Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Kuna video Fulani iliwahi ona kule Twitterx ya mwarabu Fulani wa saudia.

Anasema wapalestina sio WAARABU

Na kwamba eti tayari kula msosi na muisrael kuliko mpalestina.

Jamaa anadai wapalestina ni wavamizo tu wa hio ardhi . Jamaa katoa hadi evidence View attachment 2816312View attachment 2816313View attachment 2816314View attachment 2816315
Ni evidence gani aliyotoa huyo fala ?
Mpuuzi yoyote anaweza vaa kanzu na kuona akajiita mwarabu na kuongea pumba ili kupotosha watu wenye akili fupi na wasioweza kufikiri na kuchimba mambo kwa kina
 
Wewe ndiye mwenye akili ndogo, unajifanya hujui kiini cha mgogoro wa Mashariki ya kati. Huwezi kukwepa ukweli alafu unajifanya unajadili. Kinachogombewa ni ardhi na maeneo ambayo kwao wao wanayaita maeneo takatifu, sasa ukikwepa kuliongelea hili utakuwa unajadili nini? Wewe ndiye mpumbavu Ila ujijuhi.
Nimekuambia huna ni kweli huna akili
Chanzo cha huo mgogoro ni ardhi ,ardhi ambayo wapalestina wamekaa hapo kwa maelfu ya miaka mpumbavu mmoja wewe
Wapalestina wako hapo maelfu ya miaka ,ni wazawa na wenyeji wa hilo eneo .
Walowezi wamevamia ,kila mtu anajua hilo .
Hatuwezi kutumia Bible kujustify invasion ya kikaburu hapo kwenye hiyo ardhi ,
Wewe bata umekariri vifungu vya biblia bila kuelewa unakuja kubwata hapa .
Wapalestina wanadai ardhi yao ,wewe unasema ni Udini kuna Udini gani hapo ,hiyo ni ardhi yao miaka yote na kila mtu anajua hilo
Isitoshe Wewe kama unatumia biblia kuna anayetumia quran na kuna ambaye anatumia tunguli na kuna asiye amini dini wote wana haki sawa ,mfumo wa justice na sheria ungekuwa unafanya kama mazwazwa kama ninyi mnavyowaza hii dunia kusingekalika
Unless wewe mjinga usiyejielewa
Tumia akili
 
Kwanza sijui kama Israel wangekubali kukaa huku Afrika mashariki wakati sehemu ambayo wanahistoria nayo wanaijua ilipo

Na wangekaa huku nadhani wangetulia maana nikama wamepewa ufadhili sehemu ambayo hawana kumbukumbu nayo yoyote.

Wanagombana na wapalestina sio tu kwasababu ya ardhi Bali wanamaeneo yao muhimu ya kiimani wanayahitaji kutokana na historia yao, Sasa hapa Afrika mashariki historia yao inawaonesha Nini nadhani wangekuwa kama Liberia ama siera Leon kama kipigana wangepigana wenyewe Kwa wenyewe
Na wangekaa huku nadhani wangetulia..........
Mmmmm, anasema nadhani..... Ishi kwa kudhania tu huenda ukafanikiwa.
Kwa maelezo hayo, Afrika tutatawaliwa tena hivi punde..... Tuongezeni madarasa na walimu, maana kitachotusaidia ni elimu tu, vinginevyo tumekwisha. Rais Samia kwenye kujenga Madarasa kaona mbali. Hata pesa ya COVID ilienda kujenga shule. Hongera Rais.
 
Historia inabaki kuwa historia. Ima ivalishwe suti, ima ivalishwe kanzu.

Hii mashariki ya kati tunayoijua leo habari zake nyingi kama sio zote zipo "documented" vizuri sana. Ni historia.

Wazo la kuanzishwa kwa Uzayoni, mipango ya utekelezaji wake, undimilakuwili wa Mwingereza kuhadaa wapalestina ili kutimiza uwepo wa Taifa la Israel, yote yapo documented. Ni historia!

Ama fasiri yako ya historia ni nini?

c.c pasco Mayalla
Nakubaliana nawe asilimia 100 uliyoyaandika. Nilichokisema ni kuwa, kama unataka tujadili historia yao, anzisha uzi mwingine. Tutafika huko na tutajadili.

Lakini topic hii inahusu mapendekezo ya Umoja wa mataifa (UN) juu ya wapi kijiografia Taifa la Israel litakuwepo. Moja kati ya sehemu iliyopendekezwa ni bara la Afrika (Uganda). Suala ni kwamba kama hiyo ingepitishwa ni athari gani tungepata Afrika?

Ninahakika kuwa hakuna mahusiano yao ya kihistoria na Uganda, hayo yalikuwa ni mapendekezo tu. Ndio maana topic hii imejikita zaidi ktk kuangalia kama maamuzi hayo yangepitishwa, leo Afrika ingekuwaje?
 
Nimekuambia huna ni kweli huna akili
Chanzo cha huo mgogoro ni ardhi ,ardhi ambayo wapalestina wamekaa hapo kwa maelfu ya miaka mpumbavu mmoja wewe
Wapalestina wako hapo maelfu ya miaka ,ni wazawa na wenyeji wa hilo eneo .
Walowezi wamevamia ,kila mtu anajua hilo .
Hatuwezi kutumia Bible kujustify invasion ya kikaburu hapo kwenye hiyo ardhi ,
Wewe bata umekariri vifungu vya biblia bila kuelewa unakuja kubwata hapa .
Wapalestina wanadai ardhi yao ,wewe unasema ni Udini kuna Udini gani hapo ,hiyo ni ardhi yao miaka yote na kila mtu anajua hilo
Isitoshe Wewe kama unatumia biblia kuna anayetumia quran na kuna ambaye anatumia tunguli na kuna asiye amini dini wote wana haki sawa ,mfumo wa justice na sheria ungekuwa unafanya kama mazwazwa kama ninyi mnavyowaza hii dunia kusingekalika
Unless wewe mjinga usiyejielewa
Tumia akili
Umejaa udini na upumbavu uliopitiliza. Nenda kavae mabomu ukajilipuwe, ufe na Wayaudi kadhaa kama kawaida yenu, kelele pekee mitandaoni haziwezi kubadili chochote. Usijifanye unaijuwa Mashariki ya kati kuliko Waarabu wenyewe.

Biblia haijaandikwa jana na wala haikuandikwa kwa ajili ya Waparestina. Tuambie wewe asili ya Wayaudi ni wapi? Umeshidwa kuwatetea Wamasaai wasihamishwe Ngorongoro utaweza kwa Waparestina? Unakwepa biblia lakini inaonyesha wazi una chuki kubwa ya udini moyoni. Vimba, pasuka utobadili chochote Mashariki ya kati.
 
Jiulize kwanza kama kuna undugu baina yako na mababu zako, au kama kuna undugu baina ya Wachagga wa enzi za Mangi Meli na wa leo.
Nimecheka sana. Ndio maana umekuwa mjinga kiasi hiki.

Uyahudi sio kabila kijana, ndio maana ulipo andika uliyo yaandika nikauliza swali hilo, najua huna jibu la swali hilo.

Sasa sababu kujadiliana na wewe ni kupoteza muda, ngoja nikufundishe. Mimi ninao undugu na mababu zangu wa kinasaba. Hata hao Wachaga ukifatilia Koo zao utakuta Kuna undugu baina yao na hao mababu zao, sababu hili ni kabila na sio dini.

Ukija katika Uyahudi, kipindi cha Musa hapakuwa na Uyahudi hili huwezi kulithibitisha hata kwa uongo. Ndio nataka utuambie huu ujinga umeipata wapi ?
 
Kitendo chakuwapa chanjo wanawake wa Ethiopia huko Israel ili wasizaliane,,,wangekuja East Africa Sizan kama kungekua na ngozi nyeusi wangeteketezwa wote hakuna watu wabaguzi na kujiona wapo juu kuliko raia wengine kama hawa wazayuni,, vijukuu vya NAZIS
 
Nimecheka sana. Ndio maana umekuwa mjinga kiasi hiki.

Uyahudi sio kabila kijana, ndio maana ulipo andika uliyo yaandika nikauliza swali hilo, najua huna jibu la swali hilo.

Sasa sababu kujadiliana na wewe ni kupoteza muda, ngoja nikufundishe. Mimi ninao undugu na mababu zangu wa kinasaba. Hata hao Wachaga ukifatilia Koo zao utakuta Kuna undugu baina yao na hao mababu zao, sababu hili ni kabila na sio dini.

Ukija katika Uyahudi, kipindi cha Musa hapakuwa na Uyahudi hili huwezi kulithibitisha hata kwa uongo. Ndio nataka utuambie huu ujinga umeipata wapi ?

Ona ulivyo mpumbavu, nani alikuambia Wayahudi ni dini, hizi elimu za madrassa zinawaharibu badala ya kuwajenga, mnakua kama mazombi yenye chuki.
 
Ona ulivyo mpumbavu, nani alikuambia Wayahudi ni dini, hizi elimu za madrassa zinawaharibu badala ya kuwajenga, mnakua kama mazombi yenye chuki.
Hapa lazima nikuchape. Nani alikwambia Uyahudi ni kabila ? Kwahiyo wale Mayahudi waliopo Ethiopia nao wale ni kabila lile ? Huna akili kijana.

Haya sababu wewe ni mjinga kupindukia, tufanye Uyahudi ni kabila, njoo utuwekee ushahidi wa kuwa Mayahudi hawa Wana nasaba na mtoto wa nabii Yakubu.

Uyahudi ungekuwa sio dini wasingelaaniwa Mayahudi kwa ulimi wa Daudi, Suleyman na Issa.

Hapa utakimbia huu uzi.
 
Hapa lazima nikuchape. Nani alikwambia Uyahudi ni kabila ? Kwahiyo wale Mayahudi waliopo Ethiopia nao wale ni kabila lile ? Huna akili kijana.

Haya sababu wewe ni mjinga kupindukia, tufanye Uyahudi ni kabila, njoo utuwekee ushahidi wa kuwa Mayahudi hawa Wana nasaba na mtoto wa nabii Yakubu.

Uyahudi ungekuwa sio dini wasingelaaniwa Mayahudi kwa ulimi wa Daudi, Suleyman na Issa.

Hapa utakimbia huu uzi.

Wewe kilaza ficha upumbavu, umesema Wayahudi ni dini, kwa taarifa yako kuna hata Wakristo Wayahudi....
Halafu ulivyo mpumbavu, hamna sehemu nimetaja kabila, kajifunze nini tofauti ya ethnic and tribe.
 
Wewe kilaza ficha upumbavu, umesema Wayahudi ni dini, kwa taarifa yako kuna hata Wakristo Wayahudi....
Halafu ulivyo mpumbavu, hamna sehemu nimetaja kabila, kajifunze nini tofauti ya ethnic and tribe.
Huujui Uyahudi kijana. Hakuna Wakristo ambao ni Wayahudi.

Kama sio dini Ile Talmud yao ni kwa ajili ya nini ?

Safi kabisa, naona umeingia pale ninapo pataka, tuambia kama Uyahudi sio Dini, Wala sio kabila ni nini? Ni utamaduni ? Kwahiyo Kuna Wayahudi ambao ni Wakristo sio ?
 
Huujui Uyahudi kijana. Hakuna Wakristo ambao ni Wayahudi.

Kama sio dini Ile Talmud yao ni kwa ajili ya nini ?

Safi kabisa, naona umeingia pale ninapo pataka, tuambia kama Uyahudi sio Dini, Wala sio kabila ni nini? Ni utamaduni ? Kwahiyo Kuna Wayahudi ambao ni Wakristo sio ?

Tafuta mtu akuelimishe somo la Anthropology na ethnology, utanue uelewa wako, upate ufahamu kwamba kuna matabaka ya watu na jamii zaidi ya upeo wako wa kuona kabila na dini tu.
 
Mi naona wangepewa Tanzania na tungeishi nao fresh TU mbona tuna waarabu wahindi wazungu na maisha yanaendelea
 
Tafuta mtu akuelimishe somo la Anthropology na ethnology, utanue uelewa wako, upate ufahamu kwamba kuna matabaka ya watu na jamii zaidi ya upeo wako wa kuona kabila na dini tu.
Uwe unajibu maswali unayo ulizwa.
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo Israel angepata hiyo ardhi hapo Uganda ingekuwaje mpaka sasa. Kwa hali tunayoiyona kwa ndugu zetu Palestine kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?

Sasa ninapomuona mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya visaasili (Mythology) vya dini kichwani na moyoni halafu mtu huyo anataka kuleta hoja za kipumbavu za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu.

Huwezi kupinga, kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya Palestine na Israel kama hujui kuhusu mambo yafuatayo;

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la Balfour Declaration of 1917

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state (Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa Israel na Tanzania ilikuwa miongoni)

6. Fake and staged holocaust Jews from 230000 to 6.5 milion Jews (lies)

7. Historia ya Ottoman Empire and mandate Plestine chini ya Muingereza

8. Nini maana ya "SS Exodus ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11. 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na Marekani kwanini walianzisha neno Ugaidi na Magaidi?

13. Ukatiri, Ubaguzi, Mauaji , Ubomoaji makazi na Ukoloni wa kutumia Jeshi uliofanyika kuanzia 1948 hadi leo.

14. Tofauti Kati ya Waisrael (watu weusi) na Wayahudi (Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka Ulaya).

15. Ni kwanini Marekani ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika Walikataa kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa hapo unaweza kutoa hoja lakini kama umejazwa Chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu Israel na Palestine, sanasana utaishia kusema "Atayebariki atabalikiwa atakayelaani atalaaniwa" as if Mungu ni mkabila.

Wewe mwenyewe umeanza na chuki na udini, harafu unawakaza wengine wasifuate ulicho kianzisha?

Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?
 
Tatizo umelishwa imani ya kidini na ukaamini israel eneo lake la asili ni Mashariki ya Kati. Bila kusoma historia. JIBU maswali haya

UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?
Tatizo umelishwa imani ya kidini na ukaamini israel eneo lake la asili ni Mashariki ya Kati. Bila kusoma historia. JIBU maswali haya

UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo


UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi le
 
Mi naona wangepewa Tanzania na tungeishi nao fresh TU mbona tuna waarabu wahindi wazungu na maisha yanaendelea
Mmmmmm, Endelea kutafiti kidogo. Utapata jibu tu. Hata mimi nilidhani baada ya kuanguka kwa Soviet union, tusingekuwa na matatizo ya vita tena. Nilikosea!
Nakushauri soma vitabu, ukianzia na kile cha Adolf Hitler - My struggle. Kwani hata mwendawazimu anaporopoka, kuna mawili yanaweza kukusaidia maishani.
 
Nini afrika mashariki? Mbona hukusema ilikuwa wapewe eneo huko amerika kusini? We mwenyewe unaandika huku unaonekana wazi una chuki na wayahudi kutokana na dini unayoiabudu, we ni muislam maana waislam wana chuki kubwa na wayahudi. Unachokiandika tunakijua na tumekisoma sana na hatuachi kuitakia baraka israel pia hatuna chuki na wapalestina

Wenye chuki ni wakristo soma historia na mpaka leo ni unafiki tu unaoendelea

https://www.ushmm.org/m/pdfs/20070119-persecution.pdf
 
Back
Top Bottom