Mkuu pole sana kwa hilo..
Tatizo ni kwamba mada zangu nyingi hua naandika kwa mfumo wa sequel.. mada hii ili uelewe vizuri inabidi usome nyuzi zangu kadhaa za miaka ya nyuma. Maana huko tunaaanza na kujiuliza mimi ni nani??? Ukishajua ndio unanmsoma yule uliyemjua sasa.
Je wewe mkuu Unadhani wewe ni huo mwili????maana utaupoteza soon tu utakapokufa. Je nawe utakua umepotea?? Mwenyewe si unasikia wanaita kwamba huu ni "Mwili wa fulani" kwenye misiba je fulani mwenyewe yupo wapi??? Ndio utagundua kua huo ni mwili tu wa vildamir putina ila putina mwenyewe yupo sehemu. Sasa hapa tunadeal na huyo V Putina sio mwili wake.
Kweye kuuconvice mwili kua unaweza kutembea wakati mtu huyo ameparalaizi inakua hivi...
Kama mtu kapalalaizi akiwa anatibiwa daktari nazipangilia upya neva zilizoharibika kwa madawa na upasuaji..hapo Cell zitauponyesa mwili huo uliopalalaizi mwili huo, hapo Cell zinakua zimeprogramiwa/Programmed na Daktar kujirudisha kama ilivyokua mwanzo ili mtu apone..kitendo hicho kinaitwa Cellular regeneration.
Sasa mkuu kila kitu kinaanza rohoni as a power house ya mwili...Mara nyingi tunavyotibiwa hospital tunatibiwa kutokea nje (mwilini) sio kutokea ndani ya Roho. So hivyo basi ukitaka kujitibu kupitia rohoni kama hivyo mtu aliyeparalaizi kujiconvice kwamba anaweza kutembea. Anapojikonvisi hivo anaruhusu roho yake kuachilia nguvu zake za kioho (Psychic Power) kuja kwenye mwili wake. Zinapoingia mwilini mwake in Extraordinary way mtu anajikuta ameweza kutembea. So technically mtu anakua hajatibiwa kwa cellular regeneration bali zile nguvu zake kiroho alizoziachia kuingia kwenye mwili wake...
Sijui angalau umenielewa mkuu ....?
Sio mtu wa medical labda
Rebeca 83 atusaidie hapo kwenye cell regeneration