Maoni yangu hii vita haitatokea. The fact kwamba wahasimu hawa wawili, wakiwashirikisha Super Power walio upande wao wamefikia hata kuzungumzia silaha za Maangamizi (kunazungumzwa sasa Nuclear), hii inanifanya nikumbuke Maandiko ya Biblia kuwa Mungu hataacha mwanadamu aiharibu dunia beyond repair Ecclesiastes 1:4 NB kule Hiroshima ilikuwa ni Atomic, not Nuclear.
Kama itapiganwa kweli, chochote chaweza tokea upande mbinu za kifundi za kijeshi kuzuia maangakizi ya Dunia kwa ujumla na mbinu hizo i have a feeling, utawala mmojawapo kati ya Iran au Israel hautabakia kama ulivyo na hivyo kubadili kabisa peace talks dynamics za mashariki ya kati. Ukurasa mpya kabisa utafunguliwa.
Nasikia wahasimu hawa wamekamiana kuonyeshana ubabe wao this week.
Kama itapiganwa kweli, chochote chaweza tokea upande mbinu za kifundi za kijeshi kuzuia maangakizi ya Dunia kwa ujumla na mbinu hizo i have a feeling, utawala mmojawapo kati ya Iran au Israel hautabakia kama ulivyo na hivyo kubadili kabisa peace talks dynamics za mashariki ya kati. Ukurasa mpya kabisa utafunguliwa.
Nasikia wahasimu hawa wamekamiana kuonyeshana ubabe wao this week.