Je unafikiri Elimu kama hii kwa watoto huko mashariki ya kati itawezesha kweli amani ipatikane?

Je unafikiri Elimu kama hii kwa watoto huko mashariki ya kati itawezesha kweli amani ipatikane?

Mkuu fikiria upo kwako anakuja mtu ambaye aliomba hifadhi kama mkimbizi mara tu mambo yanageuka; unanyang'anywa ardhi, nyumba yako ivunjwe, ndugu zako wauwawe, ndugu zako wakamatwe na kupelekwa kambi za kijeshi kwa mateso bila hukumu yoyote au uhamishwe kwa nguvu! Kwanini usitafute njia ya kupata uhuru!?

Hata hivyo nadhani hujawajua Waisrael vizuri. Wao ni washenzi zaidi ukitaka kujua haya kuhusu ubaguzi na sheria zao kali kwa wasio waisrael tafuta verses za kitabu chao kitakatifu cha sheria "TALMUD" uone huo uozo humo ndani kisha rudi hapa uniambie nani mshenzi kati ya mpalestina na muisrael?

Angalia watoto wao wanayofundishwa


View: https://x.com/A5SH_P/status/1897588294445113844
 
Mkuu fikiria upo kwako anakuja mtu ambaye aliomba hifadhi kama mkimbizi mara tu mambo yanageuka; unanyang'anywa ardhi, nyumba yako ivunjwe, ndugu zako wauwawe, ndugu zako wakamatwe na kupelekwa kambi za kijeshi kwa mateso bila hukumu yoyote au uhamishwe kwa nguvu! Kwanini usitafute njia ya kupata uhuru!?

Hata hivyo nadhani hujawajua Waisrael vizuri. Wao ni washenzi zaidi ukitaka kujua haya kuhusu ubaguzi na sheria zao kali kwa wasio waisrael tafuta verses za kitabu chao kitakatifu cha sheria "TALMUD" uone huo uozo humo ndani kisha rudi hapa uniambie nani mshenzi kati ya mpalestina na muisrael?

Angalia watoto wao wanayofundishwa
kwamba unamaanisha waisrael ndo waliomba hifdadhi? Haya twambie wayahudi walikuwa wakiishi wp enzi za MASIHI YESU twambie pale ulipo mskti wa al aqsa lilikuwepo hekalu la mfalme suleiman je kwny hlo hekalu ni kna nani walikuwa wanasali humo?
 
Waisrael na wayahudi ni watu wawili tofauti,uyahudi ni imani,ndiyo maana Benjamin mileikowski benzion(netanyahu) katoka poland kaenda kupora ardhi palestine akidai aliahidiwa na Mungu wake miaka elf tatu iliyopita,smortrich ni wa ukraine
 
Mkuu fikiria upo kwako anakuja mtu ambaye aliomba hifadhi kama mkimbizi mara tu mambo yanageuka; unanyang'anywa ardhi, nyumba yako ivunjwe, ndugu zako wauwawe, ndugu zako wakamatwe na kupelekwa kambi za kijeshi kwa mateso bila hukumu yoyote au uhamishwe kwa nguvu! Kwanini usitafute njia ya kupata uhuru!?

Hata hivyo nadhani hujawajua Waisrael vizuri. Wao ni washenzi zaidi ukitaka kujua haya kuhusu ubaguzi na sheria zao kali kwa wasio waisrael tafuta verses za kitabu chao kitakatifu cha sheria "TALMUD" uone huo uozo humo ndani kisha rudi hapa uniambie nani mshenzi kati ya mpalestina na muisrael?

Angalia watoto wao wanayofundishwa


View: https://x.com/A5SH_P/status/1897588294445113844

Mkuu umedanganywa sana tu na Masheikh wako. Kwanza twambie hilo andiko la kiyahudi.
Kwa upande wa Quran maandiko ya chuki dhidi ya wayahudi na wakiristo yapo kibao mfano hapo chini ni Surat 9:30

Screenshot_20241228-095240_Chrome.jpg

Hiyo Tweet yako wala haionyeshi kuwa hao viongozi wanawafunza watoto wao kuwaua waarabu wa Palestine; badala yake wanawauliza hao watoto wanavyojisikia wakikutana na watoto wa kiarabu. Tena kuna mmoja anasema alikutana naye na huyo mtoto wa kiarabu akamsukuma. Kuhusu Al Aqsa mosque wanachozungumzia ni ukweli mtupu. Kwani waarabu kwa ngano zao za Abunuasi ati Mohammad alipalia mbinguni kabla hajafa akitokea ati msikiti wa Al Aqsa na hivyo wadai ni eneo lao takatifu-UONGO. Mohammad alikufa 638AD wakati msikiti ulianza kujengwa 691 AD na kukamilika 705AD. Nyinyi Waislamu mmejenga vijengo vyenu juu ya hekalu la wayahudi. Nyinyi ndiyo wavamizi.
Kiujumla Dini yenu inategemezwa na UONGO TU kuanzia mwanzo hadi mwisho. Jielimishe. Wenzenu huko Saudi Arabia wakiongozwa na Mwana Mfalme Bin Salman wameusitukia uongo huo
Sikiliza anachosema huyu Msaudi Arabia
 
Mkuu umedanganywa sana tu na Masheikh wako. Kwanza twambie hilo andiko la kiyahudi.
Kwa upande wa Quran maandiko ya chuki dhidi ya wayahudi na wakiristo yapo kibao mfano hapo chini ni Surat 9:30

View attachment 3262518
Hiyo Tweet yako wala haionyeshi kuwa hao viongozi wanawafunza watoto wao kuwaua waarabu wa Palestine; badala yake wanawauliza hao watoto wanavyojisikia wakikutana na watoto wa kiarabu. Tena kuna mmoja anasema alikutana naye na huyo mtoto wa kiarabu akamsukuma. Kuhusu Al Aqsa mosque wanachozungumzia ni ukweli mtupu. Kwani waarabu kwa ngano zao za Abunuasi ati Mohammad alipalia mbinguni kabla hajafa akitokea ati msikiti wa Al Aqsa na hivyo wadai ni eneo lao takatifu-UONGO. Mohammad alikufa 638AD wakati msikiti ulianza kujengwa 691 AD na kukamilika 705AD. Nyinyi Waislamu mmejenga vijengo vyenu juu ya hekalu la wayahudi. Nyinyi ndiyo wavamizi.
Kiujumla Dini yenu inategemezwa na UONGO TU kuanzia mwanzo hadi mwisho. Jielimishe. Wenzenu huko Saudi Arabia wakiongozwa na Mwana Mfalme Bin Salman wameusitukia uongo huo
Sikiliza anachosema huyu Msaudi Arabia
View attachment 3262522
Wewe utakuwa umedanganywa na nani? Sidhani hatakama Talmud unaijua! Kwa msaada tu neno Goy ni yule asiye myahudi kama ilivyo kwa waislam kuita kafiri kwa asiyekuwa muislam. Sasa shuka na mistari

Talmud.jpg
 
Hebu tuipeleke hii mada vizuri tueleweshane kimoja baada ya kingine. Tukianza na nchi kwa uelewa wa binadamu yeyote yule Palestine hiyo ni nchi yao kama hujui ukweli sema nikueleweshe ila kama shida yako ni dini hiyo itakuwa mada nyingine.
 
Kwani aliyegawa mipaka ya nchi duniani ni Moses, Yesu au Yakubu? Mipaka mingi imegawanywa na wakoloni, wakati muingereza anaitawala hiyo ardhi ilikuwa inaitwa Palestine ila kwasababu aliwapenda sana Waisrael ambao walikuwa wanaishi kama wanyama kwenye nchi za watu huko ulaya na kufukuzwa mara kwa mara akaamua kuwarudisha hapo.

BUT....... Sio kwamba wakati inaitwa Palestine wayahudi hawakuwepo hapo, waliishi vizuri tu tena walikuwa wana uhuru wa kuabudu bila shida na hii ni tangu utawala wa Otoman. Shida aliileta muingereza na mmarekani kutaka kuwarudisha waisrael ambao mababu zao walikimbia mashariki ya kati katika kutafuta maisha walipokataliwa huko wakaona tufate maandiko ya mababu zetu. Je, vp wewe mbantu upo Tanzania sasaivi unaweza kwenda Sudan kufukuza waliopo kisa asili yako ni hapo???

Hebu pitia hii video TV za miaka hiyo za wakoloni waingereza ziliripoti, yani waliowatafutia hifadhi wamewaita wakimbizi wewe na mihemko yako ya vitabu vya hadithi za kale za watu wa mashariki ya kati unakataa!

View: https://x.com/DillyHussain88/status/1747004756319441291

Wenzako wayahudi wanajua kuhusu hili sema tu huwa ni ubishi wenu wairael wa bongo na sababu ya kuamua kuchagua upande fulani.

View: https://x.com/Kahlissee/status/1725638878898327981
 
Kwani aliyegawa mipaka ya nchi duniani ni Moses, Yesu au Yakubu? Mipaka mingi imegawanywa na wakoloni, wakati muingereza anaitawala hiyo ardhi ilikuwa inaitwa Palestine ila kwasababu aliwapenda sana Waisrael ambao walikuwa wanaishi kama wanyama kwenye nchi za watu huko ulaya na kufukuzwa mara kwa mara akaamua kuwarudisha hapo.

BUT....... Sio kwamba wakati inaitwa Palestine wayahudi hawakuwepo hapo, waliishi vizuri tu tena walikuwa wana uhuru wa kuabudu bila shida na hii ni tangu utawala wa Otoman. Shida aliileta muingereza na mmarekani kutaka kuwarudisha waisrael ambao mababu zao walikimbia mashariki ya kati katika kutafuta maisha walipokataliwa huko wakaona tufate maandiko ya mababu zetu. Je, vp wewe mbantu upo Tanzania sasaivi unaweza kwenda Sudan kufukuza waliopo kisa asili yako ni hapo???

Hebu pitia hii video TV za miaka hiyo za wakoloni waingereza ziliripoti, yani waliowatafutia hifadhi wamewaita wakimbizi wewe na mihemko yako ya vitabu vya hadithi za kale za watu wa mashariki ya kati unakataa!

View: https://x.com/DillyHussain88/status/1747004756319441291

Wenzako wayahudi wanajua kuhusu hili sema tu huwa ni ubishi wenu wairael wa bongo na sababu ya kuamua kuchagua upande fulani.

View: https://x.com/Kahlissee/status/1725638878898327981

Yaani umeandika andika tu wala hamna mantinki. Usipoangalia utaanza kujiripua kwa takbir ya kaallah.
Hiyo Talmud unayozungumzia ni tofauti kabisa na Torah ambacho ndiyo maandiko ya Mungu. Talmud ni reports za discussions za marabbi (walimu wa kiyahudi) na nyingi ni za wakati walipokuwa na ugomvi na waroma.
Omeokota hilo andiko la 1 Samuel 15:3 kuhusiana na Amalekites. Kumbuka wakati huo Mungu alikuwa amewatumia wafalme wa Isreal kama wawakilishi wake Duniani. Na lengo lake ilikuwa kulilinda taifa hilo dhidi ya upagani wowote na mataifa ya kipagani mpaka lengo lake la kumleta mwanaye Yesu akiwa mwokozi wa wanadamu wote. Yesu, kama alivyoahidi Mungu ilikuwa aje kupitia taifa la Isreal. Hapo Netanyahu anatoa ufananisho tu. Ila kwa Netanyahu kuwapa kipigo Wagaza ilistahili kwani wewe ukianzisha vita unategemea nini? Ni kichapo tu. Mbaya zaidi Hamas wakajichangamana na wananchi wakiwa kama raia na kuwa wanaishambulia IDF. Wagaza nao walikuwa wanawaficha hao magaidi. Hata baada ya mateka kuanza kurudishwa ndipo ilipogundulika kuwa kumbe kuna mateka walikuwa wakishikiliwa kwenye nyumba za raia. Hapo ni kichapo tu cha mbwa koko.
Ati unazungumzia mipaka mipaka imewekwa na wakoloni! Wewe kweli elimu yako duni. Haujiulizi kwanini ugiriki mpaka leo ipo? Kwa nini saudi arabia ipo? Au kwanini Egypt ipo kama mwanzo? Yes wakoloni waliweka mipaka pale ambapo hakukuwa na ushahidi wa kihistoria kuhusu watu na eneo hilo.
Kwa bahati nzuri hakuna tena jamii na eneo ambalo lithibitishwa na Historia kama ilivyo Wayahudi na nchi yao ya Israel, judea na samaria. Hata archeological facts maeneo hao inatoa uthibitisho huo kuwa ndiyo indigenous community ya the holyland. Hakujawahi kuwa na jamii inayoitwa Palestine tafuta kwenye bible na Quran pia. Kwenye Bible kuliisha kuwa na Phillistines walioikuja Gaza wakitokea Crete, Roma. Lakini jamii hiyo kama ilivyotabiriwa kwenye Bible ilifutiliwa mbali toka eneo hilo.
Chuki zako za Shetani wenu Kaallah zinakugubika mpaka unashindwa kuuchambua ukweli kutoka kwenye uongo si ajabu kwakuwa kaallah kenyewe ni kaongo tokea mwanzo wa dunia hii kuumbwa
 
Mkuu umedanganywa sana tu na Masheikh wako. Kwanza twambie hilo andiko la kiyahudi.
Kwa upande wa Quran maandiko ya chuki dhidi ya wayahudi na wakiristo yapo kibao mfano hapo chini ni Surat 9:30

View attachment 3262518
Hiyo Tweet yako wala haionyeshi kuwa hao viongozi wanawafunza watoto wao kuwaua waarabu wa Palestine; badala yake wanawauliza hao watoto wanavyojisikia wakikutana na watoto wa kiarabu. Tena kuna mmoja anasema alikutana naye na huyo mtoto wa kiarabu akamsukuma. Kuhusu Al Aqsa mosque wanachozungumzia ni ukweli mtupu. Kwani waarabu kwa ngano zao za Abunuasi ati Mohammad alipalia mbinguni kabla hajafa akitokea ati msikiti wa Al Aqsa na hivyo wadai ni eneo lao takatifu-UONGO. Mohammad alikufa 638AD wakati msikiti ulianza kujengwa 691 AD na kukamilika 705AD. Nyinyi Waislamu mmejenga vijengo vyenu juu ya hekalu la wayahudi. Nyinyi ndiyo wavamizi.
Kiujumla Dini yenu inategemezwa na UONGO TU kuanzia mwanzo hadi mwisho. Jielimishe. Wenzenu huko Saudi Arabia wakiongozwa na Mwana Mfalme Bin Salman wameusitukia uongo huo
Sikiliza anachosema huyu Msaudi Arabia
View attachment 3262522
Mkuu hapo unapoishi unaishi kwa mujibu wa maandiko gani katika kitabu cha dini?
 
Mkuu hapo unapoishi unaishi kwa mujibu wa maandiko gani katika kitabu cha dini?
Wewe ukiisoma Quran yenu kwa kukariri utaishia kujiripua; ukisoma ukaielewa utang’amua uongo wake na utawekwa guru.
 
ISRAEL THE LAND, JEWS THE PEOPLE...PERIOD!

IF YOU DON'T LOVE JESUS AND ISRAEL WHO THE HELL WILL YOU LOVE?

IF JESUS AND ISRAEL IS WITH US WHO CAN BE AGAINST US? WHO?

JESUS FIRST JESUS FOREVER

ISRAEL FIRST ISRAEL FOREVER

IN JESUS WE MUST TRUST, BELIEVE AND WORSHIP

JESUS IS GOD WHETHER YOU LIKE IT OR NOT

GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL

HUNIAMBII KITU KUHUSU ISRAEL NA MUNGU YESU


N de A
 
Yaani umeandika andika tu wala hamna mantinki. Usipoangalia utaanza kujiripua kwa takbir ya kaallah.
Hiyo Talmud unayozungumzia ni tofauti kabisa na Torah ambacho ndiyo maandiko ya Mungu. Talmud ni reports za discussions za marabbi (walimu wa kiyahudi) na nyingi ni za wakati walipokuwa na ugomvi na waroma.
Omeokota hilo andiko la 1 Samuel 15:3 kuhusiana na Amalekites. Kumbuka wakati huo Mungu alikuwa amewatumia wafalme wa Isreal kama wawakilishi wake Duniani. Na lengo lake ilikuwa kulilinda taifa hilo dhidi ya upagani wowote na mataifa ya kipagani mpaka lengo lake la kumleta mwanaye Yesu akiwa mwokozi wa wanadamu wote. Yesu, kama alivyoahidi Mungu ilikuwa aje kupitia taifa la Isreal. Hapo Netanyahu anatoa ufananisho tu. Ila kwa Netanyahu kuwapa kipigo Wagaza ilistahili kwani wewe ukianzisha vita unategemea nini? Ni kichapo tu. Mbaya zaidi Hamas wakajichangamana na wananchi wakiwa kama raia na kuwa wanaishambulia IDF. Wagaza nao walikuwa wanawaficha hao magaidi. Hata baada ya mateka kuanza kurudishwa ndipo ilipogundulika kuwa kumbe kuna mateka walikuwa wakishikiliwa kwenye nyumba za raia. Hapo ni kichapo tu cha mbwa koko.
Ati unazungumzia mipaka mipaka imewekwa na wakoloni! Wewe kweli elimu yako duni. Haujiulizi kwanini ugiriki mpaka leo ipo? Kwa nini saudi arabia ipo? Au kwanini Egypt ipo kama mwanzo? Yes wakoloni waliweka mipaka pale ambapo hakukuwa na ushahidi wa kihistoria kuhusu watu na eneo hilo.
Kwa bahati nzuri hakuna tena jamii na eneo ambalo lithibitishwa na Historia kama ilivyo Wayahudi na nchi yao ya Israel, judea na samaria. Hata archeological facts maeneo hao inatoa uthibitisho huo kuwa ndiyo indigenous community ya the holyland. Hakujawahi kuwa na jamii inayoitwa Palestine tafuta kwenye bible na Quran pia. Kwenye Bible kuliisha kuwa na Phillistines walioikuja Gaza wakitokea Crete, Roma. Lakini jamii hiyo kama ilivyotabiriwa kwenye Bible ilifutiliwa mbali toka eneo hilo.
Chuki zako za Shetani wenu Kaallah zinakugubika mpaka unashindwa kuuchambua ukweli kutoka kwenye uongo si ajabu kwakuwa kaallah kenyewe ni kaongo tokea mwanzo wa dunia hii kuumbwa
Polepole kijana achana na mihemko ya dini utapasuka moyo kwa hasira, naomba twende hoja kwa hoja.

Umelikataa andiko la Samuel kuhusu kuuwa waamalek, kizazi chao hadi wanyama eti kisa ni cha wakati huo alafu mwisho unakubali shetani netanyahu yuko sahihi kuuwa! Hapa ni kweli mungu wenu aliruhusu kuuwa?! Kwani wewe ulipoweka mistari ya Quran imeandikwa juzi ama in visa vya nyakati hizo! HYPOCRISY!!!

Unaongelea mipaka na kusema sijui chochote alafu bado unakubali ni kweli kuna nchi ziligawanywa na wakoloni. Labda nikuulize unapoongelea indigenous people kwanini iwe kwa israel tu na sio America ama Africa? Ukisema tufate maandiko ya mababu zetu hata kigoma itabidi irudi Burundi na wajaluo warudi Sudan kufukuza waliopo sasa. NONSENSE!!

Alafu nimegundua wakristo wengi hamuwajui hawa mashetani wapinga kristo tangu miaka hiyo hadi leo, umegoogle kuhusu Talmud unakuja na tafsiri ya google translate hapa! Nakupa elimu kidogo Talmud ni kitabu kitakatifu cha sheria ambacho kilitungwa na viongozi wa dini wa kiyahudi (Rabbis) kwa hiyo ni muongozo ama sheria na sio report. Najua hii ni tofauti na kitabu chao kitakatifu Torah ambacho wakristo mlijipendekeza kwao na kukiita agano la kale (kumbukumbu la torati) ama waislam wanavyoita taurat kitabu hicho cha mungu mnayemuamini ndicho kimewataka mashetani waisrael wauwe kizazi chote hadi wanyama!!!

HAMAS in freedom fighters kama ilivyokuwa enzi hizo kwa mababu zetu, wao hawakuanzisha vita ila wanajitetea toka kwa mtawala ambaye pamoja na kuchukua maeneo yao makubwa bado mashetani hao hawataki kuwapa uhuru ndani ya maeneo madogo walioachiwa west bank na Gaza. THINK AS HUMAN! Dini imeonekana haikusaidii kuwa na huruma.
 
Wewe ukiisoma Quran yenu kwa kukariri utaishia kujiripua; ukisoma ukaielewa utang’amua uongo wake na utawekwa guru.
Mimi wala sio Muislam mkuu ila nimeomba kujua tu kama wewe ulipo ulipewa kwa mujibu wa imani gani?
 
Hapa naona napoteza muda tu na Jitu ambalo hata halitofautishi kati ya Kitabu ambacho ni God Inspired ( Torah) na kitabu ambacho ni mkusanyiko wa Rabbianic discussions.
Unafananisha ati Kigoma basi Irudi Burundi !! Wewe Jinga kweli! Kuna ufanano gani kati ya Mipaka yetu ya asili na kule Israel? Nimekwambia kule Israel uthibitisho wa Maandishi yanayoaminika unaonyesha hiyo ni nchi ya Wayahudi. Hata Shetani Wenu Kaallah analijua hilo kwenye Quran yake. Ayat 5:20-21
Nikakwambia pia kuwa ndiyo maana wakoloni walipozigawa nchi, bado waliziacha nchi kama Egypt kwa sababu tayari documents za awali zilitambua maeneo hayo. Lakini kwakuwa hakukuwa na uthibitisho wa kihistoria kuhusu mipaka ya Tanganyika ndiyo maana wakagawa walivyotaka.
Ati unasema basi ikiwa hivyo na wajaluo warudi kwao Sudan! Wewe una akili kweli kuleta huo ufananisho? Au umejaza tu Juzuu za Quran yenu humo kichwani?! Nani kakwambia Israel inawafukuza waarabu? Usivyokuwa na elimu sahihi, basi nikwambie Israel ilipowapiga hao magaidi wako wa Kiislamu mwaka 1948 ndani ya eneo ambalo wayahudi waligawiwa na UN kulikuwa na waarabu laki mbili. Waarabu hao hawakufuata maelekezo ya magaidi wa kiarabu kuwa waondoke ili hayo mataifa ya kigaidi yauwe wayahudi wote. Waarabu hao ambao wengi na Waislamu kwa sasa wanafikia MILIONI MBILI (2) na wengi wananafasi nzuri tu kwenye Serikali na Jeshini. Sasa uliza kule Judea na Samaria wako wayahudi wangapi ( zero) au uliza huko Misri, Yemen, Saudi Arabia wako wayahudi wangapi- hakuna. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Majeshi wa sasa wa Israel ni MYEMENI.

Halafu unawaita wayahudi mashetani! Hebu tuonyeshe ni wapi kitabu chao kinasema wao ni mashetani? UPANDE WA PILI NYINYI KAALLAH KENU NI SHETANI MWENYEWE NA HIYO HATUTOI KUINGINE BALI NI KWENYE KITABU CHENU WENYEWE. ONA HAPA HUYO MWANAMKE ANA MREFER ALLAH KUWA NI SHETAN NA YEYE ALLAH WALA HAPINGI

View attachment 3263360View attachment 3263360
Zaidi ya hapo huyo kaalah ni kamungu gani ambako kenyewe hupendezwa na watenda dhambi?
Katika sahihi muslim 2748 yeye kama mtu hatendi dhambi anaahidi kumfutilia mbali na badala yake amlete mtenda dhambi. Duu huyu ni NANI MWINGINE KAMA SIYO SHETANI! ACHA KUWAITA WAYAHUDI MASHETANI AMBAYO NI SIFA YA kamungu KENUView attachment 3263373
Nakushauri tena mdogo wangu achana na mihemko ya dini moyo utatanuka kama sio kupasuka kwa hasira.

Unaleta maandiko yaliyoandikwa na binadamu kama wewe kwa maslahi yao enzi za tawala zao! Kabla ya maandiko ya wayahudi kulikuwa na historia ndefu huko nyuma, wewe unaijua Egypt kwa kusoma Bible ambayo imeeleza kuhusu mafarao waarabu wavamizi lakini hujui kuhusu Nubians wala black Pharaoh! Kihistoria dunia ina miaka mingi sana kabla ya Torah na inatakiwa tufate utaratibu wa UN na sio maandiko ya hao mashetani waisrael ambayo waliandika kwa manufaa yao.

Kwani wewe hujui Rabbi ni nani? Mbona kama una utoto mwingi kupindisha pindisha mada!! Na hilo andiko la Samuel liko kitabu gani?

Mi nawaita waisrael mashetani kwasababu ndio wanaoivunja amani ya dunia na kabla ya kuichafua mashariki ya kati waliiharibu ulaya ndomana ndio taifa linaloongoza kwa kufukuzwa nchi nyingi ulaya enzi hizo. Tafuta habari upate kujifunza zaidi achana na mahaba.

Nani kakudanganya waisrael hawapo nchi za kiarabu? Hao wapo dunia nzima. Ndomana unahisi huyo kiongozi wa kijesh ni muarabu WAKE-UP! Hao ndio wale waisrael kwa asili ila unakuta ana uraia wa Yemen. Kwani we hujui hata shetani netanyahu alikuwa na uraia wa Poland? Kwa taarifa yako hadi Iran hao mashetani wapo.

Kitambo najua kuna waarabu wenye uraia wa Israel, najua hadi madaktari wapo lakini usijidanganye wana haki sawa nimepitia documentaries na article kibao najua sana kuhusu hawa mashetani. Israel ni apartheid state haiwezi kuwa na haki sawa kwa wote.
 
Polepole kijana achana na mihemko ya dini utapasuka moyo kwa hasira, naomba twende hoja kwa hoja.

Umelikataa andiko la Samuel kuhusu kuuwa waamalek, kizazi chao hadi wanyama eti kisa ni cha wakati huo alafu mwisho unakubali shetani netanyahu yuko sahihi kuuwa! Hapa ni kweli mungu wenu aliruhusu kuuwa?! Kwani wewe ulipoweka mistari ya Quran imeandikwa juzi ama in visa vya nyakati hizo! HYPOCRISY!!!

Unaongelea mipaka na kusema sijui chochote alafu bado unakubali ni kweli kuna nchi ziligawanywa na wakoloni. Labda nikuulize unapoongelea indigenous people kwanini iwe kwa israel tu na sio America ama Africa? Ukisema tufate maandiko ya mababu zetu hata kigoma itabidi irudi Burundi na wajaluo warudi Sudan kufukuza waliopo sasa. NONSENSE!!

Alafu nimegundua wakristo wengi hamuwajui hawa mashetani wapinga kristo tangu miaka hiyo hadi leo, umegoogle kuhusu Talmud unakuja na tafsiri ya google translate hapa! Nakupa elimu kidogo Talmud ni kitabu kitakatifu cha sheria ambacho kilitungwa na viongozi wa dini wa kiyahudi (Rabbis) kwa hiyo ni muongozo ama sheria na sio report. Najua hii ni tofauti na kitabu chao kitakatifu Torah ambacho wakristo mlijipendekeza kwao na kukiita agano la kale (kumbukumbu la torati) ama waislam wanavyoita taurat kitabu hicho cha mungu mnayemuamini ndicho kimewataka mashetani waisrael wauwe kizazi chote hadi wanyama!!!

HAMAS in freedom fighters kama ilivyokuwa enzi hizo kwa mababu zetu, wao hawakuanzisha vita ila wanajitetea toka kwa mtawala ambaye pamoja na kuchukua maeneo yao makubwa bado mashetani hao hawataki kuwapa uhuru ndani ya maeneo madogo walioachiwa west bank na Gaza. THINK AS HUMAN! Dini imeonekana haikusaidii kuwa na huruma.
Hapa naona napoteza muda tu na Jitu ambalo hata halitofautishi kati ya Kitabu ambacho ni God Inspired ( Torah) na kitabu ambacho ni mkusanyiko wa Rabbianic discussions.
Unafananisha ati Kigoma basi Irudi Burundi !! Wewe Jinga kweli! Kuna ufanano gani kati ya Mipaka yetu ya asili na kule Israel? Nimekwambia kule Israel uthibitisho wa Maandishi yanayoaminika unaonyesha hiyo ni nchi ya Wayahudi. Hata Shetani Wenu Kaallah analijua hilo kwenye Quran yake. Ayat 5:20-21
Nikakwambia pia kuwa ndiyo maana wakoloni walipozigawa nchi, bado waliziacha nchi kama Egypt kwa sababu tayari documents za awali zilitambua maeneo hayo. Lakini kwakuwa hakukuwa na uthibitisho wa kihistoria kuhusu mipaka ya Tanganyika ndiyo maana wakagawa walivyotaka.
Ati unasema basi ikiwa hivyo na wajaluo warudi kwao Sudan! Wewe una akili kweli kuleta huo ufananisho? Au umejaza tu Juzuu za Quran yenu humo kichwani?! Nani kakwambia Israel inawafukuza waarabu? Usivyokuwa na elimu sahihi, basi nikwambie Israel ilipowapiga hao magaidi wako wa Kiislamu mwaka 1948 ndani ya eneo ambalo wayahudi waligawiwa na UN kulikuwa na waarabu laki mbili. Waarabu hao hawakufuata maelekezo ya magaidi wa kiarabu kuwa waondoke ili hayo mataifa ya kigaidi yauwe wayahudi wote. Waarabu hao ambao wengi na Waislamu kwa sasa wanafikia MILIONI MBILI (2) na wengi wananafasi nzuri tu kwenye Serikali na Jeshini. Sasa uliza kule Judea na Samaria wako wayahudi wangapi ( zero) au uliza huko Misri, Yemen, Saudi Arabia wako wayahudi wangapi- hakuna. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Majeshi wa sasa wa Israel ni MYEMENI.

Halafu unawaita wayahudi mashetani! Hebu tuonyeshe ni wapi kitabu chao kinasema wao ni mashetani? UPANDE WA PILI NYINYI KAALLAH KENU NI SHETANI MWENYEWE NA HIYO HATUTOI KUINGINE BALI NI KWENYE KITABU CHENU WENYEWE. ONA HAPA HUYO MWANAMKE ANA MREFER ALLAH KUWA NI SHETAN NA YEYE ALLAH WALA HAPINGI

View attachment 3263360View attachment 3263360
Zaidi ya hapo huyo kaalah ni kamungu gani ambako kenyewe hupendezwa na watenda dhambi?
Katika sahihi muslim 2748 yeye kama mtu hatendi dhambi anaahidi kumfutilia mbali na badala yake amlete mtenda dhambi. Duu huyu ni NANI MWINGINE KAMA SIYO SHETANI! ACHA KUWAITA WAYAHUDI MASHETANI AMBAYO NI SIFA YA kamungu KENUView attachment 3263373
Nakushauri tena mdogo wangu achana na mihemko ya dini moyo utatanuka kama sio kupasuka kwa hasira.

Unaleta maandiko yaliyoandikwa na binadamu kama wewe kwa maslahi yao enzi za tawala zao! Kabla ya maandiko ya wayahudi kulikuwa na historia ndefu huko nyuma, wewe unaijua Egypt kwa kusoma Bible ambayo imeeleza kuhusu mafarao waarabu wavamizi lakini hujui kuhusu Nubians wala black Pharaoh! Kihistoria dunia ina miaka mingi sana kabla ya Torah na inatakiwa tufate utaratibu wa UN na sio maandiko ya hao mashetani waisrael ambayo waliandika kwa manufaa yao.

Kwani wewe hujui Rabbi ni nani? Mbona kama una utoto mwingi kupindisha pindisha mada!! Na hilo andiko la Samuel liko kitabu gani?

Mi nawaita waisrael mashetani kwasababu ndio wanaoivunja amani ya dunia na kabla ya kuichafua mashariki ya kati waliiharibu ulaya ndomana ndio taifa linaloongoza kwa kufukuzwa nchi nyingi ulaya enzi hizo. Tafuta habari upate kujifunza zaidi achana na mahaba.

Nani kakudanganya waisrael hawapo nchi za kiarabu? Hao wapo dunia nzima. Ndomana unahisi huyo kiongozi wa kijesh ni muarabu WAKE-UP! Hao ndio wale waisrael kwa asili ila unakuta ana uraia wa Yemen. Kwani we hujui hata shetani netanyahu alikuwa na uraia wa Poland? Kwa taarifa yako hadi Iran hao mashetani wapo.

Kitambo najua kuna waarabu wenye uraia wa Israel, najua hadi madaktari wapo lakini usijidanganye wana haki sawa nimepitia documentaries na article kibao najua sana kuhusu hawa mashetani. Israel ni apartheid state haiwezi kuwa na haki sawa kwa wote.
Wewe umewaita wayahudi mashetani bila back up. Mm nakwambia kaallah kenu ndiyo huyu shetani anayetusumbua. Na ndiyo maana muislamu popote alipo duniani lazima kusiwe na amani. Halafu na mtume wenu ni Paedophile anabaka vitoto vya kike (aisha miaka 6 ) na vitoto vya kiume
Shetani huyu ndiyo Allah

Screenshot_20240601-195510_Chrome.jpg

Mohammad alibaka vitoto
Na viongozi wenu wanafuata vyayo zake


View: https://x.com/Exmuslim24/status/1897905960179380400
 
Wewe umewaita wayahudi mashetani bila back up. Mm nakwambia kaallah kenu ndiyo huyu shetani anayetusumbua. Na ndiyo maana muislamu popote alipo duniani lazima kusiwe na amani. Halafu na mtume wenu ni Paedophile anabaka vitoto vya kike (aisha miaka 6 ) na vitoto vya kiume
Shetani huyu ndiyo Allah
Ili tueleweshane vizuri nikuombe haya:
  1. Tuguse mada kila moja kwa wakati wake. Mfano tunaongelea mipaka tumalize kwanza hilo.
  2. Achana na memes za utani wa kitoto kwani hazijengi mada bali zinaonyesha udhaifu wako wa hoja na uelewa mdogo.
  3. Usipoteze muda wako kuweka verses za Quran na tafsiri zako hii inaonyesha utoto wako ukidhani nitachukia wakati mwenzako najua zaidi ya hizo memes. Kama unataka kujifunza kuhusu Quran tafuta wenye elimu wakufundishe
  4. Kumjua shetani sio hadi kumuona mtu mweusi, mwenye mapembe kama beberu na sura ya kutisha huu ni utumwa ndomana mnawahusudu watu weupe mnaamini malaika na mungu ni weupe kama wao! Shetani anajulikana kwa matendo yake kama wafanyavo mashetani waisreal.
N.B: Talmud in mafundisho ya wayahudi tangu karne ya 6 na hadi leo kuna Rabbis wengi tu wanaifuata, unaposema sio kitabu cha mungu kwani nani kakudanganya wayahudi wafuata sheria za mungu? Hao ni mashetani lazima wawe na miongozo yao ya kishetani mfano kulawiti mtoto asiye myahudi kwao sio kosa.
 
Hapa naona napoteza muda tu na Jitu ambalo hata halitofautishi kati ya Kitabu ambacho ni God Inspired ( Torah) na kitabu ambacho ni mkusanyiko wa Rabbianic discussions.
Sibishani na wewe kwa dharau hatakama unaonekana hujui mengi bali ume base kwenye chuki dhidi ya waislam na waarabu bila kujali wana hatia au hawana. Hivi unajua makanisa matakatifu ya kale ndani ya Jerusalem yanasimamia na kutunzwa na wapalestina na wengineo ila sio hao mashetani waisrael? Unajua kama viongozi wa makanisa hayo tangu vita ianze Gaza wanaomboleza kwa namna ya kusikitishwa na mauaji yanayofanywa na mpinga kristo muisrael?

Sijali kuniita mimi 'jitu' ntaendelea kukufunulia mengi hadi utaelewa ukitaka.

Na hivi ndivyo walivyopamba makanisa kipindi cha Christmas 2024
 
Back
Top Bottom