Je, una utaratibu wa kupongeza rafiki zako? Messi amewazawadia timu ya Argentina iphone 14 za dhahabu kila mmoja kwa kutwaa World Cup 2022

Haa Man Utd hoyeee
Tunaomba hiyo ya Matinez apewe Aubameyang
 
Labda wawape wake zao, Mana muonekanwo wakike kabisa.
 
Mbona wanamatafuta Messi ili wamuue sasa shida nini?
Maana jana risasi za kutosha zimepigwa dukani kwake na wakaacha ujumbe kwamba "Tunakusubiri"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…