Mimi ni msomaji mzuri sana wa vitabu na nina karama ya kupambanua dhamira za watu,Hamna mkuu.....soma sana vitabu upate maarifa utanielewa
Ingekuwa hivyo....ungeelewa umuhumu wa uchambuz wanguMimi ni msomaji mzuri sana wa vitabu na nina karama ya kupambanua dhamira za watu,
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sasa uneutral wako mbona unalenga negativities za Simba tu?Ingekuwa hivyo....ungeelewa umuhumu wa uchambuz wangu
MO BOXINGNasikia wamemkera....now anahamia kwenye ndondi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna mkuu......mm ni mchambuzi wa soka and not shabiki
Wee kichaaa msuva yuko Saudi Arabia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa Mayele pale Aziz, Fei toto, Msuva.. ni msiba mmoja baada ya mwingine
Aache shobo. Soka la Tanzania lina wenyewe. Ataondoka kabla ya siku zake huyooZoran: akiongea na waandishi wa habari amejitapa kuwa " Mimi Ni muumini wa soka la kasi na sitaki mchezaji akae na mpira muda mwingi......pia sitaki pasi za nyuma ( anataka pasi za kwenda mbereee[emoji23][emoji23])
Katika kipindi cha kwanza wachezaji walikuwa wanakaa Sana na mpira that's y tulishinda goli moja .......but Kipindi cha pili kasi iliongezeka na wachezaji walikimbia kuelekea mbele ndio maana tulipata magoli matano
...........................................................
Vitu vya kumkumbusha ndugu Zoran el de kolo
1) Asisahau kuwa timu anazocheza nazo pre season ni a ligue dalaja la 3 pale Egypt
2) akumbushwe kuwa Kuna mwamba anaitwa Feitoto......& Mayele
3.) Pablo alikuja na tambo akisema anahusudu soka la kushambulia Kama nyuki [emoji219][emoji219][emoji219][emoji219][emoji219]
Je Kama mwana soka ...(Simba) una lipi la kumwambia kocha letu kimataifa....
Source : mchambuzi
Thanks
mkuu....kwani hujui kuwa tunapo expose weakness( negativity kama ulivyosema) ndipo tunaleta uimara kwnye timu[emoji23][emoji23]Sasa uneutral wako mbona unalenga negativities za Simba tu?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo udhaifu unauona Simba tu na Yanga unaona wako 100% perfect?mkuu....kwani hujui kuwa tunapo expose weakness( negativity kama ulivyosema) ndipo tunaleta uimara kwnye timu[emoji23][emoji23]
Hapana mkuu....ila najua unaelewa kuwa kipindi hiki cha miaka 3+ mmepata tabu sana kupata makocha.......gomez......pablo.....zoranKwa hiyo udhaifu unauona Simba tu na Yanga unaona wako 100% perfect?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
PROMOTA, NA SPONSASasa sjui mayeye atakuwa mpiganaji au?
Wewe ni shabiki na mpenzi wa Yanga ni haki yako kuiona Simba kwa mtazamo huo.Hapana mkuu....ila najua unaelewa kuwa kipindi hiki cha miaka 3+ mmepata tabu sana kupata makocha.......gomez......pablo.....zoran