sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Hujaelewa mkuu. Nilimaanisha jino linakuwa limebandikwa au linakuwa la kuvalisha na kulitoa? Kuna yale unavaa wakati wa kuongea na unapokula unatakiwa kuyatoaHakunaga jino bandia la moja kwa moja though ukilitunza linakaa 10+ years