Je unafikiri Elimu kama hii kwa watoto huko mashariki ya kati itawezesha kweli amani ipatikane?

Je unafikiri Elimu kama hii kwa watoto huko mashariki ya kati itawezesha kweli amani ipatikane?

Polepole kijana achana na mihemko ya dini utapasuka moyo kwa hasira, naomba twende hoja kwa hoja.

Umelikataa andiko la Samuel kuhusu kuuwa waamalek, kizazi chao hadi wanyama eti kisa ni cha wakati huo alafu mwisho unakubali shetani netanyahu yuko sahihi kuuwa! Hapa ni kweli mungu wenu aliruhusu kuuwa?! Kwani wewe ulipoweka mistari ya Quran imeandikwa juzi ama in visa vya nyakati hizo! HYPOCRISY!!!

Unaongelea mipaka na kusema sijui chochote alafu bado unakubali ni kweli kuna nchi ziligawanywa na wakoloni. Labda nikuulize unapoongelea indigenous people kwanini iwe kwa israel tu na sio America ama Africa? Ukisema tufate maandiko ya mababu zetu hata kigoma itabidi irudi Burundi na wajaluo warudi Sudan kufukuza waliopo sasa. NONSENSE!!

Alafu nimegundua wakristo wengi hamuwajui hawa mashetani wapinga kristo tangu miaka hiyo hadi leo, umegoogle kuhusu Talmud unakuja na tafsiri ya google translate hapa! Nakupa elimu kidogo Talmud ni kitabu kitakatifu cha sheria ambacho kilitungwa na viongozi wa dini wa kiyahudi (Rabbis) kwa hiyo ni muongozo ama sheria na sio report. Najua hii ni tofauti na kitabu chao kitakatifu Torah ambacho wakristo mlijipendekeza kwao na kukiita agano la kale (kumbukumbu la torati) ama waislam wanavyoita taurat kitabu hicho cha mungu mnayemuamini ndicho kimewataka mashetani waisrael wauwe kizazi chote hadi wanyama!!!

HAMAS in freedom fighters kama ilivyokuwa enzi hizo kwa mababu zetu, wao hawakuanzisha vita ila wanajitetea toka kwa mtawala ambaye pamoja na kuchukua maeneo yao makubwa bado mashetani hao hawataki kuwapa uhuru ndani ya maeneo madogo walioachiwa west bank na Gaza. THINK AS HUMAN! Dini imeonekana haikusaidii kuwa na huruma.
Una madini mengi sana mkuu, wengi waobishana na wewe hawana hoja
 
Ili tueleweshane vizuri nikuombe haya:
  1. Tuguse mada kila moja kwa wakati wake. Mfano tunaongelea mipaka tumalize kwanza hilo.
  2. Achana na memes za utani wa kitoto kwani hazijengi mada bali zinaonyesha udhaifu wako wa hoja na uelewa mdogo.
  3. Usipoteze muda wako kuweka verses za Quran na tafsiri zako hii inaonyesha utoto wako ukidhani nitachukia wakati mwenzako najua zaidi ya hizo memes. Kama unataka kujifunza kuhusu Quran tafuta wenye elimu wakufundishe
  4. Kumjua shetani sio hadi kumuona mtu mweusi, mwenye mapembe kama beberu na sura ya kutisha huu ni utumwa ndomana mnawahusudu watu weupe mnaamini malaika na mungu ni weupe kama wao! Shetani anajulikana kwa matendo yake kama wafanyavo mashetani waisreal.
N.B: Talmud in mafundisho ya wayahudi tangu karne ya 6 na hadi leo kuna Rabbis wengi tu wanaifuata, unaposema sio kitabu cha mungu kwani nani kakudanganya wayahudi wafuata sheria za mungu? Hao ni mashetani lazima wawe na miongozo yao ya kishetani mfano kulawiti mtoto asiye myahudi kwao sio kosa.View attachment 3263804
Wewe ndiyo nikufunze Quran yenu. Ulichojaza kichwani ni kariri za Quran tu bila kujua mantiki yake. Kwenye haya mashindano ya juzi juzi ya kuhifadhi Quran ulikuwa wa ngapi? Maana hicho ndiyo unachokijua.
Jibu kama hizo nilizokuwekea siyo maandiko yenu ya SHETANI WENU kaallah.
mungu ni Shetani
mtume wake mbaka vitoto
waumini ndiyo kama huyo sheikh wenu anapiga kitoto cha kuime tongue kiss
na waumini wengine wanajiripua. Duuu kweli islam is a religion of PIECES ( not of peace)
Kwa taarifa yako bendera ya upinde ni Liberal na wala si Judaism ✡️
Umeshindwa hoja. Halafu ni kwambie Israel watawapeni sana kichapo. Na kwa sasa kule USA yupo Trump muhesabie kuwa mna miaka 4 ya kuumia sana. Na bado kidogo tu UK serikali itakuwa ya REFORM UK, kule France, Marine Le Pen, Spain VOX, Germany atakuwa Alice Weidel wa AfD ndipo mtapigwa repatriation kishenzi. Your days are numbered all you islamists
 
Wewe ndiyo nikufunze Quran yenu. Ulichojaza kichwani ni kariri za Quran tu bila kujua mantiki yake. Kwenye haya mashindano ya juzi juzi ya kuhifadhi Quran ulikuwa wa ngapi? Maana hicho ndiyo unachokijua.
Jibu kama hizo nilizokuwekea siyo maandiko yenu ya SHETANI WENU kaallah.
mungu ni Shetani
mtume wake mbaka vitoto
waumini ndiyo kama huyo sheikh wenu anapiga kitoto cha kuime tongue kiss
na waumini wengine wanajiripua. Duuu kweli islam is a religion of PIECES ( not of peace)
Kwa taarifa yako bendera ya upinde ni Liberal na wala si Judaism ✡️
Umeshindwa hoja. Halafu ni kwambie Israel watawapeni sana kichapo. Na kwa sasa kule USA yupo Trump muhesabie kuwa mna miaka 4 ya kuumia sana. Na bado kidogo tu UK serikali itakuwa ya REFORM UK, kule France, Marine Le Pen, Spain VOX, Germany atakuwa Alice Weidel wa AfD ndipo mtapigwa repatriation kishenzi. Your days are numbered all you islamists
Kwahiyo hapa unaongelea hoja ipi kati ya nilizokuuliza? Vipi swala la mipaka huliongelei tena kwakuwa umekosa hoja au umenielewa?

Nimekwambia kuhusu Quran usipoteze muda wako hatakama siijui nitatafuta walimu wanifundishe sio wewe unaepata mafundisho ya chuki dhidi ya uislam, na hiyo ndio dini imewafundisha hivyo chuki zaidi ya upendo.
 
waumini ndiyo kama huyo sheikh wenu anapiga kitoto cha kuime tongue kiss
Uliposema sheikh ulimaanisha hawa ama? Kwahiyo umekariri kila anyevaa kanzu ni sheikh!
Anatekeleza maelekezo ya Papa Francis kubariki ndoa za jinsia moja
View attachment 3261171
 
Wewe ni juha sana! Hautofautishi kati ya Kiongozi mkuu wa dini (Yesu au Mohammad) na viongozi wa chini . Jibu swali wakati ambapo Yesu hana dhambi kwenu tuambie hayo madhambi yote aliyofanya Paedophile wenu.
Pia unashindwa kutofautisha kuwa endapo kiongozi wa kikiristo afanya kosa hiyo mara kadhaa inatokana na tamaa zake. Wakati kama Huyo Sheikh Mkuu wa Bangladesh alipofanya hiyo dhambi ni kutokana na kusoma kitabu chenu cha shetani.
Wengine hawa hapa kwa kutumia maandiko yenu wanahalalisha kufanya ngono na Mbuzi
View attachment 3264281View attachment 3264282
Nashukuru kwa kuniita juha ila naamini wanaopitia huu mjadala wanatambua juha ni yupi. Unaulizwa hili unajibu lile, unajibiwa hili unaleta mada nyingine!! Kwahiyo hizo memes ndio verses za Quran na Ayatollah ndio Muhammad?! Na huyo mbuzi ndio nani?!

Nikushauri achana na hayo mapichapicha yanakupoteza najua unayatoa kwenye magroup ya kidini yenye kueneza chuki badala ya upendo. Kwaakili yako jumbe za kubuni na kuchekesha au vibonzo (memes) ndio reference zako?!! Huwa sipendi kubishana dini ila kama unataka kuhamia kwenye dini twende kwa reference za aya (verses) nikusaidie kukupa elimu maana naona upande wa Palestine na Israel nani shetani umekushinda.

Nakuongezea na hili; sikuhizi wengi wamehamia AI mfano: chatGPT badala ya Google inasomba takataka zote hata alizoandika mjinga yoyote kwenye website ama blog yake.
 
Mkuu fikiria upo kwako anakuja mtu ambaye aliomba hifadhi kama mkimbizi mara tu mambo yanageuka; unanyang'anywa ardhi, nyumba yako ivunjwe, ndugu zako wauwawe, ndugu zako wakamatwe na kupelekwa kambi za kijeshi kwa mateso bila hukumu yoyote au uhamishwe kwa nguvu! Kwanini usitafute njia ya kupata uhuru!?

Hata hivyo nadhani hujawajua Waisrael vizuri. Wao ni washenzi zaidi ukitaka kujua haya kuhusu ubaguzi na sheria zao kali kwa wasio waisrael tafuta verses za kitabu chao kitakatifu cha sheria "TALMUD" uone huo uozo humo ndani kisha rudi hapa uniambie nani mshenzi kati ya mpalestina na muisrael?

Angalia watoto wao wanayofundishwa


View: https://x.com/A5SH_P/status/1897588294445113844

kasome vzr historia , Palestine iliundwa na Arabs na Jews , mwaka 1948 kila mtu alipewa eneo lake na waarab aligoma kujenga nchi serikali wakaamua kuendeshwa na waarab wenzao wa mataifa ya jiran kusema wanataka tokomeza wayaudi na dhima ya wao kuwa taifa miongoni mwao

Wenzao waliunda serikali kisha wakajenga jeshi

siku hiyo hiyo ya Uhuru kwa waarabu na wayaudi , waarab waliamua kujipanga kushambulia wayaud ili kuwapora eneo dogo ambalo walitaka unda taifa lkn hali ilikuwa tofaut na wayaud walifanikiwa kuwarudisha nyuma na kuchukua ardhi kdg ya waarab ( kweny vita yoyote lzm ufanye hv ili kusogeza uwanja wa vita kwa adui incase akitaka kukushambulia tena )

Kama ilivyo kawaida ya waarab huwa ni vichwa vigumu , hawakutaka unda serikali kwenye eneo kubwa walilopewa ila wakaona ardhi ile ndogo ya wayaud ndo muhimu zaid , wakajipanga tena kuja kushambulia wayaudi , mara ya pili wakapigwa tena na kupora eneo kiasi , hii ni kawaida ya vita unachukua eneo la adui ili uwanja wa vita ( buffer zone ) uwe kwenye eneo lake

Waarab waliendelea hvyo mpk walipojikuta wapo kwenye kaeneo kadogo ka Gaza na west bank ndipo walianza kubadili story kutoka kutokomeza uwepo wa wayaudi hapa dunian hadi kupigania uhuru wao dhidi ya Israel

Baadae waarab wakajichanganya zaid kwa kuchagua chama cha Hamas ambacho kinaamin kwenye kuongea kwa mtutu

Na uchaguz wao huo ndo unaenda wafanya wakose hata hiyo Gaza na West bank

WAKULAUMIWA NI MATAIFA YA KIARAB AMBAYO YALIWAPOTOSHA WAARABS WENZAO BADALA YA, KUWASHAURI WAUNDE SERIKALI NA TAIFA WAO WAKAWAINGIZA WENZAO VITANI
 
kasome vzr historia , Palestine iliundwa na Arabs na Jews , mwaka 1948 kila mtu alipewa eneo lake na waarab aligoma kujenga nchi serikali wakaamua kuendeshwa na waarab wenzao wa mataifa ya jiran kusema wanataka tokomeza wayaudi na dhima ya wao kuwa taifa miongoni mwao

Wenzao waliunda serikali kisha wakajenga jeshi

siku hiyo hiyo ya Uhuru kwa waarabu na wayaudi , waarab waliamua kujipanga kushambulia wayaud ili kuwapora eneo dogo ambalo walitaka unda taifa lkn hali ilikuwa tofaut na wayaud walifanikiwa kuwarudisha nyuma na kuchukua ardhi kdg ya waarab ( kweny vita yoyote lzm ufanye hv ili kusogeza uwanja wa vita kwa adui incase akitaka kukushambulia tena )

Kama ilivyo kawaida ya waarab huwa ni vichwa vigumu , hawakutaka unda serikali kwenye eneo kubwa walilopewa ila wakaona ardhi ile ndogo ya wayaud ndo muhimu zaid , wakajipanga tena kuja kushambulia wayaudi , mara ya pili wakapigwa tena na kupora eneo kiasi , hii ni kawaida ya vita unachukua eneo la adui ili uwanja wa vita ( buffer zone ) uwe kwenye eneo lake

Waarab waliendelea hvyo mpk walipojikuta wapo kwenye kaeneo kadogo ka Gaza na west bank ndipo walianza kubadili story kutoka kutokomeza uwepo wa wayaudi hapa dunian hadi kupigania uhuru wao dhidi ya Israel

Baadae waarab wakajichanganya zaid kwa kuchagua chama cha Hamas ambacho kinaamin kwenye kuongea kwa mtutu

Na uchaguz wao huo ndo unaenda wafanya wakose hata hiyo Gaza na West bank

WAKULAUMIWA NI MATAIFA YA KIARAB AMBAYO YALIWAPOTOSHA WAARABS WENZAO BADALA YA, KUWASHAURI WAUNDE SERIKALI NA TAIFA WAO WAKAWAINGIZA WENZAO VITANI
Historia naijua kwa kiasi chake na bado najifunza ila umeandika kwa mahaba zaidi ya hali halisi, labda kama una maana nyingine na si historia.

Utawala Otoman ambao ndio ulikuwa ukiitawala Palestine ulianguka baada ya vita ya kwanza ya dunia Uingereza ilichukua udhibiti wa Palestine chini ya mamlaka ya Umoja wa Mataifa (League of Nations). Mwaka 1917, serikali ya Uingereza ilitoa Azimio la Balfour, ambapo ilitangaza uungwaji mkono kwa kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina. Zingatia hili ndugu kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina!

Kufuatia mauaji ya kimbari (holocaust) kwa wayahudi na kufukuzwa fukuzwa maeneo mengi Ulaya wengi kupitia fursa hii walihamia Palestine kama wakimbizi.
Untitled design.jpg

Hii ilisababisha mivutano kati ya Wapalestina na wahamiaji wa Kizayuni waliokuwa na lengo la kuanzisha taifa lao wenyewe. Hata ingekuwa ni sisi Tanzania tusingekubali kirahisi.

Baada ya mizozo ya hapa na pale mwaka 1947, Umoja wa Mataifa ulipitisha Azimio, ambalo lilipendekeza Palestine igawanywe katika sehemu mbili: 56% ya ardhi iwe ya Wayahudi (ingawa walikuwa wachache kwa idadi wakati huo), 43% ya ardhi iwe ya Wapalestina na 1% (Jerusalem) iwe chini ya utawala wa kimataifa. Wapalestina walikataa mpango huo kwa sababu waliamini ulikuwa hauna haki, kwani wao walikuwa wengi lakini walipewa sehemu ndogo ya ardhi yao ya asili. Kwahiyo walikuwa na sababu ya msingi kukataa ni kama ilivyotutokea sisi pale Iddi Amini aliposema kipande cha Kagera ni chake!

1948 Wayahudi walitangaza kuundwa kwa taifa lao, unadhani nguvu waliitoa wapi wakati mwanzo walikuwa hawana kitu? Jibu unalo. Nchi za Kiarabu zilikataa mpango huu zikaamua kuisaidia Palestine (walikuwa na haki ya kufanya hivi) lakini bahati mbaya walishindwa vibaya vita hii na kuifanya Israel kuchukua maeneo zaidi (78% ya ardhi ya Palestine). Kipindi hiki zaidi ya wapalestina 700,000 walihamishwa kwenye miji na vijiji vyao kwa nguvu na hawakuruhusiwa kurudi hata vita ilipoisha.

Na usidhani hawa mashetani Waisrael walijiongezea maeneo baada ya Wapalestina kuanzisha vita la hasha! Jamaa waliendelea kumega maeneo mengi zaidi kila siku hata baada ya vita na kusababisha Palestine kubaki na maeneo madogo zaidi. Mwaka 1967 Waarabu wakaamua kujitutumua tena kwa vita (6 days war) lakini pia walichemka na Muisrael akaendelea kumega maeneo zaidi wakati huu akiimega na Syria (Gollan Heights) na Misri (Sinai).

Hadi leo Israel bado anaishikilia Gollan heights lakini Sinai aliirudisha baada ya makubaliano ya kidiplomasia, unafikiri ni kwanini Myahudi hakuendelea kuishikilia Sinai kama lengo ni buffer zone!
  • Misri ni moja ya nchi za kiarabu zenye nguvu kijeshi
  • Misri ni mshirika wa Marekani.
  • Shinikizo la kimataifa kwasababu mfereji wa suez unategemewa sana na nchi nyingi.
Unapoongelea buffer zone usisahau kuna nchi nyingi zimewahi kupigana lakini si kwa kuchukua maeneo kiasi hiki eti kisingizio buffer zone. Mfano south Korea na North Korea zilikubaliana Demilitarized Zone baada ya vita na si kushikilia miji ya nchi nyingine na kuifanya kuwa yako!

Untitled design (1).jpg


Inawezekana kuna mengi hujui kuhusu huu mzozo kwababu ya biased information ama kuchagua upande mmoja, mimi mwenyewe nilikuwa nawashangaa sana Waarabu miaka hiyo eti wanajilipua ili kuuwa Waisrael. Hizi harakati za Hamas unazoziona sasa ni kwasababu wamechoka kutawaliwa na kuendelea kuchuliwa maeneo kila kukicha. Wapalestina wanaishi kama wafungwa si Gaza wala West Bank. Israel inaamua nini kiingie nini kitoke Palestine, hawaruhusiwi kuwa na uwanja wa ndege, mashirika ya umeme hata maji kwasababu Israel anataka kucontrol kila kitu kwa kifupi Muisrael ni mtawala na Mpalestina ni mtawaliwa. Leo anaweza kuamua anaingia eneo fulani West Bank na kufukuza wanakijiji, kuvunja nyumba zao na kuweka makazi ya wahamiaji haramu, kumbuka West Bank hakuna Hamas! Kama Waafrika pamoja na ujinga wetu hatukukubali ujinga huu miaka hiyo iweje Waarabu wakubali kirahisi leo hii?

  • Wakulaumiwa ni Wayahudi ambao waliombewa hifadhi wao wakajimilikisha na kutangaza taifa lao.
  • Wakulaumiwa ni UN kwa kukosa nguvu ya kuchukua hatua na kuishia kutoa matamko tu.
  • Wakulaumiwa ni Uingereza na USA kwa sasa kwa kuwa upande wa Waisrael kwasababu tu Zionist organizations and pro-Israel groups lobbying is one of the most powerful in the world.
Nakushauri rudi ukasome historia vizuri, kama hautakuwa na ushabiki na mahaba utajifunza mengi na utakuwa wazi hapa.
 
Uliposema sheikh ulimaanisha hawa ama? Kwahiyo umekariri kila anyevaa kanzu ni sheikh!

Wewe ni juha sana! Hautofautishi kati ya Kiongozi mkuu wa dini (Yesu au Mohammad) na viongozi wa chini . Jibu swali wakati ambapo Yesu hana dhambi kwenu tuambie hayo madhambi yote aliyofanya Paedophile wenu.
Pia unashindwa kutofautisha kuwa endapo kiongozi wa kikiristo afanya kosa hiyo mara kadhaa inatokana na tamaa zake. Wakati kama Huyo Sheikh Mkuu wa Bangladesh alipofanya hiyo dhambi ni kutokana na kusoma kitabu chenu cha shetani.
Wengine hawa hapa kwa kutumia maandiko yenu wanahalalisha kufanya ngono na Mbuzi
View attachment 3264281View attachment 3264282
Historia naijua kwa kiasi chake na bado najifunza ila umeandika kwa mahaba zaidi ya hali halisi, labda kama una maana nyingine na si historia.

Utawala Otoman ambao ndio ulikuwa ukiitawala Palestine ulianguka baada ya vita ya kwanza ya dunia Uingereza ilichukua udhibiti wa Palestine chini ya mamlaka ya Umoja wa Mataifa (League of Nations). Mwaka 1917, serikali ya Uingereza ilitoa Azimio la Balfour, ambapo ilitangaza uungwaji mkono kwa kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina. Zingatia hili ndugu kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina!

Kufuatia mauaji ya kimbari (holocaust) kwa wayahudi na kufukuzwa fukuzwa maeneo mengi Ulaya wengi kupitia fursa hii walihamia Palestine kama wakimbizi.
View attachment 3264474
Hii ilisababisha mivutano kati ya Wapalestina na wahamiaji wa Kizayuni waliokuwa na lengo la kuanzisha taifa lao wenyewe. Hata ingekuwa ni sisi Tanzania tusingekubali kirahisi.

Baada ya mizozo ya hapa na pale mwaka 1947, Umoja wa Mataifa ulipitisha Azimio, ambalo lilipendekeza Palestine igawanywe katika sehemu mbili: 56% ya ardhi iwe ya Wayahudi (ingawa walikuwa wachache kwa idadi wakati huo), 43% ya ardhi iwe ya Wapalestina na 1% (Jerusalem) iwe chini ya utawala wa kimataifa. Wapalestina walikataa mpango huo kwa sababu waliamini ulikuwa hauna haki, kwani wao walikuwa wengi lakini walipewa sehemu ndogo ya ardhi yao ya asili. Kwahiyo walikuwa na sababu ya msingi kukataa ni kama ilivyotutokea sisi pale Iddi Amini aliposema kipande cha Kagera ni chake!

1948 Wayahudi walitangaza kuundwa kwa taifa lao, unadhani nguvu waliitoa wapi wakati mwanzo walikuwa hawana kitu? Jibu unalo. Nchi za Kiarabu zilikataa mpango huu zikaamua kuisaidia Palestine (walikuwa na haki ya kufanya hivi) lakini bahati mbaya walishindwa vibaya vita hii na kuifanya Israel kuchukua maeneo zaidi (78% ya ardhi ya Palestine). Kipindi hiki zaidi ya wapalestina 700,000 walihamishwa kwenye miji na vijiji vyao kwa nguvu na hawakuruhusiwa kurudi hata vita ilipoisha.

Na usidhani hawa mashetani Waisrael walijiongezea maeneo baada ya Wapalestina kuanzisha vita la hasha! Jamaa waliendelea kumega maeneo mengi zaidi kila siku hata baada ya vita na kusababisha Palestine kubaki na maeneo madogo zaidi. Mwaka 1967 Waarabu wakaamua kujitutumua tena kwa vita (6 days war) lakini pia walichemka na Muisrael akaendelea kumega maeneo zaidi wakati huu akiimega na Syria (Gollan Heights) na Misri (Sinai).

Hadi leo Israel bado anaishikilia Gollan heights lakini Sinai aliirudisha baada ya makubaliano ya kidiplomasia, unafikiri ni kwanini Myahudi hakuendelea kuishikilia Sinai kama lengo ni buffer zone!
  • Misri ni moja ya nchi za kiarabu zenye nguvu kijeshi
  • Misri ni mshirika wa Marekani.
  • Shinikizo la kimataifa kwasababu mfereji wa suez unategemewa sana na nchi nyingi.
Unapoongelea buffer zone usisahau kuna nchi nyingi zimewahi kupigana lakini si kwa kuchukua maeneo kiasi hiki eti kisingizio buffer zone. Mfano south Korea na North Korea zilikubaliana Demilitarized Zone baada ya vita na si kushikilia miji ya nchi nyingine na kuifanya kuwa yako!

View attachment 3264481

Inawezekana kuna mengi hujui kuhusu huu mzozo kwababu ya biased information ama kuchagua upande mmoja, mimi mwenyewe nilikuwa nawashangaa sana Waarabu miaka hiyo eti wanajilipua ili kuuwa Waisrael. Hizi harakati za Hamas unazoziona sasa ni kwasababu wamechoka kutawaliwa na kuendelea kuchuliwa maeneo kila kukicha. Wapalestina wanaishi kama wafungwa si Gaza wala West Bank. Israel inaamua nini kiingie nini kitoke Palestine, hawaruhusiwi kuwa na uwanja wa ndege, mashirika ya umeme hata maji kwasababu Israel anataka kucontrol kila kitu kwa kifupi Muisrael ni mtawala na Mpalestina ni mtawaliwa. Leo anaweza kuamua anaingia eneo fulani West Bank na kufukuza wanakijiji, kuvunja nyumba zao na kuweka makazi ya wahamiaji haramu, kumbuka West Bank hakuna Hamas! Kama Waafrika pamoja na ujinga wetu hatukukubali ujinga huu miaka hiyo iweje Waarabu wakubali kirahisi leo hii?

  • Wakulaumiwa ni Wayahudi ambao waliombewa hifadhi wao wakajimilikisha na kutangaza taifa lao.
  • Wakulaumiwa ni UN kwa kukosa nguvu ya kuchukua hatua na kuishia kutoa matamko tu.
  • Wakulaumiwa ni Uingereza na USA kwa sasa kwa kuwa upande wa Waisrael kwasababu tu Zionist organizations and pro-Israel groups lobbying is one of the most powerful in the world.
Nakushauri rudi ukasome historia vizuri, kama hautakuwa na ushabiki na mahaba utajifunza mengi na utakuwa wazi hapa.
kasome vzr historia , Palestine iliundwa na Arabs na Jews , mwaka 1948 kila mtu alipewa eneo lake na waarab aligoma kujenga nchi serikali wakaamua kuendeshwa na waarab wenzao wa mataifa ya jiran kusema wanataka tokomeza wayaudi na dhima ya wao kuwa taifa miongoni mwao

Wenzao waliunda serikali kisha wakajenga jeshi

siku hiyo hiyo ya Uhuru kwa waarabu na wayaudi , waarab waliamua kujipanga kushambulia wayaud ili kuwapora eneo dogo ambalo walitaka unda taifa lkn hali ilikuwa tofaut na wayaud walifanikiwa kuwarudisha nyuma na kuchukua ardhi kdg ya waarab ( kweny vita yoyote lzm ufanye hv ili kusogeza uwanja wa vita kwa adui incase akitaka kukushambulia tena )

Kama ilivyo kawaida ya waarab huwa ni vichwa vigumu , hawakutaka unda serikali kwenye eneo kubwa walilopewa ila wakaona ardhi ile ndogo ya wayaud ndo muhimu zaid , wakajipanga tena kuja kushambulia wayaudi , mara ya pili wakapigwa tena na kupora eneo kiasi , hii ni kawaida ya vita unachukua eneo la adui ili uwanja wa vita ( buffer zone ) uwe kwenye eneo lake

Waarab waliendelea hvyo mpk walipojikuta wapo kwenye kaeneo kadogo ka Gaza na west bank ndipo walianza kubadili story kutoka kutokomeza uwepo wa wayaudi hapa dunian hadi kupigania uhuru wao dhidi ya Israel

Baadae waarab wakajichanganya zaid kwa kuchagua chama cha Hamas ambacho kinaamin kwenye kuongea kwa mtutu

Na uchaguz wao huo ndo unaenda wafanya wakose hata hiyo Gaza na West bank

WAKULAUMIWA NI MATAIFA YA KIARAB AMBAYO YALIWAPOTOSHA WAARABS WENZAO BADALA YA, KUWASHAURI WAUNDE SERIKALI NA TAIFA WAO WAKAWAINGIZA WENZAO VITANI
Hili jitu juha sana; lakini sishangai, kwani binadamu yeyote aliyehifadhi Quran kichwani anakuwa na characters za ibilisi ambaye ni king'ang'anizi sana. Halijui kutofautisha Wayahudi walikuwa so advanced hata kutunza dini, mila na lugha ya kiasi kwamba kokote walikoenda vitu hivyo walikuwa navyo na zaidi pia vizazi na vizazi vikajua nyumbani kwao ni wapi. Na wayahudi wengi walikimbia mateso toka ktk mataifa ya kiarabu.
Linashindwa kutofautisha mkataba wa Amani wa Israel na Egypt na Israel kukalia Gollan Height. At linasema ni kwa sababu Egypt is so powerful; jinga! Egypt katwangwa 1948, 1967 na 1973 halafu bado tu halikubali. Syria wangekuwa waungwana wangerudishiwa milima yao. Lakini ndiyo kwanza wakajichanganya kuungana na Iran ambayo iliapa kuiangamiza Israel.; milima hamrudishiwi na mkitaka mkashitaki Turkey 🇹🇷 mtadundwa hata kama turkey ni taifa la pili kuwa na jeshi kubwa ndani ya NATO. Mtapigwa na pagers, muwaulize Hezbullah waliokuwa wakijiaminisha kuwa wataiangamiza Israel
Screenshot_20240620-101156_Chrome.jpg
Screenshot_20241116-220401_Chrome.jpg
 
Uliposema sheikh ulimaanisha hawa ama? Kwahiyo umekariri kila anyevaa kanzu ni sheikh!

Wewe ni juha sana! Hautofautishi kati ya Kiongozi mkuu wa dini (Yesu au Mohammad) na viongozi wa chini . Jibu swali wakati ambapo Yesu hana dhambi kwenu tuambie hayo madhambi yote aliyofanya Paedophile wenu.
Pia unashindwa kutofautisha kuwa endapo kiongozi wa kikiristo afanya kosa hiyo mara kadhaa inatokana na tamaa zake. Wakati kama Huyo Sheikh Mkuu wa Bangladesh alipofanya hiyo dhambi ni kutokana na kusoma kitabu chenu cha shetani.
Wengine hawa hapa kwa kutumia maandiko yenu wanahalalisha kufanya ngono na Mbuzi
View attachment 3264281View attachment 3264282
Historia naijua kwa kiasi chake na bado najifunza ila umeandika kwa mahaba zaidi ya hali halisi, labda kama una maana nyingine na si historia.

Utawala Otoman ambao ndio ulikuwa ukiitawala Palestine ulianguka baada ya vita ya kwanza ya dunia Uingereza ilichukua udhibiti wa Palestine chini ya mamlaka ya Umoja wa Mataifa (League of Nations). Mwaka 1917, serikali ya Uingereza ilitoa Azimio la Balfour, ambapo ilitangaza uungwaji mkono kwa kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina. Zingatia hili ndugu kuundwa kwa “makazi ya kitaifa kwa Wayahudi” ndani ya Palestina!

Kufuatia mauaji ya kimbari (holocaust) kwa wayahudi na kufukuzwa fukuzwa maeneo mengi Ulaya wengi kupitia fursa hii walihamia Palestine kama wakimbizi.
View attachment 3264474
Hii ilisababisha mivutano kati ya Wapalestina na wahamiaji wa Kizayuni waliokuwa na lengo la kuanzisha taifa lao wenyewe. Hata ingekuwa ni sisi Tanzania tusingekubali kirahisi.

Baada ya mizozo ya hapa na pale mwaka 1947, Umoja wa Mataifa ulipitisha Azimio, ambalo lilipendekeza Palestine igawanywe katika sehemu mbili: 56% ya ardhi iwe ya Wayahudi (ingawa walikuwa wachache kwa idadi wakati huo), 43% ya ardhi iwe ya Wapalestina na 1% (Jerusalem) iwe chini ya utawala wa kimataifa. Wapalestina walikataa mpango huo kwa sababu waliamini ulikuwa hauna haki, kwani wao walikuwa wengi lakini walipewa sehemu ndogo ya ardhi yao ya asili. Kwahiyo walikuwa na sababu ya msingi kukataa ni kama ilivyotutokea sisi pale Iddi Amini aliposema kipande cha Kagera ni chake!

1948 Wayahudi walitangaza kuundwa kwa taifa lao, unadhani nguvu waliitoa wapi wakati mwanzo walikuwa hawana kitu? Jibu unalo. Nchi za Kiarabu zilikataa mpango huu zikaamua kuisaidia Palestine (walikuwa na haki ya kufanya hivi) lakini bahati mbaya walishindwa vibaya vita hii na kuifanya Israel kuchukua maeneo zaidi (78% ya ardhi ya Palestine). Kipindi hiki zaidi ya wapalestina 700,000 walihamishwa kwenye miji na vijiji vyao kwa nguvu na hawakuruhusiwa kurudi hata vita ilipoisha.

Na usidhani hawa mashetani Waisrael walijiongezea maeneo baada ya Wapalestina kuanzisha vita la hasha! Jamaa waliendelea kumega maeneo mengi zaidi kila siku hata baada ya vita na kusababisha Palestine kubaki na maeneo madogo zaidi. Mwaka 1967 Waarabu wakaamua kujitutumua tena kwa vita (6 days war) lakini pia walichemka na Muisrael akaendelea kumega maeneo zaidi wakati huu akiimega na Syria (Gollan Heights) na Misri (Sinai).

Hadi leo Israel bado anaishikilia Gollan heights lakini Sinai aliirudisha baada ya makubaliano ya kidiplomasia, unafikiri ni kwanini Myahudi hakuendelea kuishikilia Sinai kama lengo ni buffer zone!
  • Misri ni moja ya nchi za kiarabu zenye nguvu kijeshi
  • Misri ni mshirika wa Marekani.
  • Shinikizo la kimataifa kwasababu mfereji wa suez unategemewa sana na nchi nyingi.
Unapoongelea buffer zone usisahau kuna nchi nyingi zimewahi kupigana lakini si kwa kuchukua maeneo kiasi hiki eti kisingizio buffer zone. Mfano south Korea na North Korea zilikubaliana Demilitarized Zone baada ya vita na si kushikilia miji ya nchi nyingine na kuifanya kuwa yako!

View attachment 3264481

Inawezekana kuna mengi hujui kuhusu huu mzozo kwababu ya biased information ama kuchagua upande mmoja, mimi mwenyewe nilikuwa nawashangaa sana Waarabu miaka hiyo eti wanajilipua ili kuuwa Waisrael. Hizi harakati za Hamas unazoziona sasa ni kwasababu wamechoka kutawaliwa na kuendelea kuchuliwa maeneo kila kukicha. Wapalestina wanaishi kama wafungwa si Gaza wala West Bank. Israel inaamua nini kiingie nini kitoke Palestine, hawaruhusiwi kuwa na uwanja wa ndege, mashirika ya umeme hata maji kwasababu Israel anataka kucontrol kila kitu kwa kifupi Muisrael ni mtawala na Mpalestina ni mtawaliwa. Leo anaweza kuamua anaingia eneo fulani West Bank na kufukuza wanakijiji, kuvunja nyumba zao na kuweka makazi ya wahamiaji haramu, kumbuka West Bank hakuna Hamas! Kama Waafrika pamoja na ujinga wetu hatukukubali ujinga huu miaka hiyo iweje Waarabu wakubali kirahisi leo hii?

  • Wakulaumiwa ni Wayahudi ambao waliombewa hifadhi wao wakajimilikisha na kutangaza taifa lao.
  • Wakulaumiwa ni UN kwa kukosa nguvu ya kuchukua hatua na kuishia kutoa matamko tu.
  • Wakulaumiwa ni Uingereza na USA kwa sasa kwa kuwa upande wa Waisrael kwasababu tu Zionist organizations and pro-Israel groups lobbying is one of the most powerful in the world.
Nakushauri rudi ukasome historia vizuri, kama hautakuwa na ushabiki na mahaba utajifunza mengi na utakuwa wazi hapa.
kasome vzr historia , Palestine iliundwa na Arabs na Jews , mwaka 1948 kila mtu alipewa eneo lake na waarab aligoma kujenga nchi serikali wakaamua kuendeshwa na waarab wenzao wa mataifa ya jiran kusema wanataka tokomeza wayaudi na dhima ya wao kuwa taifa miongoni mwao

Wenzao waliunda serikali kisha wakajenga jeshi

siku hiyo hiyo ya Uhuru kwa waarabu na wayaudi , waarab waliamua kujipanga kushambulia wayaud ili kuwapora eneo dogo ambalo walitaka unda taifa lkn hali ilikuwa tofaut na wayaud walifanikiwa kuwarudisha nyuma na kuchukua ardhi kdg ya waarab ( kweny vita yoyote lzm ufanye hv ili kusogeza uwanja wa vita kwa adui incase akitaka kukushambulia tena )

Kama ilivyo kawaida ya waarab huwa ni vichwa vigumu , hawakutaka unda serikali kwenye eneo kubwa walilopewa ila wakaona ardhi ile ndogo ya wayaud ndo muhimu zaid , wakajipanga tena kuja kushambulia wayaudi , mara ya pili wakapigwa tena na kupora eneo kiasi , hii ni kawaida ya vita unachukua eneo la adui ili uwanja wa vita ( buffer zone ) uwe kwenye eneo lake

Waarab waliendelea hvyo mpk walipojikuta wapo kwenye kaeneo kadogo ka Gaza na west bank ndipo walianza kubadili story kutoka kutokomeza uwepo wa wayaudi hapa dunian hadi kupigania uhuru wao dhidi ya Israel

Baadae waarab wakajichanganya zaid kwa kuchagua chama cha Hamas ambacho kinaamin kwenye kuongea kwa mtutu

Na uchaguz wao huo ndo unaenda wafanya wakose hata hiyo Gaza na West bank

WAKULAUMIWA NI MATAIFA YA KIARAB AMBAYO YALIWAPOTOSHA WAARABS WENZAO BADALA YA, KUWASHAURI WAUNDE SERIKALI NA TAIFA WAO WAKAWAINGIZA WENZAO VITANI
Hili jitu juha sana; lakini sishangai, kwani binadamu yeyote aliyehifadhi Quran kichwani anakuwa na characters za ibilisi ambaye ni king'ang'anizi sana. Halijui kutofautisha Wayahudi walikuwa so advanced hata kutunza dini, mila na lugha ya kiasi kwamba kokote walikoenda vitu hivyo walikuwa navyo na zaidi pia vizazi na vizazi vikajua nyumbani kwao ni wapi. Na wayahudi wengi walikimbia mateso toka ktk mataifa ya kiarabu.
Linashindwa kutofautisha mkataba wa Amani wa Israel na Egypt na Israel kukalia Gollan Height. At linasema ni kwa sababu Egypt is so powerful; jinga! Egypt katwangwa 1948, 1967 na 1973 halafu bado tu halikubali. Syria wangekuwa waungwana wangerudishiwa milima yao. Lakini ndiyo kwanza wakajichanganya kuungana na Iran ambayo iliapa kuiangamiza Israel.; milima hamrudishiwi na mkitaka mkashitaki Turkey 🇹🇷 mtadundwa hata kama turkey ni taifa la pili kuwa na jeshi kubwa ndani ya NATO. Mtapigwa na pagers, muwaulize Hezbullah waliokuwa wakijiaminisha kuwa wataiangamiza Israel
View attachment 3265195View attachment 3265194
 
Tuachane na hizi habari tuelezane kuhusu kwa nini simba na yanga wanahusishwa sana ccm.kila wakifunga wanakwenda bungeni kushiriki vikao
 
Hili jitu juha sana; lakini sishangai, kwani binadamu yeyote aliyehifadhi Quran kichwani anakuwa na characters za ibilisi ambaye ni king'ang'anizi sana. Halijui kutofautisha Wayahudi walikuwa so advanced hata kutunza dini, mila na lugha ya kiasi kwamba kokote walikoenda vitu hivyo walikuwa navyo na zaidi pia vizazi na vizazi vikajua nyumbani kwao ni wapi. Na wayahudi wengi walikimbia mateso toka ktk mataifa ya kiarabu.
Linashindwa kutofautisha mkataba wa Amani wa Israel na Egypt na Israel kukalia Gollan Height. At linasema ni kwa sababu Egypt is so powerful; jinga! Egypt katwangwa 1948, 1967 na 1973 halafu bado tu halikubali. Syria wangekuwa waungwana wangerudishiwa milima yao. Lakini ndiyo kwanza wakajichanganya kuungana na Iran ambayo iliapa kuiangamiza Israel.; milima hamrudishiwi na mkitaka mkashitaki Turkey 🇹🇷 mtadundwa hata kama turkey ni taifa la pili kuwa na jeshi kubwa ndani ya NATO. Mtapigwa na pagers, muwaulize Hezbullah waliokuwa wakijiaminisha kuwa wataiangamiza Israel
Endelea kuniita juha wakati unaonyesha ujinga wako kwa maelezo ya kitoto. Vita ya mwisho Israel na Misri kupigana haikuwa 1973 bali ni 1979 (baada ya vita ya Yom Kippur) hii vita haikuwa na mshindi wa wazi na ndiyo iliyopelekea Israel kukubali mapatano ya kidiplomasia kwasababu mziki aliokutana nao anaujua mwenyewe ndomana nikasema moja ya sababu za Israel kukubali kirahisi kuirudisha Sinai na mkataba wa amani na si sababu ya nguvu za kijeshi, hii ilikuwa ni "moja ya sababu" au hujui kuchambua mada mdogo wangu? Pamoja na sababu hiyo nimekuwekea sababu nyingine mbili za muhimu bado huelewi kwasababu umezowea kubishana na watoto wenzako kwamba ni lazima ushinde mjadala hatakama huna point za msingi!!! Wenzako wenye akili walikuja kwa papara ila nilipowajibu hawakurudi tena kwasababu wana akili na wameona ukweli ni upi. Umekurupuka!

Kama hujui lengo la muisrael ni "Great Israel" atakomaa kuchukua maeneo mengi zaidi hata Sinai aliirudisha kwasababu kuna sehemu alikosa kuungwa mkono, hao ni mashetani wanaanzisha makundi ya kigaidi na vita mashariki ya kati ili waendelee kupata sababu ya kuchukua maeneo zaidi. Haitaishia hapa hata waarabu wakitulia yeye ataanzisha na ipo siku mtaujua ukweli.

Na hii ndio ndoto ya Great Israel
greaterisrael.jpg


Unapoanzisha mada kubali kukosolewa na kuelimishwa kwani utajifunza mengi, kama unataka tupeane elimu leta facts nishushe madini huo utoto utoto na matusi peleka kwenye makundi yenu ya chuki za kidini
 
Ukiwa unaweka mapicha picha yako uwe unatoa na maelezo. Naomba nikuongezee elimu tena, Waarabu hawakuwa watu wa kwanza kuwafukuza Waisrael au kuwachukia hili limetokea hata Ulaya miaka mingi iliyopita tena walikuwa wanatimuliwa na serikali za Kikristo. Shuka na data hizi:
  • Uingereza (1290) – Mfalme Edward I aliwafukuza Wayahudi kupitia Edict of Expulsion.
  • Ufaransa (1182, 1306, 1394) – Wayahudi walifukuzwa mara kadhaa, hasa na Mfalme Philip IV mwaka 1306 na Charles VI mwaka 1394.
  • Uhispania (1492)Mamlaka ya Kikatoliki (Reyes Católicos) Ferdinand na Isabella walitoa Edict of Expulsion, wakiwapa Wayahudi chaguo la kubadili dini au kuondoka!!
  • Ureno (1497) – Mfalme Manuel I aliwafukuza Wayahudi baada ya kushinikizwa na Uhispania.
  • Ujerumani (1348-1350, 15-16 Karne) – Ingawa Wayahudi walifukuzwa kutoka miji mbalimbali ya Ujerumani kabla ya Holocaust, walikumbwa na mateso makubwa wakati wa Tauni Nyeusi (Black Death), ambapo walituhumiwa kwa kuhusika na ugonjwa huo.
  • Austria (1421) – Mfalme Albert V aliwafukuza Wayahudi katika tukio lililojulikana kama Wiener Gesera.
  • Ubelgiji (1370, 15 Karne) – Wayahudi walifukuzwa kutoka miji kadhaa kama Brussels baada ya mashtaka ya "blood libel".
  • Italia (15-16 Karne) – Wayahudi walifukuzwa kutoka baadhi ya majimbo ya Italia kama Naples (1510), Milan (1597), na Sicily (1492).
  • Poland-Lithuania (1648-1657) – Ingawa Poland ilikuwa moja ya maeneo salama kwa Wayahudi kwa muda mrefu, wakati wa Mauaji ya Khmelnytsky na vita vya Cossacks, wengi walikimbia au kufukuzwa.
  • Uholanzi (1444, 16 Karne) – Ingawa baadaye Uholanzi ilihifadhi Wayahudi, kulikuwa na kufukuzwa kutoka baadhi ya maeneo.
  • Switzerland (1348, 1622) – Wayahudi walifukuzwa kutoka baadhi ya majimbo kama Basel.
  • Hungary (1349, 1360, 1582) – Walifukuzwa mara kadhaa na kuruhusiwa kurudi baadaye.
Sababu za kufukuzwa hao mashetani zilijumuisha:
  • chuki za kidini (Watawala wa Kikristo hawakuwa na mahusiano mazuri na Wayahudi wakati huo)
  • Masuala ya kiuchumi kama madeni na biashara ya fedha (hawa mashetani ndio waanzilishi wa biashara za riba ndio maana hadi leo wanaimiliki World Bank, na wakati huo Wakristo wa kweli riba ilikuwa dhambi).
  • Blood libel ; Hapa Wayahudi walihusishwa na matukio ya kuteka nyara, kutesa na kuua watoto wa Kikristo kwa ajili ya matumizi ya kiibada, kama vile kutumia damu ya watoto hao kwa matambiko ya kidini au kuoka mikate ya Pasaka(kafara za kishetani)
  • Na kuhusishwa na magonjwa kama Tauni Nyeusi.
Sasa bwana mdogo kama Wakristo waliwakataa Wayahudi miaka hiyo unashangaa Waarabu kuwakataa sasaivi? Japokuwa vyanzo vingi vya taarifa vinadai zilikuwa ni shutuma za chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) lakini wajuvi wa mambo wanakwambia hawa jamaa ni kweli kwa namna fulani wanahusika na shutuma hizo ila kwasababu wao ndio watawala na wamiliki wa vyanzo vya habari basi inakuwa ni rahisi kwao kuficha ukweli huu.

Sababu kubwa ya Wayahudi kupungua katika nchi za kiarabu ni chuki kuongezeka baada ya mzozo wa Palestine lakini mwanzo hakukuwa na chuki kubwa na kwa wakati huu Ulaya na Amerika zimekuwa sehemu salama kwao sababu washazishika hizo sehemu, kama hujui Waisrael ndio watawala na si Marekani kama mnavyojidanganya kwasababu New World Order ni mpango wa shetani kuitawala dunia na mtawala ni huyo huyo shetani.

Hapa nakuwekea link pitia moja ya matukio ya Wayahudi kufukuzwa Hispania au kulazimishwa kuwa Wakristo! Inawezekana akili yako inakwambia Wayahudi ni Wakristo:

Una swali?
 
Mini siko deep sana kwenye haya mambo ya dini na sitaki kuwa deep kabisa ila ninachojua ni kwamba waisrael ( wayahudi) wametajwa sana kwenye Quran ambayo inasadikiwa kushushwa Kwa Mudi na wafuasi wake kitambo tu kabla ya hata hiyo 1948, sasa najiuliza hawa waisrael wanaongelewa humo walikuwa wanaishi wapi?
 
Mini siko deep sana kwenye haya mambo ya dini na sitaki kuwa deep kabisa ila ninachojua ni kwamba waisrael ( wayahudi) wametajwa sana kwenye Quran ambayo inasadikiwa kushushwa Kwa Mudi na wafuasi wake kitambo tu kabla ya hata hiyo 1948, sasa najiuliza hawa waisrael wanaongelewa humo walikuwa wanaishi wapi?
Mkuu hatujadili kitabu cha Mudy unayemtaja wala cha Waisrael tuongee wazi nani mwenye haki ya kuishi hapo sasa, maana dunia haiongozwi na vitabu vya dini ukisema tufate maandiko ya Waisrael ama Waarabu hata Wamisri wa kale walikuwa dini na maandiko yao tena miaka mingi kabla ya Wayahudi, Waafrika tulikuwa na historia yetu na mipaka yetu kabla ya kugawanywa na mkoloni na Red Indians (Native Americans) walikuwa na historia zao, mipaka yao na tawala zao kabla ya wazungu washenzi kwenda kuwauwa na kuwatawanya. Kwahiyo Wayahudi watambue kabla ya historia yao kuahidiwa hilo eneo na Mungu wao kulikuwa na watu hapo, tamaduni zao, historia zao na imani zao.

Lakini pia mmekuwa mnapindisha maandiko ilimradi kuwatetea Wayahudi waonekane wana haki ya kuishi hapo peke yao utadhani hicho kizazi kilishushwa moja kwa moja toka kwa Mungu na kuangukia hapo. Kabla ya Wayahudi kufika eneo hilo lilikaliwa na :
  • Wakanani (Canaanites), jamii ya Kisemiti waliokuwa wakulima na wafanyabiashara.
  • Wafilisti (Philistines), jamii isiyo ya Kisemiti, walifika baadaye kutoka Krete au sehemu nyingine za Bahari ya Kati (karne ya 12 KK). Wafilisti waliishi katika pwani ya Gaza, Ashdod, na Ashkelon, na neno "Palestina" linatokana na wao. Kama huijui vizuri bible tafuta ushahidi wa maelezo haya kwa wasomi wa bible ukikosa rudi nikusaidie kutafuta.
Jina Palestine lilianzishwa na Warumi baada ya kuwashinda Wayahudi na kutawala eneo hilo, walitoa jina hilo kuwaenzi Wafilisti ambao nao pia walikuwa wenyeji hapo. Hata hivyo kama nilivyosema mwanzo tunafuata utaratibu wa UN na si maandiko ya Wayahudi!!!

Binafsi sikatai Waisrael kuishi hapo ila nakataa wao kujifanya ndio wenye haki ya kuishi hapo peke yao.
 
Binafsi sikatai Waisrael kuishi hapo ila nakataa wao kujifanya ndio wenye haki ya kuishi hapo peke yao.
Unaposema "... (Wayahudi) kujifanya wenye haki ya kuishi hapo peke yao"
Unamaanisha nini ukizingatia kwamba ndani ya Israel kuna Waarabu zaidi ya 2m wanaishi kwa amani pamoja na Wayahudi?!

Tatizo ni hao Hamas na washirika wao waliojipa kandarasi ya kuwafuta kabisa Wayahudi, kazi ambayo kamwe hawatafanikiwa na inawakula wao wenyewe
 
Ukiwa unaweka mapicha picha yako uwe unatoa na maelezo. Naomba nikuongezee elimu tena, Waarabu hawakuwa watu wa kwanza kuwafukuza Waisrael au kuwachukia hili limetokea hata Ulaya miaka mingi iliyopita tena walikuwa wanatimuliwa na serikali za Kikristo. Shuka na data hizi:
  • Uingereza (1290) – Mfalme Edward I aliwafukuza Wayahudi kupitia Edict of Expulsion.
  • Ufaransa (1182, 1306, 1394) – Wayahudi walifukuzwa mara kadhaa, hasa na Mfalme Philip IV mwaka 1306 na Charles VI mwaka 1394.
  • Uhispania (1492)Mamlaka ya Kikatoliki (Reyes Católicos) Ferdinand na Isabella walitoa Edict of Expulsion, wakiwapa Wayahudi chaguo la kubadili dini au kuondoka!!
  • Ureno (1497) – Mfalme Manuel I aliwafukuza Wayahudi baada ya kushinikizwa na Uhispania.
  • Ujerumani (1348-1350, 15-16 Karne) – Ingawa Wayahudi walifukuzwa kutoka miji mbalimbali ya Ujerumani kabla ya Holocaust, walikumbwa na mateso makubwa wakati wa Tauni Nyeusi (Black Death), ambapo walituhumiwa kwa kuhusika na ugonjwa huo.
  • Austria (1421) – Mfalme Albert V aliwafukuza Wayahudi katika tukio lililojulikana kama Wiener Gesera.
  • Ubelgiji (1370, 15 Karne) – Wayahudi walifukuzwa kutoka miji kadhaa kama Brussels baada ya mashtaka ya "blood libel".
  • Italia (15-16 Karne) – Wayahudi walifukuzwa kutoka baadhi ya majimbo ya Italia kama Naples (1510), Milan (1597), na Sicily (1492).
  • Poland-Lithuania (1648-1657) – Ingawa Poland ilikuwa moja ya maeneo salama kwa Wayahudi kwa muda mrefu, wakati wa Mauaji ya Khmelnytsky na vita vya Cossacks, wengi walikimbia au kufukuzwa.
  • Uholanzi (1444, 16 Karne) – Ingawa baadaye Uholanzi ilihifadhi Wayahudi, kulikuwa na kufukuzwa kutoka baadhi ya maeneo.
  • Switzerland (1348, 1622) – Wayahudi walifukuzwa kutoka baadhi ya majimbo kama Basel.
  • Hungary (1349, 1360, 1582) – Walifukuzwa mara kadhaa na kuruhusiwa kurudi baadaye.
Sababu za kufukuzwa hao mashetani zilijumuisha:
  • chuki za kidini (Watawala wa Kikristo hawakuwa na mahusiano mazuri na Wayahudi wakati huo)
  • Masuala ya kiuchumi kama madeni na biashara ya fedha (hawa mashetani ndio waanzilishi wa biashara za riba ndio maana hadi leo wanaimiliki World Bank, na wakati huo Wakristo wa kweli riba ilikuwa dhambi).
  • Blood libel ; Hapa Wayahudi walihusishwa na matukio ya kuteka nyara, kutesa na kuua watoto wa Kikristo kwa ajili ya matumizi ya kiibada, kama vile kutumia damu ya watoto hao kwa matambiko ya kidini au kuoka mikate ya Pasaka(kafara za kishetani)
  • Na kuhusishwa na magonjwa kama Tauni Nyeusi.
Sasa bwana mdogo kama Wakristo waliwakataa Wayahudi miaka hiyo unashangaa Waarabu kuwakataa sasaivi? Japokuwa vyanzo vingi vya taarifa vinadai zilikuwa ni shutuma za chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitism) lakini wajuvi wa mambo wanakwambia hawa jamaa ni kweli kwa namna fulani wanahusika na shutuma hizo ila kwasababu wao ndio watawala na wamiliki wa vyanzo vya habari basi inakuwa ni rahisi kwao kuficha ukweli huu.

Sababu kubwa ya Wayahudi kupungua katika nchi za kiarabu ni chuki kuongezeka baada ya mzozo wa Palestine lakini mwanzo hakukuwa na chuki kubwa na kwa wakati huu Ulaya na Amerika zimekuwa sehemu salama kwao sababu washazishika hizo sehemu, kama hujui Waisrael ndio watawala na si Marekani kama mnavyojidanganya kwasababu New World Order ni mpango wa shetani kuitawala dunia na mtawala ni huyo huyo shetani.

Hapa nakuwekea link pitia moja ya matukio ya Wayahudi kufukuzwa Hispania au kulazimishwa kuwa Wakristo! Inawezekana akili yako inakwambia Wayahudi ni Wakristo:

Una swali?
Yaani ulivyokuwa pumbavu linalochukua kila pumba, Ati wayahudi walihusishwa na tauni nyeusi; na wewe unachukua tu! Yote hiyo ni kwa sababu umezoeshwa kumeza tu Quran ya shetani kaallah. Blood Libel ni uongo( slander) kubwa ambayo miislamists wamewasingizia wayahudi. Na sasa ukweli unaanza kupatikana. Just go to Google and the truth is abundant
 
Back
Top Bottom