Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Huna hata swali unalojiuwa hapo unaanza kuleta chuki. Ndio maana mnaambiwaga mnaangamia KWA kukosa maarifa
 
Hapo umeongea point, ila sisi tukisema wale ni wavamizi hawapaswi kwendelea kubaki pale tunaonekana wapumbavu

Wavamizi kivipi wakati ile ni ardhi yao tangu enzi na enzi. Mpalestina alikua amepangishwa kwa muda tu sasa mwenye nyumba amerudi kuchukua chake
 
Israel wa Bwana,ubarikiwe na usishi milele,kila akuchukiae na asipate mafanikio na kila akubarikie mahali penye manono ya nchi itakuwa fungu lake.
 
Dunia nzima inasimama na Wapelestina kupinga dhulma ya hawa fakes jews mimi ni nani nisisimae na palestine.
Dunia nzima?
Naomba nitoe mimi kwenye hesabu zako.
Kumbukumbu zinaonyesha tangu 2008 mpaka sasa ni wapalestina 6000 wamekufa kutokana na machafuko.
Wakati tangu 2008 mpaka sasa wakongo million 5 wamekufa kutokana na machafuko.
MIMI NI NANI WA KUSIMAMA NA WAPALESTINA? HATA KAMA DUNIA IKO UPANDE WAO!
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo ISRAEL angepata hiyo ardhi Apo uganda ingekuwaje mpaka sasa. KWA hali tunayoiyona KWA Ndugu zetu PALESTINE kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. JE tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa PALESTINE je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa ISRAEL

Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili (Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6. FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

8. Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

13. UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)

15. Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

View attachment 2814732
Hilo jambo la Israel kuwa taifa Africa mashariki lisingewezekana, wayahudi wamerudi pale madhariki ya kati kwa unabii kama ilivyotabiliwa kwenye biblia na Koran, na kama ingetokea wakaja Uganda basi ingekuwa neema na ardhi ya Uganda wasiingeimaliza Kwa population Yao ya milioni 7, Uganda ingekuwa developed country in the world.
 
Dunia nzima?
Naomba nitoe mimi kwenye hesabu zako.
Kumbukumbu zinaonyesha tangu 2008 mpaka sasa ni wapalestina 6000 wamekufa kutokana na machafuko.
Wakati tangu 2008 mpaka sasa wakongo million 5 wamekufa kutokana na machafuko.
MIMI NI NANI WA KUSIMAMA NA WAPALESTINA? HATA KAMA DUNIA IKO UPANDE WAO!
Nenda Paris, German, Uk, USSR, ulaya nzima wamesimama na palestine.
Nenda china, india jordan, misri North Korea, Asia nzima imesisima na palestine.
Njoo Afrika, morocco, egypt, South africa, hata hapa Tanzania wote tunasimama na palestine kupinga uvamizi.
Wewe ni nani Kwani ata usipokuwa upandewa palestine hakuwezi kusababisha wengine tuuache kutetea Ndugu zetu Wapelestina.

Kuhusu kongo na Afrika KWA ujumla matatizo yetu tunajitakia wenyewe hakuna aliyeporwa ardhi na mzungu, na kukaliwa kimabavu, bali ni uchu na ulafi wa madaraka
 
Picha uletewe pia mfalme ama raisi utajiwe. Hivi KWA akili yako unavyoona hayo majengo, airport, madarasa, misikitini, yalijengwa bila kuwepo Kiongozi wa eneo hilo. Changamsha ubongo wako sio kila kitu utafutiwe
Ntajie wafalme wa palestina umeshindwa
Hiyo misikiti walijenga waturuki ambao sio wakazi wa eneo hilo bali walikua wakoloni

Hakuna mfalme wa palestina ndo nikuambie na hakukuwahi nchi inayoitwa palestina bali kulikua na coloby la palestina ambalo lilikua halina mwenyewe
 
Unaleta chuki za kidini bila kujibu maswali Apo juu. Ati atakaibariki israel naya atabarikiwa. Hivi mnaowabariki mnaijuwa historia yao vizuri au umelishwa viaasili vya Dini.

Wayahudi wamekua hapo kabla ya hiyo dini yenu kubuniwa na muarabu, soma historia hata ukiweka mambo ya dini pembeni jielimishe kihistoria, Wayahudi wamekua hapo tangu mababu zako wakiwa maporini kule Congo, sasa umezaliwa juzi unasomeshwa ilmu ya madrassa kuwachukia Wayahudi ambao hata labda haujawahi kukutana na hata mmoja wao maishani mwako.
 
Nenda Paris, German, Uk, USSR, ulaya nzima wamesimama na palestine.
Nenda china, india jordan, misri North Korea, Asia nzima imesisima na palestine.
Njoo Afrika, morocco, egypt, South africa, hata hapa Tanzania wote tunasimama na palestine kupinga uvamizi.
Wewe ni nani Kwani ata usipokuwa upandewa palestine hakuwezi kusababisha wengine tuuache kutetea Ndugu zetu Wapelestina.

Kuhusu kongo na Afrika KWA ujumla matatizo yetu tunajitakia wenyewe hakuna aliyeporwa ardhi na mzungu, na kukaliwa kimabavu, bali ni uchu na ulafi wa madaraka
Acha uongo waziri wa mkuu wa uingereza ana-support israeli
 
Wayahudi wamekua hapo kabla ya hiyo dini yenu kubuniwa na muarabu, soma historia hata ukiweka mambo ya dini pembeni jielimishe kihistoria, Wayahudi wamekua hapo tangu mababu zako wakiwa maporini kule Congo, sasa umezaliwa juzi unasomeshwa ilmu ya madrassa kuwachukia Wayahudi ambao hata labda haujawahi kukutana na hata mmoja maishani mwako.
Nimemuambia antajie marais/wafalme wa palestina waliotawala hilo eneo ameshindwa
 
Israel haiwezi kuwa mahali pengine zaidi ya nchi yao walipo, ni sawasawa na kusema watanzania wahamishiwe Kenya halafu Kenya ibadilike jina kuwa Tanzania, hakunaga kitu kama hicho. Magaidi ya Hamas yalimwaga petroli juu ya moto, acha kuni ziwake.​
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo ISRAEL angepata hiyo ardhi Apo uganda ingekuwaje mpaka sasa. KWA hali tunayoiyona KWA Ndugu zetu PALESTINE kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. JE tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa PALESTINE je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa ISRAEL

Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili (Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6. FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

8. Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

13. UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)

15. Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

View attachment 2814732

Ni Urusi na Marekani ndizo zilikuwa za kwanza kuitambua Israel.
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo ISRAEL angepata hiyo ardhi Apo uganda ingekuwaje mpaka sasa. KWA hali tunayoiyona KWA Ndugu zetu PALESTINE kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. JE tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa PALESTINE je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa ISRAEL

Sasa ninapomuona Mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya Visaasili (Mythology) vya dini Kichwani na moyoni alafu MTU huyo anataka kuleta hoja za KIPUMBAVU za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu

Huwezi kupinga,kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya PALESTINE na ISRAEL Kama hujui kuhusu mambo YAFUATAYO

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la BALFOUR DECLARATION OF 1917..

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state ( Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa israel na TANZANIA ilikuwa miongoni)

6. FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)

7. HISTORIA YA OTTOMAN EMPIRE AND MANDATE PALESTINE CHINI YA muingereza.

8. Nini maana ya "SS EXODUS ? ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11.14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

13. UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo

14. Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)

15. Ni Kwanini MAREKANI ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa Hapo unaweza kutoa hoja lakini Kama umejazwa chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu ISRAEL na PALESTINE ...sanasana utaishia kusema " ATAYEBARIKI ATABALIKIWA ATAKAYELAANI ATALAANIWA " as if Mungu ni Mkabira.

View attachment 2814732

Wewe unadai Israel ni weusi, ila Kuna shehe mmoja anadai Israel asili ni warusi. Huoni Kama mnajitungia tu.
 
Nawasubiri Kwa hamu wanijibu maswali yangu. Maana washalishwa sumu za kiimani hawajui lolote kuhusu historia ya israel zaidi ya kuleta ushabiki wa kindezi

Wewe mwenyewe shabiki wa imani. Halafu vyote ulivyoandika ni uongo. Labda kidogo Hilo la Uganda.
 
Back
Top Bottom