Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😹😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mtaji mmh! 2.7B ?Kufanya biashara kunahitaji muongozo, lakini pia taarifa sahihi kutoka kwa watu sahihi inaweza kufanya tofauti kubwa.
Tunatoa ushauri kwa wafanyabiashara wanaotaka mitaji mikubwa ya biashara na wenye historia au uzoefu wa biashara na asset kwa ajili ya dhamana.
Wasiliana nasi kwa email humble2080@gmail.com
Huna official email yenye domain ya kampuni yako, je uko serious?Kufanya biashara kunahitaji muongozo, lakini pia taarifa sahihi kutoka kwa watu sahihi inaweza kufanya tofauti kubwa.
Tunatoa ushauri kwa wafanyabiashara wanaotaka mitaji mikubwa ya biashara na wenye historia au uzoefu wa biashara na asset kwa ajili ya dhamana.
Wasiliana nasi kwa email humble2080@gmail.com
"Sisi kama consultancy"!!!???Hapana, hatutoi ushauri namna ya kutumia bali tunatoa ushauri namna ya kupata. Na sisi kama consultancy jukumu letu ni ushauri tu, ila ndani ya ushauri kuna kila kitu including hizo connection unazosema.
Ndio, wanatoa kuanzia usd 1m ambayo ni sawa na 2.7b.Huu mtaji mmh! 2.7B ?
Sina uhitaji wa hii pesa, na wewe kama huhitaji kaa pembeni.Yaan wewe umshauri mtu akskope 1 b alafu ktk hiyo akulipe ww, why usikope ww hiyo hela
Asante kwa kunirekebisha kingereza, lengo lilikuwa kuitaja consultancy firm, anyway its okay."Sisi kama consultancy"!!!???
Wabongo kwa broken English ni kama uji na mgonjwa!
Usahihi ni kusema ,Sisi kama consultants!
Jifunze tofauti kati ya verbs na nouns!
Tunavyo vyote hivyo, ila sio lazima kuweka hapa. Mwenye uhitaji atakuja, asiye na uhitaji basi afanye mambo mengine.Huna official email yenye domain ya kampuni yako, je uko serious?
Unataka kujua mtaji wetu ili iweje? Maswali ya kipuuzi kama haya sijibu.Nyie mna mtaji kiasi gani?
Leo ndio umeanza kujiita bizplan , very funnyTunavyo vyote hivyo, ila sio lazima kuweka hapa. Mwenye uhitaji atakuja, asiye na uhitaji basi afanye mambo mengine.
Kampuni yenu haina jina?Ni kampuni, tunatoa ushauri, ila ni kwa wanaotaka mitaji mikubwa ya mikopo tu.