Auto-Marvelt JF-Expert Member Joined Jul 13, 2019 Posts 1,653 Reaction score 3,336 Mar 3, 2023 #21 Haa Man Utd hoyeee Tunaomba hiyo ya Matinez apewe Aubameyang
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Mar 3, 2023 #22 Labda wawape wake zao, Mana muonekanwo wakike kabisa.
Farolito JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 12,001 Reaction score 27,175 Mar 3, 2023 #23 Mbona wanamatafuta Messi ili wamuue sasa shida nini? Maana jana risasi za kutosha zimepigwa dukani kwake na wakaacha ujumbe kwamba "Tunakusubiri"
Mbona wanamatafuta Messi ili wamuue sasa shida nini? Maana jana risasi za kutosha zimepigwa dukani kwake na wakaacha ujumbe kwamba "Tunakusubiri"