Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Natamani pangekuwa na awards tofauti na likes ambazo mtu akiandika kitu kama hiki ,Mimi msomaji naweza kum award. Mitandao mingine wanayo mfano , gold, silver nk. Ambazo zinakuwa zinatokana na coin ambazo mtu anazipata anapokuwa anatumia huo mtandao. Pia zinauzwa kama hauna coin unaweza kulipia award yako halafu ukaitunza kwenye thread ya maana, na yenye akili kama hii. Hiyo inakuwa inatoa motisha na kutofautisha hii thread na threads nyingine.
Huu Uzi ningeupa tuzo ya Silver na Gold kwa pamoja maana naona kutoa likes sijautendea haki huu Uzi.
Again hili andiko naweza kusema kuliandaa ilikuchukua siku nzima na inawezekana hata wiki. I appreciate you.
Paula Paul, mbona jina lako kama vile la kike? Nisamehe lakini
 
Natamani pangekuwa na awards tofauti na likes ambazo mtu akiandika kitu kama hiki ,Mimi msomaji naweza kum award. Mitandao mingine wanayo mfano , gold, silver nk. Ambazo zinakuwa zinatokana na coin ambazo mtu anazipata anapokuwa anatumia huo mtandao. Pia zinauzwa kama hauna coin unaweza kulipia award yako halafu ukaitunza kwenye thread ya maana, na yenye akili kama hii. Hiyo inakuwa inatoa motisha na kutofautisha hii thread na threads nyingine.
Huu Uzi ningeupa tuzo ya Silver na Gold kwa pamoja maana naona kutoa likes sijautendea haki huu Uzi.
Again hili andiko naweza kusema kuliandaa ilikuchukua siku nzima na inawezekana hata wiki. I appreciate you.
Ilinichukua masaa 3 ila nilikua na wazo muda mrefu kuandika kitu hiki.. Huku hakuna hilo tofauti na kum Follow mtu.
Ahsante kwa Appreciating.. inatia moyo sana.
Ahsante nitajithidi kuendelea kuandika vitu vizuri
 
Ilinichukua masaa 3 ila nilikua na wazo muda mrefu kuandika kitu hiki.. Huku hakuna hilo tofauti na kum Follow mtu.
Ahsante kwa Appreciating.. inatia moyo sana.
Ahsante nitajithidi kuendelea kuandika vitu vizuri
Jukwaa la jamii intelligence nilikuwa sijaligundua. Nitakuwa nalitembelea Mara kwa Mara ukipost mada zako nizione.
Naku follow pia.
 
Mkuu kwenye huhitimisha umesahau kutuambia tuka clear catches kule kwenye processor..😁😁 huwezi amni tokea juzi button ya ku clear cookes imejihold nahisi ikimaliza hapa nitakua mpya,masingle mama kwaherini,madada poa kwaherini,wanafunzi kwaherini😂.
Mimi nimekuelewa vizuri sana mkuu kuna somo uliwahi kufundisha humu nimefanya reference nimezidi kuelewa zaidi mkuu,
Asante sana. Nimeelewa pia kwanini walimu wana oana walimu kwa walimu,ma askari kwa ma askari, mafundi nguo kwa mafundi nguo..
Kimsingi nimepata mbinu za kutoka nnje ya box
 
Mkuu kwenye huhitimisha umesahau kutuambia tuka clear catches kule kwenye processor..😁😁 huwezi amni tokea juzi button ya ku clear cookes imejihold nahisi ikimaliza hapa nitakua mpya,masingle mama kwaherini,madada poa kwaherini,wanafunzi kwaherini😂.
Mimi nimekuelewa vizuri sana mkuu kuna somo uliwahi kufundisha humu nimefanya reference nimezidi kuelewa zaidi mkuu,
Asante sana. Nimeelewa pia kwanini walimu wana oana walimu kwa walimu,ma askari kwa ma askari, mafundi nguo kwa mafundi nguo..
Kimsingi nimepata mbinu za kutoka nnje ya box
Hahahaaa mkuu hongeraa sana mkuu..
somo gani hilo lingine mkuu
 
Back
Top Bottom