Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Nini afrika mashariki? Mbona hukusema ilikuwa wapewe eneo huko amerika kusini? We mwenyewe unaandika huku unaonekana wazi una chuki na wayahudi kutokana na dini unayoiabudu, we ni muislam maana waislam wana chuki kubwa na wayahudi. Unachokiandika tunakijua na tumekisoma sana na hatuachi kuitakia baraka israel pia hatuna chuki na wapalestina
Mpango wa kuwahamishia Jews kutoka uko ulaya ulikuwa ni maeneo mawili. Africa Mashariki na Madagascar. Ila viongozi wa africa tulipinga hilo na mpango ukafeli. Tumshukuru sana Gaddafi akishirikiana na idd amini kuupinga mpango Huo

Hao wa israel walioko hapo Mashariki ya Kati ni fakes unaijua hii FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)???
 
Hawajui history zaidi kuamini Maandiko kwenye bibilia " ukiibariki israel nawe utabarikiwa"
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo ISRAEL angepata hiyo ardhi Apo uganda ingekuwaje mpaka sasa. KWA hali tunayoiyona KWA Ndugu zetu PALESTINE kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. JE tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa PALESTINE je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa ISRAEL

Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili (Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6. FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

8. Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

13. UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)

15. Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

View attachment 2814732
Umeandika kichuki na mizuka ya kidini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
kwani hapa tanzagiza hali ikoje sasa hadi uongelee uganda/palestina? Wamasai wamefukuzwa kwenye ardhi yao asili kupisha foreigners, bandari, misitu, wanyama vyote foreigners wanabeba, na hawaja fire not a single shot, hata wajukuu zetu watakuwa kama wapalestina pia or worse.

hivyo angalia ndani ya mipaka yako kwanza, watanzagiza ni watumwa kwenye ardhi yao hata kama hawataki kuamini, you dont own anything hapa tanzagiza, uchumi >85% uko chini ya wahindi na waarabu, mashirika yetu pia yako tayari kuuzwa tanesco, ttcl are next …
Kwani Wapelestina Ardhi yao wameuza kama sisi tulivyouza Ngorongoro na kufukuza wamasai.
Historia ina sema palestine kapokonywa ardhi kimabavu na kisha kuuwawa kikatili na hao wazayuni fakes na ulikuwa ni mpango wa wazungu kutawala Mashariki ya Kati. Unaposema tuuache kutetea Ndugu zetu Wapelestina maana yake unafurahia dhulma, mauwaji ya kikatili ya watoto uko palestine, unafurahia nyumba za watu kubomolewa, watu kuuwa na wengine kupewa kilema cha Maisha??? Unafurahia hayo??? Dunia nzima imesisima na palestine kupinga uvamizi mimi ni nani nisisimae na palestine.

Hapa Tanzania matatizo tunajitakia wenyewe
 
Pale Jerusalem ndio kwao rasta uku kwingine wangekuja kutafuta kupigwa tu juju Bure,
JIBU maswali hapo juu kuhalilisha Israel ardhi yao ya nyumbani ni hapo Mashariki ya Kati. Na sio kuleta porojo za dini wakati history ya jews hujui
 
Sipati picha Ingelikua ndio makazi yao east afrika
Tungeuwawa kama wanavyouwawa Wapelestina sizani kama kuna mtu ataendelea kulishobokea hili taifa la israel maana hawajui kadhia wanayoipata Wapelestina kwenye ardhi yao. Yangetufikia sisi nadhani akili ingewakaa sawa wayahudi wa kwa mtogole
 
Sasa wewe mambo ya huko yanakuhusu nini wakati huku nyanya na dagaa zimepanda bei sokoni. Pia wafanyakazi wa TANESCO wanaamka asubuhi wanaaga nyumbani kwenda kazini kwa ajili ya kukata umeme na DAWASA hivyo hivyo kukata maji wakati tuliambiwa mito na mabwaya vimekauka lakini sasa mvua zinanyesha na mafuriko juu lakini bado wanakata umeme na maji.
 
NAKUMBUSHA TU, KUNA VITA KALI SANA SUDAN SASA HIVI.
NAKUMBUSHA ZAIDI SUDANI NI MWANACHAMA WA EAST AFRICAN COMMUNITY TANGU 2016.
KUTOKA TANZANIA MPAKA SUDAN KUNA UMBALI WA KM 2000 HIVI.
KUTOKA TANZANIA KWENDA ISRAEL KUNA UMBALI WA KM 5000 HIVI.

EBU TWENDE NA HAYA YA HUKU KWETU, EAST AFRICA COMMUNITY.
TUACHANE NA HAYA YA HUKO KWAO.
Dunia nzima inasimama na Wapelestina kupinga dhulma ya hawa fakes jews mimi ni nani nisisimae na palestine.
 
Akina Daudi, Musa, n. K. Hawakuzikwa huku, hivyo Wayahudi wanaishi walikozikwa mababu zao na hamna kenge inaweza kubadilisha hilo, Mungu wao ni mkuu kuzidi wenu, kila wakipambanishwa wa kwenu hutoka nduki.
Unaleta chuki za kidini bila kujibu maswali Apo juu. Ati atakaibariki israel naya atabarikiwa. Hivi mnaowabariki mnaijuwa historia yao vizuri au umelishwa viaasili vya Dini.
 
Nini afrika mashariki? Mbona hukusema ilikuwa wapewe eneo huko amerika kusini? We mwenyewe unaandika huku unaonekana wazi una chuki na wayahudi kutokana na dini unayoiabudu, we ni muislam maana waislam wana chuki kubwa na wayahudi. Unachokiandika tunakijua na tumekisoma sana na hatuachi kuitakia baraka israel pia hatuna chuki na wapalestina
unachuki na palestina na ndio maana umesema unaitakia baraka istael
 
JIBU maswali happy juu kuhalilisha Israel ardhi yao ya nyumbani ni hapo Mashariki ya Kati. Na sio kuleta porojo za dini wakati history ya jews hujui
Vitabu vyenu vyenyewe vya dini vinatambua kwamba hio ni aridhi wa mayahudi ila kwa vile mnakaza fuvu kwamba Yesu alikua muislamu suleman alikua mslamu nk inakua vigumu kuelewana
 
Vitabu vyenu vyenyewe vya dini vinatambua kwamba hio ni aridhi wa mayahudi ila kwa vile mnakaza fuvu kwamba Yesu alikua muislamu suleman alikua mslamu nk inakua vigumu kuelewana
unaijua hii Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)???

Na hii pia unajua Historia ya Zionism movement na tabia zake???

JIBU swali usilete porojo
 
Mpango wa kuwahamishia Jews kutoka uko ulaya ulikuwa ni maeneo mawili. Africa Mashariki na Madagascar. Ila viongozi wa africa tulipinga hilo na mpango ukafeli. Tumshukuru sana Gaddafi akishirikiana na idd amini kuupinga mpango Huo

Hao wa israel walioko hapo Mashariki ya Kati ni fakes unaijua hii FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)???
We ni muongo sana israel inapata uhuru mwaka 1948 idd amin au gadaffi hakuna aliyekua rais uganda na libaya yalikua ni makoloni sasa unasemaje walipinga israel isiwe nchi kama sio uongo wa waziwazi

Iddi anapata urais 1971 tayari isreali ilishapata uhuru kitambo sana, harakai za wayahudi ziliaanza miaka ya 1990's mwanzon ambapo gadafi na id amini hawakua wamezaliwa
 
Akina Daudi, Musa, n. K. Hawakuzikwa huku, hivyo Wayahudi wanaishi walikozikwa mababu zao na hamna kenge inaweza kubadilisha hilo, Mungu wao ni mkuu kuzidi wenu, kila wakipambanishwa wa kwenu hutoka nduki.
Acha mawazo ya kidini JIBU maswali haya

UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo??
 
Back
Top Bottom