Wanaume, maana yake TEMEKE, aliyesajili mwanzo ni Mkubwa Fella, kina Nature walipojitoa, wakajiita TMK Halisi etc, kinachomater ni kulinda wazo lisiibiwe, mimi mawazo yangu yote, nayasambaza bure bila protection yoyote kwa sababu, pesa zangu nazi make kwenye consultancy na presentation na sio kwenye ideas.

Paskali
 
Kabla hujasajili idea, unaanzia Brella unasajili jina, kisha nenda COSOTA, idea yako utapewa copy right, the best way kuiprotect idea yako, kwenye proposals za kutafuta udhamini, weka synopsis tuu, maana wengine wakishaona, watakuambia they are not interested, kisha siku mbili tatu, wanaibuka nayo!.

Wale madogo wa THE COMEDY SHOW, walipohama ITV kwenda TBC, wakazuiwa kutumia jina hilo, hivyo wakabadili na kuwa Ze Comedy Show, then kuna Original Comedy, hata TMK Wanaume, maana yake TEMEKE, aliyesajili mwanzo ni Mkubwa Fella, kina Nature walipojitoa, wakajiita TMK Halisi etc, kinachomater ni kulinda wazo lisiibiwe, mimi mawazo yangu yote, nayasambaza bure bila protection yoyote kwa sababu, pesa zangu nazi make kwenye consultancy na presentation na sio kwenye ideas.

Paskali
Shukhrani sana kaka, Tufafanunulie hapo RED Umeniacha kidogo sijaelewa
 
Nimepitia hii thread page 01 mpaka ilipofikia na to be HONEST nimepata something very positive and very super helpful...Ahsante sana kaka Pascal Mayalla kwa kutuelimisha na pia kujibu maswali yote kuhusu hili...Mungu akubariki....Shukrani sana
 
Mkuu Abtali Mwerevu, kitu muhimu kuliko vyote kama nilivyoeleza ni kuwa na idea, wazo, that is where money lies!.

Baada ya wazo, ndipo kinakuja kipaji, ukiwa na wazo, hata kama huna kipaji, unaliuza wazo lako, kwenye TV Stations, then wao ndio watatafuta hao wenye vipaji kuendesha kipindi chako.

Baada ya kutambua kipaji, ndipo sasa unakitafutia elimu ya utangazaji. Elimu ni kitu kinachofundishika, ila kipaji ni kitu ambacho mtu anazaliwa nacho, kikiendelezwa kwenye the right direction ndipo kinatengeneza pesa.

Vyuo vya uandishi wa habari, kila siku vinawapika mamia ya waandishi na watangazi, ila only wenye vipaji, ndio they make it kwenye fani, wakati mitaani kuna wenye vipaji kibao, ambao hawakubahatika kupata elimu ya utangazaji, mwisho wa siku vipaji vyao vinaishia kujifia bure!.

Paskali
Wanabodi huu ni msimu wa Saba Saba. Nimejitolea kutangaza fursa za utangazaji kwa Watanzania wenye vipaji vya Utangazaji. Kama unajihisi una kipaji cha Utangazaji wa Redio na TV, mimi nimejitolea kufanya screening bure kule kwenye viwanja vya Saba Saba. Unachotakiwa kufanya ni kuwa na Kiingilio chako kwenye Saba Saba. Zoezi la Screening litafanyika Siku ya Jumamosi Tarehe 8/7/2017 kuanzia saa 8:00 mchana ndani ya ofisi za PPR ambazo ziko ndani ya viwanja vya Maonyesho.

Paskali
 
Mayalla Maswali umeyajibu na nimeridhika kazi moja iliyobaki kwangu mimi na wewe sasa ni kukusikilizisha kazi ya mtu mwenye elimu na kipaji unaweza toa maoni yako kuhusu kazi hii kama atafaa basi utajua jinsi ya kumsaidia kufikia malengo yake.

(Sjui njia gani sahihi naweza kutumia kazi hizo zikufikie)

Asante

Wanabodi huu ni msimu wa Saba Saba. Nimejitolea kutangaza fursa za utangazaji kwa Watanzania wenye vipaji vya Utangazaji. Kama unajihisi una kipaji cha Utangazaji wa Redio na TV, mimi nimejitolea kufanya screening bure kule kwenye viwanja vya Saba Saba. Unachotakiwa kufanya ni kuwa na Kiingilio chako kwenye Saba Saba. Zoezi la Screening litafanyika Siku ya Jumamosi Tarehe 8/7/2017 kuanzia saa 8:00 mchana ndani ya ofisi za PPR ambazo ziko ndani ya viwanja vya Maonyesho.

Paskali
 
Pia inaskitisha sana umu Jamii forum post kama hii wachangiaji wachache post ya kumdisi lemutuz watu nyomiiii
Hii post ni kwa watu wenye interest au ideas kwenye mambo ya uandaaji na biashara ya vipindi vya tv na redio....usitarajie kila mpuuzi ataingia humu. This is for the choosen one but are also rear ones.
 
Wanabodi huu ni msimu wa Saba Saba. Nimejitolea kutangaza fursa za utangazaji kwa Watanzania wenye vipaji vya Utangazaji. Kama unajihisi una kipaji cha Utangazaji wa Redio na TV, mimi nimejitolea kufanya screening bure kule kwenye viwanja vya Saba Saba. Unachotakiwa kufanya ni kuwa na Kiingilio chako kwenye Saba Saba. Zoezi la Screening litafanyika Siku ya Jumamosi Tarehe 8/7/2017 kuanzia saa 8:00 mchana ndani ya ofisi za PPR ambazo ziko ndani ya viwanja vya Maonyesho.

Paskali
Kaka Pasco hili bandiko sijaliona ndugu yangu, ningehudhuria, lini tena utatoa fursa kama hii?
 
Back
Top Bottom