nyangumi jr, Pole baharia,
Mi ilishawahi kunitokea, enzi hizo niko chuo mwaka wa pili, nilkuwa nawasiliana na deti flan kipindi hicho alikuwa ndo anaingia cha6 simjui wala nini,( nilipewa namba tu na rafiki yake).
Bas mawasiliano yakazid kupamba moto, yule dem alikuwa na saut tamu balaa na mara nyingi demu mwenye sauti nzuri hata sura huwa ni wazuri pia,
Siku zikaenda, miezi ikakatika mara gradu ukafika wakafanya fresh tu na pepa pia wakapiga, walipomaliza harakat ndo zikaanza sasa, tukaelewana ile anatoka shule kwenda kwao bas apite tuonane the asepe.
Kweli safari ikawadia nikamtumia nauli na kweli demu akapanda mchuma kuja, aisee siku hiyo sikwenda hata kwenye kipindi, mida ya jion by saa kumi na mbili hivi bas likafika stendi hapo m nipo maana nikienda kumpokea.
Aiseee asikwambie mtu yan nilitegeshea abiria wote wakashuka, nikapiga ili nione anapokea yupi, demu akapokea buana nikamuona kabla hajaniona ilikuwa pisi moja matata, mtoto white mzuri kila kona yani.
Bas nikajitokeza akaniona tukapanda usafir had geto. Sijui kilinitokea nn aisee yan hamu ilikata gafla tu sikuwa hata na mzuka wa kumgegeda, tukala fresh tu na tukalala yani usiku huo nilipiga shoo MBOVU sijawahi kuona demu alichukia mno nikaanza kujitetea demu hata haelewi yan alilalamika had akaanza kulia.
Nilijitahdi mno wapi, aisee kesho yake asbuh sana nikampa nauli tu aendelee na safari yake na mawasiliano yakakatika toka siku hiyo.
Siku hizi huwa namuona tu mitandaoni yan alishakuwa mzuri mno hasa alipoenda chuo.
Kikubwa nikaja kugundua n hivi papuchi huwa haikamiwi, ukiikamia lazima tu ucheze shoo mbovu.