Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mkuu. Fanyia kazi unaweza basilisha mfumo wa maisha yakoMada murua sana mkuu Binafsi nimeelewa sana
Kuna mambo ambayo nitaanza kuyafanyia kazi naona Kama yananikwaza halafu yanataka kugeuka sehemu ya Maisha yangu
Ingawa siwezi kuiita Kama ni mkosi
Ahsante sana mkuu. Fanyia kazi unaweza basilisha mfumo wa maisha yakoMada murua sana mkuu Binafsi nimeelewa sana
Kuna mambo ambayo nitaanza kuyafanyia kazi naona Kama yananikwaza halafu yanataka kugeuka sehemu ya Maisha yangu
Ingawa siwezi kuiita Kama ni mkosi
Binafsi nimekuelewa vizuri sana ila sijakubaliana na wewe kwa jinsi ulivyo husia ishamatatizo na tabia..... ulimwengu upo katika sehem mbili , ulimwengu usioonekana na unaoonekana. Ulimwengu usioonekana nao umegawanyika katika kambi mbili...kambi ya shetani na kambi ya mungu. Pia ulimwwengu unaoonekana (yani humu tunamoishi)nao umegawanyika hivo hivo. Upo upande wa mungu na upande wa shetani. Sasa bwana ulimwengu usioonekana una nguvu sana na ndo unaotawala ulimwengu usioonekana....kila upande una tabia zake i mean characteristics..... shetani yakwake yanajulikana ziku zote kuwa yeye mambo mabaya i mean dhambi ndo mahala pake na kwa mungu ni utakatifu kama inavofahamika.... pia kila upande( wa mungu na shetan) una wajumbe wake wengine wana sema malaika wake ambao hutimiza kazi za kila upande......mfano upade wa shetani una malaika wake au wajumbe wake au mapepo ambayo hufanya chini juu ili ule ufalme wao upate wafuasi na kutimiza malengo yao ikiwemo kusababisha mambo mabaya yakiwemo mikosi,mabalaa, ajali, madeni, hasara katika biashara na mambo mengine mengi......pia kwa mungu napo hivo hivo malaika pia wapo kuujenga ufalme wa mugu ikiwa na kutoa baraka na kukomboa mateka waliotekwa na upande wa pili. Pande zote zina nguvu ila MUNGU ana nguvu zaidi ya yote...Guys hivi nimeeleweka kweli? Maana japo nimeandika mm nimejaribu kusoma ila naona kama sielewi hivi..Bahati mbaya sina njia nyingine ya kuandika hii post ikaeleweka
Sure mkuu.. hafu ukitembea nae basi ujue utakua unapata wa namna hiyo tuNi kweli... Ni kama vile ukikutana na mwanamke kahaba.. unaweza kumjua hata kwa kumuona.. tayari ile roho yake ya ukahaba inawasiliana vema na nature (mazingira) yanayomzunguka. Umeeleweka vema
Kweli mkuu ulinzi wa Mungu nao muhimu sana katika hili..ndio maana paragraph ta mwisho nimetoa ushauriTatizo Mungu alivyomwondolea Ayubu ulinzi, shetani akawa anasoma movement zake zote akawa anampiga kila eneo. Cha muhimu ni kumwomba Mwenyezi Mungu atuwekee uzio wa moto (ulinzi wa roho mtakatifu) kila siku. Kuna binti alikuwa anashuhudia kwenye Agape TV miaka imepita kidogo, alikuwa anashuka kuzimu chini ya maji. Sasa anadai wakiwa huko wanaona kinachoendelea huku duniani kama mtu anavyoangalia TV sebuleni kwake. Maana yake ni kwamba shetani na mawakala zake wanaweza ku track movement zako na kukupiga na laana, mikosi na magonjwa kama huna protection ya roho wa Mungu au kama huna ushirika na roho zao.
😂😂😂 jamaa wananigombania kama mpira wa kona,huku maisha kule watemi,balaa moja kwa moja.Itapunguza kuonewa pia..