Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Je, unajua kuwa Roho huwa ina kawaida ya kutoka tulalapo?

Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu
"Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo."


Kwahiyo umeamua kuleta story za uongo hapa....
Kama hakuna ajuaye....wewe umejuaje..?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hivi umeshawahi lala usiku halafu ukajikuta kama unaota hivi lakini fahamu zako zinakuonyesha kabisa upo macho na unajiona mwepesi Sana pasipo kawaida na saa nyingine huenda ukahisi kama upo hewani hivi

Au

Unaweza kwenda sehemu Fulani ambayo hujawahi fika lakini kuna kumbukumbu Fulani inakujia kana kwamba hiyo sehemu unaijua au ushawahi fika hivi.

Kifupi ni kwamba roho zetu huwa zinatoka katika viwili viwili vyetu na kwenda kupiga misele sehemu mbali mbali na mara nyingine hukutana na roho nyingine za ndugu zetu,ndio maana utasikia mtu atakwambia Jana nilimuota babu ananiambia moja mbili tatu na mara nyingi watu hao walikuwa Wacha Mungu.

Anyways sasa ni hivi, Kwa kawaida tunapo lala basi roho zetu huenda Kwa Mwenyezi Mungu kila siku ya Maisha yetu hapa duniani,sasa huenda zinaporudi ndio hukutana na roho nyingine na kukutana na matukio mbali mbali.

Kwa mujibu wa Qur'an inasema hivi Mwenyezi Mungu huzipokea roho zinazo kufa Kwa maana roho ambazo watu wameaga dunia,na roho ambazo watu wanakuwa wamelala,zile roho ambazo Mda wa kufa umefika huzizua na kubaki nazo,ndio hapa utasikia Fulani bwana kafa usingizini ujue roho yake haikurudi tena usiku huo na wale ambao mdao WA kufa bado basi Mwenyezi Mungu huziachia zile na kurudi katika miili yetu.

"MWENYEZI MUNGU huzipokea roho zinapo kufa. Na zile zisio kufa wakati wa kulala kwake, huzishika zilizo hukumiwa kufa, na huzirudisha nyengine mpaka ufike wakati uliowekwa. Hakika katika hayo bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao fikiri."
Azzumar : 42

Hayo ndio mambo ya Mwenyezi Mungu hakika mambo yake hakuna ayajuaye na hufanya katika namna atakavyo.

Ndio maana inatakiwa usiku Tulalapo basi tuombe msamaha na kuomba toba Kwa makosa yetu tuliyo fanya kutwa nzima kwani hatujui kama kesho tutaamka salama au laa!

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
Msonjo
adriz
Nurain
Akhi
baby zu
Uthibitisho please
 
Mkuu sio kila kitu lazima ubishane, kama huamini si unaacha tu? kwani wewe umejuaje kama una akili umewahi kuiona?.
Akili haionekani na huwezi kugusa.

Imetolewa utafanuzi wa kueleweka.

Na tukapata kujua kuwa huyu anazo akili na yule hana akili, kutokana tafsiri ya neno akili.
Amini nakwambia, hata baada ya miaka million 1 ijayo , bado ulichokisema kitakuwa story, tena za kitoto.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Aisee Kama inakutokea Mara kwa Mara ujue Yule jamaa mtoa roho anakuja kuulizia chake ,Kama una Pesa benki gawa zote (😂😂just kidding),,jamaa anaitaka roho yako


Jamaa gani huyo mtoa roho?!!--anahusikanaje na matukio hayo??!!, nimemkosea nini hadi aje kutoa roho yangu??!
 
Huyo Ni malaika mtoa roho za viumbe


Haitwi ISrail bali anaitwa IZraili, kumbuka Israil/Israel ni jina la nchi. Halafu yeye huwa hatoi roho bali huwa anachukua roho na kuzipeleka panapohusika.

Msikie Isack Newton anasemaje juu ya kifo; "Namshangaa mtu anaogopa kifo kitu ambacho ni lazima kimkute". Sasa wewe huna haja ya kuogopa kifo isipokuwa unatakiwa siku zote ujiandae juu ya kifo.
 
Haitwi ISrail bali anaitwa IZraili, kumbuka Israil/Israel ni jina la nchi. Halafu yeye huwa hatoi roho bali huwa anachukua roho na kuzipeleka panapohusika.

Msikie Isack Newton anasemaje juu ya kifo; "Namshangaa mtu anaogopa kifo kitu ambacho ni lazima kimkute". Sasa wewe huna haja ya kuogopa kifo isipokuwa unatakiwa siku zote ujiandae juu ya kifo.
Sahihi kabisa
 
Ulishawahi kufa....?
Umejuaje hayo yote....au umeyapata kwenye vile vitabu vya story zisizo na ushahidi..

Acha uongo..

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wasomi wa bongo mna matatizo sana, there's some sort of clouds in your brain, sometimes you need to understand rather than argue especially when you deal with spiritual matters.

Kamwe hautaweza ku-prove mambo yakiroho kwa kutumia logic kwa maana ni vitu ambavyo hatuvioni kwa jicho la kawaida, na wala hatuwezi kuvishika, hivyo mambo ya kiroho yapo illogically they can't be proven scientifically

Ndio maana vijana wanaishika dini vizuri kipindi wakiwa wadogo ila wakishafika vyuo wakisoma philosophy kidogo na wakikutana wa wapumbavu wenzao waliokariri kila kitu ni cha ku-prove basi wanapotea kabisa na wanaaza hata kudharau dini zao maana hawaoni any prove or logic about God existence
 
Wasomi wa bongo mna matatizo sana, there's some sort of clouds in your brain, sometimes you need to understand rather than argue especially when you deal with spiritual matters.

Kamwe hautaweza ku-prove mambo yakiroho kwa kutumia logic kwa maana ni vitu ambavyo hatuvioni kwa jicho la kawaida, na wala hatuwezi kuvishika, hivyo mambo ya kiroho yapo illogically they can't be proven scientifically

Ndio maana vijana wanaishika dini vizuri kipindi wakiwa wadogo ila wakishafika vyuo wakisoma philosophy kidogo na wakikutana wa wapumbavu wenzao waliokariri kila kitu ni cha ku-prove basi wanapotea kabisa na wanaaza hata kudharau dini zao maana hawaoni any prove or logic about God existence



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Good....

Kama huwezi thibitisha , kwa nini unataka tuamini.

Achana na vitu ambavyo havina uhakika, unapoteza muda tu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom