Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu
 
Sio kutoka tu sometimes roho hufanya time traveling... Spiritual time traveling.

Ndio maana unaweza kufika sehemu for the first time ukawa unahisi sio mara yako ya kwanza. The truth ni kua roho yako ilianza kufika kabla ya physical body yako.

Ps. Miili yetu hua nalimit uwezo wa roho zetu.
 
Sio kutoka tu sometimes roho hufanya time traveling... Spiritual time traveling...
Swadakta mkuu ni kweli kabisa

Kuna siku moja nilishtuka usiku na kujiona mwepesi sana na kwakuwa nishayajua hayo mambo basi nikatulia kimya kabisa bila kujitingisha hata kidogo nikaona naelea na kwenda sehemu nyingine kabisa.
 
Swadakta mkuu ni kweli kabisa

Kuna siku moja nilishtuka usiku na kujiona mwepesi Sana na kwakuwa nishayajua hayo mambo basi nikatulia kimya kabisa Bila kujitingisha hata kidogo nikaona naelea na kwenda sehemu nyingine kabisa
Sir, but sometimes it's just your brain playing with your tune! Meaning that you're just hallucinating and your Brain complying to show what you wanna see mental Illusion projection. Be careful.
Unaweza kuota upo na Mungu kabisa kumbe ni ubongo unafuata fikra zako.!
 
Sir, but sometimes it's just your brain playing with your tune! Meaning that you're just hallucinating and your Brain complying to show what you wanna see
Mental Illusion projection...Be careful.
Unaweza kuota upo na Mungu kabisa kumbe ni ubongo unafuata fikra zako.!
Na kuna Ile unaweza kulala chali ukafake ubongo wako ujue kama umelala halafu unaanza hisi ganzi miguuni inapanda kuja mdogo mdogo nasikia ukikomaa Bila kuogopa unajikuta unatoka ndani ya mwili
 
Na kuna Ile unaweza kulala chali ukafake ubongo wako ujue kama umelala halafu unaanza hisi ganzi miguuni inapanda kuja mdogo mdogo nasikia ukikomaa Bila kuogopa unajikuta unatoka ndani ya mwili
Soma zaidi...hapa
 
Sio kutoka tu sometimes roho hufanya time traveling... Spiritual time traveling.
Ndio maana unaweza kufika sehemu for the first time ukawa unahisi sio mara yako ya kwanza. The truth ni kua roho yako ilianza kufika kabla ya physical body yako.

Ps. Miili yetu hua nalimit uwezo wa roho zetu...
Ni kweli wakati mwingine jambo linatendeka unahisi kama lile jambo lilishatokea...
 
Sio kutoka tu sometimes roho hufanya time traveling... Spiritual time traveling.
Ndio maana unaweza kufika sehemu for the first time ukawa unahisi sio mara yako ya kwanza. The truth ni kua roho yako ilianza kufika kabla ya physical body yako.

Ps. Miili yetu hua nalimit uwezo wa roho zetu...
mi jana roho yangu ilikuwa Ujerumani kabisa yani kuna mitaa nimezurula kinoma kule
 
Ni kweli kabisa. Mimi huwa na experience sana hili jambo. Kuna siku nime experience msiba wa kiongozi mmoja mara thelathini miaka miwili kabla ya kifo chake, mara nipo barabarani msafara wa magari unapita kwenda kumzika, mara tupo makaburini tunamzika.

Pia kuna siku nimeona nipo ndani ya gari na Rais fulani na mabodi guard wake kwenye gari, mbeleni dereva ni kama akapewa taarifa ya siri kupitia simu akapiga uturn gari porini na kurudi tulipotoka wala Rais hakushtuka ila mimi nikashtuka.
 
Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu
Una jaribu kui emergine
 
Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu

Hatua za awali za kuwa mchawi, kataa hivo vibuyu.
 
Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu
Inatoka kwenda wapi?
 
Umenifanye nifungulie mawingu nisikize mawaidha, uislam ndani ya jamii 🌚🌚🌚, huwa nafurahia.
Ila hii ni chai, yule anayedanja akiwa fresh tu, yaani anadondoka na kukata moto hapo hapo yeye roho yake vipi.

Soul is mortal.
 
Back
Top Bottom