Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?


Kweli kabisa mkuu, kama Biblia inavyosema ukiamini kwa imani ndogo kbs sawa na mbegu ya haradali utahamisha milima. Ukiamini na kuilazimisha subconcious mind ikufanyie kazi itavuta na kukuletea chochote unachotaka. Hatujui ndo maana tupo tulivyo, kama ulivosema laiti tungejua!!!
 
Karibu mkuu. Mchango wako muhimu
 
Hiyo kitu ya thinking ndio inakuaje mtu akiwa nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…