Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
- Thread starter
- #621
Nitakua nakopi kutoka kwenye nyuzi zagu huko nawawekea hapa kama hivi.Dah haya madini na maarifa kama hayo uliyokipi kutoka katika jukwaa la dini, nifanyaje ili nami niyaoate? Ashante sana mkuu.
Asking questions is the best you can do..And I will respond toward them.
Wasiliana na moderators wanaweza kukuunga