Kwamba hapo mwanzo binadamu waliamua kujenga jengo kubwa na refu katika mji ule na kilele chake ni kifike mbinguni.
Kwamba Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyewachanganyia lugha watu hao, wakashindwa kuelewana na baadae walilazimika kuachana na mradi huo.
Nawasilisha🙏
Hii ni kwa mujibu wako. Kauli tu bila vithibitisho vya maana ni pumba tupu.Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Biblia na maandiko yote ya kidini ni sawa na Hekaya za Abunuwasi, riwaya za Alfu Lela ulela, vitabu vya hadithi za kusadikika kama mbuzi anasoma, pepo za mizimu.View attachment 2943702View attachment 2943703View attachment 2943701
Na wewe leta uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu sio kauli tu za kwenye biblia.Hii ni kwa mujibu wako. Kauli tu bila vithibitisho vya maana ni pumba tupu.
Hadithi ya mnara ni upuuzi,Kwamba hapo mwanzo binadamu waliamua kujenga jengo kubwa na refu katika mji ule na kilele chake ni kifike mbinguni.
Kwamba Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyewachanganyia lugha watu hao, wakashindwa kuelewana na baadae walilazimika kuachana na mradi huo.
Nawasilisha🙏
Kwahiyo Mungu aliogopa kwamba asipowachanganya lugha huo mnara utamfikia mbinguni?Kwamba hapo mwanzo binadamu waliamua kujenga jengo kubwa na refu katika mji ule na kilele chake ni kifike mbinguni.
Kwamba Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyewachanganyia lugha watu hao, wakashindwa kuelewana na baadae walilazimika kuachana na mradi huo.
Nawasilisha🙏
Niliwahi kukuuliza kwenye ule uzi wa Israeli vs Palestina iwapo unaamini kuna UWEZEKANO wa uwepo wa Mungu, ukasema Ndiyo.Na wewe leta uthibitisho wa uwepo wa huyo Mungu sio kauli tu za kwenye biblia.
Otherwise wewe na hiyo biblia yako ni pumba tupu.
Nashawishika kudhani kwamba maana ya uongo kwako ni kitu chochote usichojua au kilicho nje ya upeo wa uelewa wako.Ni uongo mkuu, hakuna mbingu angani.
Hiyo ndiyo maana halisi ya ule msemo kwamba Mungu asemapo siyo, hakuna yeyote wa kupingana Naye.Kwani walishindwa kutumia sign language na kuendeleza libeneke ? Yaani wana technology ya kutengeneza skyscrapers bila technology ya steel kama ya sasa wanashindwa kutumia sign language ?
Kwahio walishindwa kujenga mnara sababu ya communication lakini wakaweza kuendelea na issue nyingine za kimaisha
Eti Mungu anatumia USA kukamilisha maneno yake, hizi ni chai, kikubwa ni kuamini tu ilimradi siku zisonge.Hiyo ndiyo maana halisi ya ule msemo kwamba Mungu asemapo siyo, hakuna yeyote wa kupingana Naye.
Wakati wa vita vya pili vya dunia, Adolf Hilter alikuwa amekusudia kuwa mfalme wa dunia nzima.
Lakini alishindwa vibaya sana licha ya kuwa na jeshi imara, lenye ari na silaha madhubuti na za kisasa wakati huo.
Kwa nini? Kwa sababu Mungu alikuwa ameshatabiri kwamba himaya kubwa ya dunia baada ya Dola ya Rumi ingekuwa Marekani chini ya hisani ya upapa.
Hata China au Urusi tunayoiona leo ikielekea kama kuipiku Marekani, wote hao hawataweza kamwe kushinda.
Wataishia kuunda silaha nzito, za kutisha ambazo hazijawahi kuwepo ulimwenguni, lakini mwisho wa siku watatokomea kwa fedheha kama Adolf Hitler.
Marekani atabaki kuwa kinara ili kutimiza unabii pamoja na hisani wake Mvatikano.
Marekani yupo kutekeleza mpango wa Mungu kwa mema au kwa mabaya hadi mwisho wa wakati.
Mkuu, namna yako ya kuisoma Biblia ni ya mashaka sana.Hadithi ya mnara ni upuuzi,
Imagine Mungu mjuzi wa yote alipelekewa taarifa kwamba watu wanajenga mnara wakufikie ndio akastuka.
Swali kuu ni kwamba, je mnara huo ulifikia urefu gani kiasi cha kutaka kufikia mbinguni kwa huyo jamaa,
Nauliza hivi kwamaana tunashuhudia rockets na ndege zikiruka kwa kimo kirefu na kwa hali ya kawaida tu mnara huo usingeweza hata kufikia kimo cha ndege.
Wagonjwa wa psychology tu ndio wanaweza kuichukulia hadithi hii kama ukweli.!!