Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo Israel angepata hiyo ardhi hapo Uganda ingekuwaje mpaka sasa. Kwa hali tunayoiyona kwa ndugu zetu Palestine kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?

Sasa ninapomuona mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya visaasili (Mythology) vya dini kichwani na moyoni halafu mtu huyo anataka kuleta hoja za kipumbavu za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu.

Huwezi kupinga, kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya Palestine na Israel kama hujui kuhusu mambo yafuatayo;

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la Balfour Declaration of 1917

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state (Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa Israel na Tanzania ilikuwa miongoni)

6. Fake and staged holocaust Jews from 230000 to 6.5 milion Jews (lies)

7. Historia ya Ottoman Empire and mandate Plestine chini ya Muingereza

8. Nini maana ya "SS Exodus ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11. 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na Marekani kwanini walianzisha neno Ugaidi na Magaidi?

13. Ukatiri, Ubaguzi, Mauaji , Ubomoaji makazi na Ukoloni wa kutumia Jeshi uliofanyika kuanzia 1948 hadi leo.

14. Tofauti Kati ya Waisrael (watu weusi) na Wayahudi (Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka Ulaya).

15. Ni kwanini Marekani ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika Walikataa kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa hapo unaweza kutoa hoja lakini kama umejazwa Chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu Israel na Palestine, sanasana utaishia kusema "Atayebariki atabalikiwa atakayelaani atalaaniwa" as if Mungu ni mkabila.

Umeandika ukiwa umejaa chuki za kidini, na kutukana watu wasio endana na mtizamo wako kuwa ni wapumbuvu huku ukiwaita Waarabu ndugu zenu, sijuhi ni ndugu zenu wewe na nani, maana dhambi ya ubaguzi wa aina yako ndio unaoitafuna Mashariki ya kati. Kwa mitizamo wako huu nani unataka atoe maoni?

Unapokuwa unatetea hoja fulani punguza jazba unaweza ukaeleweka, lakini hivi ulivyowasilisha hoja yako ni watu wa aina yako tu ndiyo wanaweza wakakuelewa
 
Topic haihusu Historia, bali imejikita sana kwa madhara kama 1948 maamuzi ya kuwa na Taifa la Israel, nchi yao ya kuishi ingeamuliwa kuwa Afrika- Uganda.

Ungetaka kujadili HISTORIA toka Abraham, Fungua Uzi mwingine. Tutafika huko na kujadili.
Historia inabaki kuwa historia. Ima ivalishwe suti, ima ivalishwe kanzu.

Hii mashariki ya kati tunayoijua leo habari zake nyingi kama sio zote zipo "documented" vizuri sana. Ni historia.

Wazo la kuanzishwa kwa Uzayoni, mipango ya utekelezaji wake, undimilakuwili wa Mwingereza kuhadaa wapalestina ili kutimiza uwepo wa Taifa la Israel, yote yapo documented. Ni historia!

Ama fasiri yako ya historia ni nini?

c.c pasco Mayalla
 
Ntajie wafalme wa palestina umeshindwa
Hiyo misikiti walijenga waturuki ambao sio wakazi wa eneo hilo bali walikua wakoloni

Hakuna mfalme wa palestina ndo nikuambie na hakukuwahi nchi inayoitwa palestina bali kulikua na coloby la palestina ambalo lilikua halina mwenyewe
Pumbavu
Kakojoe ulale
Eti koloni halina mwenyewe ,are you stupid or mentally handicapped ?

Fool
 
Wayahudi wamekua hapo kabla ya hiyo dini yenu kubuniwa na muarabu, soma historia hata ukiweka mambo ya dini pembeni jielimishe kihistoria, Wayahudi wamekua hapo tangu mababu zako wakiwa maporini kule Congo, sasa umezaliwa juzi unasomeshwa ilmu ya madrassa kuwachukia Wayahudi ambao hata labda haujawahi kukutana na hata mmoja wao maishani mwako.
Ni mtu mwenye akili ndogo kama wewe ndio anayeweza attack imani ya mtu mwingine na kuacha kujadili mada , huna facts unaamua kushambulia uislamu
Ni dalili ya mtindio wa akili hii
Mimi ni mkristo na siwezi kufanya upumbavu ambao wajinga wengi mnafanya humu
Mnafanya jamii forum ionekane sehemu ya ovyo kama social media zingine zilizojaa machokoraa na watu wasio na elimu au upeo wa kuwaza na kujenga hoja
Mimi nikiwa mkristo yule akawa muislamu who cares ? Dini yako inanisaidia nini mimi ?
Hao miungu wenu wa Kizayuni ambao mnawaabudu na kushangilia udhalimu wao dhidi ya wapalestina hawamjui hata huyo Mungu au Jesus Christ , infact Christian goyim ni nguruwe .
Wewe na ukristo wako inaonekana ni nguruwe kwao hao wazayuni unaowaabudu na kuwatukuza kama Miungu

Suala la huu mgogoro ni ardhi na injustice ya ukoloni wa makaburu walowezi wa Kizayuni kwenye ardhi ya palestina ,it has nothing to do with religion ,
Wewe ukiwa mkristo ndio unaona waislamu au wasio na dini ni ngedere au subhuman flani sio ?
Pumbavu

Wewe na wenzako hamna facts ,mnaendeshwa na mkumbo + ujinga wa kutojua historia halisi ya mgogoro huo na geopolitics involved
 
Wayahudi wako karibia dunia nzima lakini hatujasikia wakileta fujo huko! Marekani Ulaya,Russia,Amerika ya Kusini,Ukraine,India,mpaka Iran wapo! Marekani imeendelea kwa kwa sababu yao.
Kwa hiyo hata wangepewa ardhi hapo Uganda huenda wasingeleta fujo.
Fahamu ni kwamba Waisrael wanapigania ardhi yao ambayo walipewa mababu zao Ibrahim,Isaka na Yakobo kwa ajili yao.
Una akili ndogo sana
Huu mjadala hauwezi kujadiliwa kwa akili ndogo kama zenu hizo ,za kukimbilia kwenye Bible kutafuta justification , Bible haiwezi kuwa ndio justification ya ukoloni wa wazayuni kwenye ardhi ya palestina ,ni ukosefu wa akili timamu .
Duniani hapa kila mtu ana imani yake ,kuna watu hawaamini hata dini yoyote (atheists) na majority ya hao Ashkenazi na cephards ni atheists , hawapo kwenye dini yoyote ,hata huo uyahudi wenyewe hawapo .
Sasa utakuwa ni mtu wa ovyo kuleta justification za genocide na ethnic cleansing ya makaburu wa Kizayuni katika ardhi ya palestina
Bible yenyewe hamuijui kuisoma na kutafsiri kilichoandikwa kwa ufasaha , wengi mmepata mafundisho potofu na ninyi mmeyameza hivyo hivyo na wala hamtafiti vitu wala kusoma
 
Kumbe upo upande wa Palestina ya Goliath? Ok. Ila Israel alifanya Jambo jema kupambania ahaki yake mpaka Leo.
Yupo upande wa ndugu zake katika imani na hajui hao magaidi wa Hamas wameteka ndugu zetu kina Mollel.
 
Naona ignorance ni kubwa humu jamii forum ,watu hawasomi . Too bad wako brainwashed
Ndio maana kuna usemi ,ukitaka kuficha kitu ,weka katika maandishi /kitabu
Ignorance ni tatizo kubwa

Na upload vitabu ambavyo vinaweza kuwapa watu mwanga View attachment 2815990View attachment 2815991View attachment 2815992View attachment 2815993View attachment 2815994View attachment 2815995
Someni hivyo vitabu halafu mrudi hapa kuandika ujinga ujinga wenu wa kuwaabudu hao miungu wenu wa Kizayuni , wayahudi feki ,antichrists infact antihumanity cabal wanaojiita wayahudi .
Hamna wayahudi hapo , modern Jewishness is a scam
 
Hili lilikuwa pendekezo la Uingereza wakati wa ukoloni.

Image endapo Israel angepata hiyo ardhi hapo Uganda ingekuwaje mpaka sasa. Kwa hali tunayoiyona kwa ndugu zetu Palestine kupokonywa ardhi na kukaliwa kimabavu. Je, tungepokonywa sisi na hawa madhalim na kisha kuuwawa kikatili kama wanavyouwawa wa Palestine, je kuna mtu angeendelea kulishobokea hili taifa linaloitwa Israel?

Sasa ninapomuona mtu mmoja mweusi aliyejazwa mafundisho ya visaasili (Mythology) vya dini kichwani na moyoni halafu mtu huyo anataka kuleta hoja za kipumbavu za kiushabiki na kiutumwa naamua kupuuzia tu.

Huwezi kupinga, kuhoji au kutoa maoni kuhusu issue ya Palestine na Israel kama hujui kuhusu mambo yafuatayo;

1. Khazaria Ashkenazi Jews

2. Historia ya Zionism movement na tabia zake

3. Azimio la Balfour Declaration of 1917

4. Uganda Scheme of 1903.

5. Proposals for a Jewish state (Maeneo yaliyokoswa koswa kuwa Israel na Tanzania ilikuwa miongoni)

6. Fake and staged holocaust Jews from 230000 to 6.5 milion Jews (lies)

7. Historia ya Ottoman Empire and mandate Plestine chini ya Muingereza

8. Nini maana ya "SS Exodus ya 1947?

10. UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

11. 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

12. 1950s Israel na Marekani kwanini walianzisha neno Ugaidi na Magaidi?

13. Ukatiri, Ubaguzi, Mauaji , Ubomoaji makazi na Ukoloni wa kutumia Jeshi uliofanyika kuanzia 1948 hadi leo.

14. Tofauti Kati ya Waisrael (watu weusi) na Wayahudi (Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka Ulaya).

15. Ni kwanini Marekani ndo lilkuwa Taifa la kwanza kuitambua Israel?

16. Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika Walikataa kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

17. Sasa hapo unaweza kutoa hoja lakini kama umejazwa Chuki, Visaasili vya dini na Udini huwezi kujadili la maana kuhusu Israel na Palestine, sanasana utaishia kusema "Atayebariki atabalikiwa atakayelaani atalaaniwa" as if Mungu ni mkabila.

Unajua kwanini haijawa Afrika Mashariki? Wayahudi walikataa pendekezo hilo la kupewa ardhi EA, wao waliitaka ardhi yao ya asili na si nje ya hapo na ndomana walirudi Palestina (Israel ya leo) shida yao haikuwa makazi ila ardhi ya mababu zao.
 
Nakumbusha tu, kuna vita kali sana south sudan sasa hivi.

Nakumbusha zaidi sudani ni mwanachama wa east african community tangu 2016.

Kutoka tanzania mpaka sudan kuna umbali wa km 2000 hivi.

Kutoka tanzania kwenda israel kuna umbali wa km 5000 hivi.

Ebu twende na haya ya huku kwetu, east africa community.

Tuachane na haya ya huko kwao.
NAKAZIA
 
Mpango wa kuwahamishia Jews kutoka uko ulaya ulikuwa ni maeneo mawili. Africa Mashariki na Madagascar. Ila viongozi wa africa tulipinga hilo na mpango ukafeli. Tumshukuru sana Gaddafi akishirikiana na idd amini kuupinga mpango Huo

Hao wa israel walioko hapo Mashariki ya Kati ni fakes unaijua hii FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)???
Waisrael wenyewe walikataa, waliitaka ardhi ya mababu zao. Huku kama wangekuja kimgekuwa kituo tu kukwepa vuguvugu la mauaji ya kipindi kile ila safari yao ilikuwa ni Palestina kuchukua ardhi yao. Msipotoshe.
 
Kwani Wapelestina Ardhi yao wameuza kama sisi tulivyouza Ngorongoro na kufukuza wamasai.
Historia ina sema palestine kapokonywa ardhi kimabavu na kisha kuuwawa kikatili na hao wazayuni fakes na ulikuwa ni mpango wa wazungu kutawala Mashariki ya Kati. Unaposema tuuache kutetea Ndugu zetu Wapelestina maana yake unafurahia dhulma, mauwaji ya kikatili ya watoto uko palestine, unafurahia nyumba za watu kubomolewa, watu kuuwa na wengine kupewa kilema cha Maisha??? Unafurahia hayo??? Dunia nzima imesisima na palestine kupinga uvamizi mimi ni nani nisisimae na palestine.

Hapa Tanzania matatizo tunajitakia wenyewe
Wale waliouawa kule Israel (Watoto, wazee, wanawake n.k) hawakuwa na haki ya kuishi!? Lini umewapigia kelele?
 
Watu wanawachukia wa Israel bila kujali nani alianza kurusha ngumi ili kuanzisha ugomvi, mumchukie na mchochezi Iran ambae kachochea kuni jikoni kakaa pembeni anaangalia zinavyoteketea.
Chuki dhidi ya Israel hazitawakomboa Gaza dhidi ya hasira za Myahudi, badala yake waache kuhubiri chuki na uchochezibdhidi ya Israel.
Sipendi na sivutiwi na sishabikii kinachoendelea hapo Gaza ila naumizwa na wale wote wanaochochea mgogoro huo kwa kuandika chuki zao mitandaoni wakidhani wanaisaidia Gaza kumbe wanaiteketeza.
 
Ni mtu mwenye akili ndogo kama wewe ndio anayeweza attack imani ya mtu mwingine na kuacha kujadili mada , huna facts unaamua kushambulia uislamu
Ni dalili ya mtindio wa akili hii
Mimi ni mkristo na siwezi kufanya upumbavu ambao wajinga wengi mnafanya humu
Mnafanya jamii forum ionekane sehemu ya ovyo kama social media zingine zilizojaa machokoraa na watu wasio na elimu au upeo wa kuwaza na kujenga hoja
Mimi nikiwa mkristo yule akawa muislamu who cares ? Dini yako inanisaidia nini mimi ?
Hao miungu wenu wa Kizayuni ambao mnawaabudu na kushangilia udhalimu wao dhidi ya wapalestina hawamjui hata huyo Mungu au Jesus Christ , infact Christian goyim ni nguruwe .
Wewe na ukristo wako inaonekana ni nguruwe kwao hao wazayuni unaowaabudu na kuwatukuza kama Miungu

Suala la huu mgogoro ni ardhi na injustice ya ukoloni wa makaburu walowezi wa Kizayuni kwenye ardhi ya palestina ,it has nothing to do with religion ,
Wewe ukiwa mkristo ndio unaona waislamu au wasio na dini ni ngedere au subhuman flani sio ?
Pumbavu

Wewe na wenzako hamna facts ,mnaendeshwa na mkumbo + ujinga wa kutojua historia halisi ya mgogoro huo na geopolitics involved
Sawa ustaadhi umesikika, punguza matusi.
 
Akina Daudi, Musa, n. K. Hawakuzikwa huku, hivyo Wayahudi wanaishi walikozikwa mababu zao na hamna kenge inaweza kubadilisha hilo, Mungu wao ni mkuu kuzidi wenu, kila wakipambanishwa wa kwenu hutoka nduki.
Musa kazikiwa wapi ?

Mayahudi wa leo hawana undugu wa damu wala wa dini na kina Daudi na Musa. Musa amekufa haukuwepo Uyahudi.

Sasa unaandika ili ujifurahishe au upoteze muda ?

Kingine lengo si kubadilisha lengo ni Historia kudhibitiwa.
 
Una akili ndogo sana
Huu mjadala hauwezi kujadiliwa kwa akili ndogo kama zenu hizo ,za kukimbilia kwenye Bible kutafuta justification , Bible haiwezi kuwa ndio justification ya ukoloni wa wazayuni kwenye ardhi ya palestina ,ni ukosefu wa akili timamu .
Duniani hapa kila mtu ana imani yake ,kuna watu hawaamini hata dini yoyote (atheists) na majority ya hao Ashkenazi na cephards ni atheists , hawapo kwenye dini yoyote ,hata huo uyahudi wenyewe hawapo .
Sasa utakuwa ni mtu wa ovyo kuleta justification za genocide na ethnic cleansing ya makaburu wa Kizayuni katika ardhi ya palestina
Bible yenyewe hamuijui kuisoma na kutafsiri kilichoandikwa kwa ufasaha , wengi mmepata mafundisho potofu na ninyi mmeyameza hivyo hivyo na wala hamtafiti vitu wala kusoma
Hoja yako iko wapi!!?? Kutukana ndo kutafanya watu wakubaliane na unachotaka!? Kama unakubali Musa mtume wa Mungu alikuwepo na aliwaongoza Wana wa Israel kuelekea nchi ya ahadi miaka hiyo kabla Palestina haijaundwa, kwanini uwakatae wana Israel wenyewe leo hii!? Punguza jazba na matusi ustaadhi.
 
Someni hivyo vitabu halafu mrudi hapa kuandika ujinga ujinga wenu wa kuwaabudu hao miungu wenu wa Kizayuni , wayahudi feki ,antichrists infact antihumanity cabal wanaojiita wayahudi .
Hamna wayahudi hapo , modern Jewishness is a scam
Hivyo vitabu kaandika nani!? Yaani uniletee upuuzi alioandika Sheikh Kipozeo eti uuite maarifa!!!??? Unaleta vitabu vyenye mlengo unaoshabikia, ngoja tukuletee vitabu vya mlengo tofauti upate maarifa.
 
Ni mtu mwenye akili ndogo kama wewe ndio anayeweza attack imani ya mtu mwingine na kuacha kujadili mada , huna facts unaamua kushambulia uislamu
Ni dalili ya mtindio wa akili hii
Mimi ni mkristo na siwezi kufanya upumbavu ambao wajinga wengi mnafanya humu
Mnafanya jamii forum ionekane sehemu ya ovyo kama social media zingine zilizojaa machokoraa na watu wasio na elimu au upeo wa kuwaza na kujenga hoja
Mimi nikiwa mkristo yule akawa muislamu who cares ? Dini yako inanisaidia nini mimi ?
Hao miungu wenu wa Kizayuni ambao mnawaabudu na kushangilia udhalimu wao dhidi ya wapalestina hawamjui hata huyo Mungu au Jesus Christ , infact Christian goyim ni nguruwe .
Wewe na ukristo wako inaonekana ni nguruwe kwao hao wazayuni unaowaabudu na kuwatukuza kama Miungu

Suala la huu mgogoro ni ardhi na injustice ya ukoloni wa makaburu walowezi wa Kizayuni kwenye ardhi ya palestina ,it has nothing to do with religion ,
Wewe ukiwa mkristo ndio unaona waislamu au wasio na dini ni ngedere au subhuman flani sio ?
Pumbavu

Wewe na wenzako hamna facts ,mnaendeshwa na mkumbo + ujinga wa kutojua historia halisi ya mgogoro huo na geopolitics involved

Wacha kujitoa ufahamu, suala la huu mgogoro ni dini na udini, haowyameaminishwa wasikubali kuishi na Wayahudi na wanapaswa kuua Wayahudi popote, na kuua yeyote asiyeamini katika imani yao..

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Back
Top Bottom