Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kwa hiyo unajipinga mwenyewe ama umebadili msimamo wako?Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Nachukulia haya maelezo yako kwamba umekubali; upo uwezekano huo wa kujenga mnara hadi angani.Angani mpaka wapi?
Anga ni kubwa sana. Kuna layers nyingi sana.
Kujenga mnara mrefu kwenda juu angani mpaka layer ya Exosphere Haiwezekani.
Hoja mkataa (dismissive arguments) kama hizi hazisaidii kitu. Mara nyingi ni kauli za waishiwa-hoja.Brainwashed
^Hard evidence^? Define hard evidence.Do you have any evidence kuwa Bible au quran ni kitabu cha Mungu?
Unahitaji ushahidi, wakati huohuo unachagua utoke au usitoke wapi?Usinipe story za Roho Mtakatifu, nipe hard evidence out of Bible kuwa ni kitabu cha Muumba!
Kwahio hii mipango ni ya kumfurahisha nani ? Wengine wateseke, Wengine wafe, Watu wanafanywa watumwa, Wanabakwa sababu Mungu alisema / amesema ndio ? For whose benefit ?Hiyo ndiyo maana halisi ya ule msemo kwamba Mungu asemapo siyo, hakuna yeyote wa kupingana Naye.
Wakati wa vita vya pili vya dunia, Adolf Hilter alikuwa amekusudia kuwa mfalme wa dunia nzima.
Lakini alishindwa vibaya sana licha ya kuwa na jeshi imara, lenye ari na silaha madhubuti na za kisasa wakati huo.
Kwa nini? Kwa sababu Mungu alikuwa ameshatabiri kwamba himaya kubwa ya dunia baada ya Dola ya Rumi ingekuwa Marekani chini ya hisani ya upapa.
Hata China au Urusi tunayoiona leo ikielekea kama kuipiku Marekani, wote hao hawataweza kamwe kushinda.
Wataishia kuunda silaha nzito, za kutisha ambazo hazijawahi kuwepo ulimwenguni, lakini mwisho wa siku watatokomea kwa fedheha kama Adolf Hitler.
Marekani atabaki kuwa kinara ili kutimiza unabii pamoja na hisani wake Mvatikano.
Marekani yupo kuutekeleza mpango wa Mungu kwa mema au kwa mabaya hadi mwisho wa wakati.
Na anafanya hivyo vizuri sana ama anajua au hajui.
Mungu asemapo Ndiyo, hakuna mwanadamu wa kumpinga!
RomanNami nikuulize swali?
Biblia inaposema kwamba utawala fulani wa dunia utainuka na kufanya mambo kadha wa kadha bila kuutaja jina lake (rejea Ufunuo 13, kwa mfano), unadhani tunapaswa kuutambuaje???
Maarifa yapi kwenye biblia,Mkuu, namna yako ya kuisoma Biblia ni ya mashaka sana.
Hebu nukuu andiko lako ili watu wakusaidie kufafanua; vinginevyo utaendelea na ujinga wako katikati ya bahari ya maarifa.
Kwani mbinguni ni wapi kama siyo hapo kwenye mawingu?Hakuna sayansi inayopinga dhana fulani bila kuwa na uthibitisho wake kamili.
Sayansi ingesema hakuna mbingu, maana yake ni kwamba imefanya utafiti wake na kujiridhisha hivyo.
BTW sayansi ya kweli inaafikiana na kile isemacho maandiko, kwa vile sayansi na maandiko vyote vyatoka kwa Mungu.
Uropokaji wa kupinga jambo kwa vile tu hukubaliani nalo au liko nje ya mawanda ya uelewa wako, siyo sayansi bali ulaghai wa kishamba.
Vilevile kukana na kupinga jambo fulani usilolipenda kwa kutarajia kwamba kwa kufanya hivyo litatoweka, ndio upumbavu wenyewe wa kimakusudi.
Umesema wewe ^kusema uongo ni haki^ yako. Lakini kwa bahati mbaya sana hatuko hapa kumeza uongo wako.
Hapa Kiranga anaweza kukupa maswali counter ukakimbia kabisaMkuu, unadhani haiwezekani au haipo kihistoria?
Je, unaamini kwamba Nuhu alijenga safina iliyotumika kuwahifadhi watu 8 dhidi ya Gharika?
Je, unaamini kwamba enzi ya Nuhu kabla ya Gharika ulimwengu ulikuwa na mabilioni ya watu, tena wenye akili ndefu (in Manara's voice) na teknolojia bora mno?
Je, unaamini kwamba Adamu na Hawa ndio wazazi wetu wa kwanza?
Je, unaamini kwamba Mungu aliumba mbingu na nchi, na kwa muda wa siku sita akaratibu mazingira yake na kuwahuluku viumbe hai?
Je, unaamini kwamba Mungu yupo?
Sijui unanielewa???
Huwezi kutumia biblia ama quran kuthibitisha kuwa vimeandikwa na Mungu huyo!!Hoja mkataa (dismissive arguments) kama hizi hazisaidii kitu. Mara nyingi ni kauli za waishiwa-hoja.
Nashangaa kwa nini msomi kama wewe hujagundua hilo.
Kama huna hoja kinzani, ukimya ni jambo la busara sana.
^Hard evidence^? Define hard evidence.
Je, ni uthibitisho unaoweza kuuamini wewe, ama ni ule ambao upo kihalisia?
Kwa sababu uwepo wa vithibitisho na kuviamini, ni mambo mawili tofauti kabisa.
Unahitaji ushahidi, wakati huohuo unachagua utoke au usitoke wapi?
Maana yake umejaa nahaba (bias) hata kabla ya kuuona ushahidi wenyewe?
Pili, unahitaji vithibitisho kutoka nje ya Biblia na wala siyo ndani yake.
Huoni kwamba tayari umeshajichagulia nini cha kuamini na nini usiamini?
Kwa nini uwaamini waandishi nje ya Biblia, ilhali walioiandika Biblia unawaona hawafai?
Kwa nini ushahidi wote usitathminiwe kwenye uwanja na mawanda sawia?
Simply put, you can never be a scientist -- may be nominal one.
Je? Unaamini pyramid zilijengwa na wanadamu?Kwamba hapo mwanzo binadamu waliamua kujenga jengo kubwa na refu katika mji ule na kilele chake ni kifike mbinguni.
Kwamba Mpango huu haukumpendeza Mungu aliyewachanganyia lugha watu hao, wakashindwa kuelewana na baadae walilazimika kuachana na mradi huo.
Nawasilisha🙏
Hakuna sehemu nilisema hivyo.Kwa hiyo unajipinga mwenyewe ama umebadili msimamo wako?
Nakwambia hivi Haiwezekani kujenga mnara mrefu kwenda juu angani mpaka layer ya Exosphere.Nachukulia haya maelezo yako kwamba umekubali; upo uwezekano huo wa kujenga mnara hadi angani.
Kisayansi, hiyo ni hatua muhimu sana katika utafiti.
Mkuu, ni kwa vile hujatulia ukaisoma Biblia vizuri.Sijui ni mimi tuu, ila habari za kwenye biblia haziniingii kabisa akilini achilia mbali kwenda kanisani
Awali uliuliza swali la Biblia, nikakutaka unukuu andiko ulikotoa swali lako, ili ujibiwe.Maarifa yapi kwenye biblia,
Kusoma kwa ufahamu nako unakutilia mashaka!?
Unadhani kunukuu kutabadilisha mchanganuo wa andiko nliokuandikia hapo!?
Unaelewa kitu kinaitwa kusoma kwa ufahamu!?
Hujajibu hoja ya mleta uziMkuu, unadhani haiwezekani au haipo kihistoria?
Je, unaamini kwamba Nuhu alijenga safina iliyotumika kuwahifadhi watu 8 dhidi ya Gharika?
Je, unaamini kwamba enzi ya Nuhu kabla ya Gharika ulimwengu ulikuwa na mabilioni ya watu, tena wenye akili ndefu (in Manara's voice) na teknolojia bora mno?
Je, unaamini kwamba Adamu na Hawa ndio wazazi wetu wa kwanza?
Je, unaamini kwamba Mungu aliumba mbingu na nchi, na kwa muda wa siku sita akaratibu mazingira yake na kuwahuluku viumbe hai?
Je, unaamini kwamba Mungu yupo?
Sijui unanielewa???
Ni kweli.Kwani mbinguni ni wapi kama siyo hapo kwenye mawingu?
Huyo mastermind wako unayemwaminia hana hoja hata kidogo, labda kwako wewe.Hapa Kiranga anaweza kukupa maswali counter ukakimbia kabisa
Je, unanithibitishia kwamba kuna hoja halisi ya uwepo (argument of existence)?Hakuna sehemu nilisema hivyo.
Majibu yako yameshathibitisha kwamba umekubali kuna uwezekano huo (rejea maelezo ya awali).Nakwambia hivi Haiwezekani kujenga mnara mrefu kwenda juu angani mpaka layer ya Exosphere.
Mkuu, sijui kama umegundua kwamba mleta-mada hajauliza swali lolote wala kuomba msaada?Hujajibu hoja ya mleta uzi