Je, una lipi la kumuambia Kocha mpya wa Simba?

SOKA LA BONGO UKISIMULIWA KWENYE MAANDISHI AU GAZETI, RAHA SANA

ILA NJOO UWANJANI SASA....
Una maanisha Zoran.....ni Kama tu yule Pablo wa kushambulia Kama nyuki [emoji219][emoji219][emoji219][emoji219]?
 
Lete kwanza cv ya nabi mnayemuita professor kama kuna team kashawahi kukaa mwaka mmoja zaidi ya vyura wa kigamboni baada ya kutembeza bahasha za kaki.
 
Lete kwanza cv ya nabi mnayemuita professor kama kuna team kashawahi kukaa mwaka mmoja zaidi ya vyura wa kigamboni baada ya kutembeza bahasha za kaki.
Hapana mkuu.....tuna mjadili kocha Zoran kwanza
 
Daaah...nyie ndo mnasababisha Manara aone sisi Yanga tuna Vinyesi kwenye nguo. Kumbe ni sababu ya watu wachache kama wewe mnakuwa na kinyesi kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…