Mzee acha kutunga season hapa sijawai kuleta Uzi wa namna hio...labda kama unaongelea ule Uzi wako unaosema kila siku unawashwa nyumahuyu bwana mdogo muelewe tu,alishawahi kuleta uzi humu kuwa anatabia za kike kike!
Mzee acha kutunga season hapa sijawai kuleta Uzi wa namna hio...labda kama unaongelea ule Uzi wako unaosema kila siku unawashwa nyuma
Sijawai kutafuta marafiki wa moshi au dar..nahisi unachanganya matangosi wewe ulileta uzi unatafuta marafiki wa moshi?si wewe ukaja na uzi upo lonely unatafuta marafiki wa dar??si wewe ulikuja na uzi unataka dem wa kwenda nae tour?hizo nyuzi zimefutwa ila nakumbuka vizuri id yako na nyuzi zako!!
ulisema madem weng wanakwambia unatabia za kike kike na ukaomba msaada tukusaidie kukushauri leo hii unaruka?ama kwa hakika bado tatizo unalo
Rafiki una shimo?Aisee show mbovu zipo. Kuna hiyo show ilivoisha nikajiuliza sasa hii dhambi ya uzinzi nimeipata bure tu hata sijafaidi kitu. jamaa alinichosha halafu hamna kitu. Nilijuta kujiongezea body count kwa show ya kijinga ya yule mwarabu. Pumzi hana, kibamia alafu mfupi.
Tulikamatwa usiku baa na polisi,nimepanda kwenye defender naona pisi Kali inapanda,nikaimbisha palepale tukaenda hadi central na kesho yake nikafanya mchakato wa kutoka pamoja na yeye maana nlimwambia aliyekuja kunitoa kuwa nilikua na demu wangu ndani.
Baada ya Siku kadhaa nikamualika lodge,MWe! Mzigo ukagoma kuamka kabisa, jitahidi lkn WAP! Vita hisia zote mixer romance hata mzigo kushtuka tu,Hamna kitu.nikasikia tu tutaonana Siku nyingine,hadi leo anavisingizio kibao nikimwita na nimempotezea, sijawahi kupatwa vile!
Umri wangu huu nikikutana na show mbovu nakuzaba makofi.
Hii inanikuta hata mimi tena kibaya zaid imekuja kwa wife, mwanzo nilikuwa napiga show kali ila siku hizi hamna kitu kabisa ila ninakamchepuko huwa nikikapga show huwa kanashibdwa hata kuamka maana naunganishia
Kuna nini mpenzi
Wapi tena babyUnatuchanganya sasa. Chagua moja
Kabisa mkuu..ishu ya shoo mbovu hakuna mwanume ambaye ajapitia ila wengi kwa kuona aibu huwa tunajidai kuwa haijawahi kuwatokea
Kwan wewe hasa ulevi wako ni nini?Ivi watu mnanyonyaje papuchi? aise tunatofautiana
Mi sio mtumiaji wa pombe nadhan ushaelewa.....hata iyo kitu siez nyonya mkuu..[emoji23][emoji23]hapana kabisaKwan wewe hasa ulevi wako ni nini?
Huenda huo ulevi ulionao ukiusena wengine wataona unawezaje kuwa mlevi wa hicho? Watakushangaa kama unavowashangaa wewe!