Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Dunia nzima labda wewe na basha wako


Uache kusimama na ndugu zako watanzania wanakufa Kwa kukosa huduma za afya unasimama na waisraeli na wapalestina!


Jinga jinga wewe

Punguza hasira, na uache kutukana. Hoja hujibiwa kwa hoja.

I stand with palestine, ya watanzania imeingiaje tena humu! Huwa mnapenda sana kuout of topic ili kutupotezea waislamu
 
Nenda Paris, German, Uk, USSR, ulaya nzima wamesimama na palestine.
Nenda china, india jordan, misri North Korea, Asia nzima imesisima na palestine.
Njoo Afrika, morocco, egypt, South africa, hata hapa Tanzania wote tunasimama na palestine kupinga uvamizi.
Wewe ni nani Kwani ata usipokuwa upandewa palestine hakuwezi kusababisha wengine tuuache kutetea Ndugu zetu Wapelestina.

Kuhusu kongo na Afrika KWA ujumla matatizo yetu tunajitakia wenyewe hakuna aliyeporwa ardhi na mzungu, na kukaliwa kimabavu, bali ni uchu na ulafi wa madaraka

Watu elfu moja wakiandamana ndio Dunia nzima? Acha hizo.
 
Kwani Tanganyika haikuwa mandate colony chini ya Mwingereza, wakati Tanganyika ni mandate colony apakua na viongozi wa kiafrika kwenye serikali ya mkoloni.

Unaelewa maana ya colony?. Mwenye colony ndio mtawala.
 
Mpango wa kuwahamishia Jews kutoka uko ulaya ulikuwa ni maeneo mawili. Africa Mashariki na Madagascar. Ila viongozi wa africa tulipinga hilo na mpango ukafeli. Tumshukuru sana Gaddafi akishirikiana na idd amini kuupinga mpango Huo

Hao wa israel walioko hapo Mashariki ya Kati ni fakes unaijua hii FAKE AND STAGED HOLOCAUST JEWS FROM 230000 TO 6.5 MILION JEWS ( LIES)???
Taifa la israel likiundwa gadafi alikuwa na miaka sita, mkuu mbona unajidhalilisha kiasi hiki? mbona unataka tuwaone wavaa kobaz wote ni vichwa panzi.
 
Yeah tunawapambania Watu weupe mbali uko. Wakati ndugu zetu Kongo drc vs m23 Hali sio shwari, sudani wamekiwasha, Nigeria nao wanakura za uso kutoka kwa Boko , central Africa Hali ya hewa haileweki muda wwt kinanuka, msumbiji wamakonde wamesala yaani dah ngoja nitulie orodha ni kubwa Sana😭.
Hiki ndio kichwa cha habari: "Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?"

Si anaipambania Afrika ya watu weusi, au? Nafikiri mtoa Thread anajaribu kujikita na madhara ambayo yangetokea kama ule uamuzi wa 1948, ungeangukia Afrika - Uganda. Inamaanisha mpaka Leo Afrika mashariki yote tungekuwa wahanga wa mgogoro wa kimaslahi kati ya wenyeji na wa-Israel. Lakini kwa bahati nzuri, au kudra za M Mungu mzigo kautua kwingine.

Kwa kichwa cha habari kama hicho nafikiri, mtoa Uzi kafanikiwa kujikita katika kichwa cha habari na si historia ndefu amabayo ingepoteza maana.

Binafsi najisikia furaha sana kuwa ule mpango haukufanikiwa, kwa sababu Marekani ilivyo na nguvu na VETO sijui kama waafrika tungesikika tena. Nafikiri kuna baadhi yao wanasikitika kwanini hawakuchagua Afrika. Kwani wangeweza kututokomeza hata kwa magonjwa tu kama wahindi wekundu walivyotokomezwa Marekani na watu weusi Australia.

Ndugu zanguni Fikirieni hilo kwa uchungu mkubwa, vinginevyo Historia inaweza ikajirudia nasi tukaona POA TU.
 
Mtoa mada amekimbia.
Hajakimbia, ila anajaribu kuwasoma wachangiaji kwa makini sana.

Kwa maana kwa Topic muhimu kama hii inayohusu Afrika, ni muhimu kuwaacha wachangiaji wafunguke kwanza.

Napenda kuwakumbusha wachangiaji kuwa hii TOPIC inahusu zaidi athari ambazo zingeikuta Afrika na hususan Afrika mashariki kama wa-Israel wangejikita Uganda kwa maamuzi ya 1948. Mjadala utakuwa mzuri sana kama mkijikita hapo. Kwa bahati mbaya wengi wametoka nje ya mada. Soma kichwa cha habari!
 
Hatari sana!

Mwandishi Mohamedex121 anapoandika historia pasipo kuanzia awali ya awali (begin of the beginning) sio ajabu kukuta andiko halijashiba!

Dini na Udini ndio uhai wenyewe! Inaposemwa Dini na Udini haikomi kwenye Ukristo ama Uislamu ama Upagani. Dini ni Imani kali kuhusu namna mwanadamu anavyoweza kuunganisha jana leo na kesho!

Imani za dini Ukristo na Uislamu ama Uyahudi, muasisi wake ni Abraham na Bosi wake ni Mungu, mbali hizi imani tatu wakazi wa Dunia hii wanazo Imani na dini zinginezo nyingi tu ambazo Nabii Musa alipoleta biashara za amri za Mungu, Mungu wa Musa alielekeza hakuna anayestahiki kubudiwa zaidi yake Mungu wa Musa.

Mengi yanasemwa kuhusu visaasili na dini na Imani...jambo la kushangaza kadri dini zinavyopigwa vita, ndio vivyo hivyo dini nav visaasili vyake ndio vinazidi kutawala Dunia hii ya Musa na Mungu wake.
Topic haihusu Historia, bali imejikita sana kwa madhara kama 1948 maamuzi ya kuwa na Taifa la Israel, nchi yao ya kuishi ingeamuliwa kuwa Afrika- Uganda.

Ungetaka kujadili HISTORIA toka Abraham, Fungua Uzi mwingine. Tutafika huko na kujadili.
 
Wayahudi wako karibia dunia nzima lakini hatujasikia wakileta fujo huko! Marekani Ulaya,Russia,Amerika ya Kusini,Ukraine,India,mpaka Iran wapo! Marekani imeendelea kwa kwa sababu yao.
Kwa hiyo hata wangepewa ardhi hapo Uganda huenda wasingeleta fujo.
Fahamu ni kwamba Waisrael wanapigania ardhi yao ambayo walipewa mababu zao Ibrahim,Isaka na Yakobo kwa ajili yao.
 
Wayahudi wako karibia dunia nzima lakini hatujasikia wakileta fujo huko! Marekani Ulaya,Russia,Amerika ya Kusini,Ukraine,India,mpaka Iran wapo! Marekani imeendelea kwa kwa sababu yao.
Kwa hiyo hata wangepewa ardhi hapo Uganda huenda wasingeleta fujo.
Fahamu ni kwamba Waisrael wanapigania ardhi yao ambayo walipewa mababu zao Ibrahim,Isaka na Yakobo kwa ajili yao.
Sahihisho. Kichwa cha habari hakijazungumzia wayahudi, Kimezungumzia kuundwa kwa nchi iitwayo ISRAEL.
Marekani ni nchi na Israel ni Nchi. Tujikite hapo.
 
Ushahidi upo kwenye Quran 17:101, 17:104

وَلَقَدْ آتَيْنَا مُوسَىٰ تِسْعَ آيَاتٍ بَيِّنَاتٍ ۖ فَاسْأَلْ بَنِي إِسْرَائِيلَ إِذْ جَاءَهُمْ فَقَالَ لَهُ فِرْعَوْنُ إِنِّي لَأَظُنُّكَ يَا مُوسَىٰ مَسْحُورًا
17:101 Al-Isra' (The Journey by Night)
Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. Waulize Wana wa Israili alipo wafikia, na Firauni akawaambia: Hakika mimi nakuona wewe Musa umerogwa!

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​


Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. Waulize Wana wa Israili alipo wafikia, na Firauni akawaambia: Hakika mimi nakuona wewe Musa umerogwa!.


Na lau hawa watu wangeli letewa hizo ishara wazitakazo, wange zigeuzia uso, wala wasinge ziamini! Na Sisi tulimpa Musa Ishara tisa wazi. Na juu ya hivyo wakakufuru. Na Firauni akasema: Hakika mimi nakuona wewe, Musa, ni mtu uliye rogwa! Hizo ishara tisa ni: 1. Fimbo, 2. Mkono Mweupe, 3. Tufani, 4. Nzige na vyura na chawa na damu, 5. Ukame na upungufu wa mazao, 6. Kupasuka bahari, 7. Kutimbuka maji baharini, 8. Kuninginia mlima kama kivuli, 9. Kusemezwa na Mola wake Mlezi.

وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا
17:104 Al-Isra' (The Journey by Night)
Na tukawaambia baada yake Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Itapo kuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja.

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​


Na tukawaambia baada yake Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Itapo kuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja.


Tukamvua Musa na kaumu yake, na baada ya kumzamisha Firauni tukasema kuwaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi takatifu ilioko Sham. Ukija wakati wa uhai wa pili tutakutoeni makaburini kwenu kwa mchanganyiko. Kisha tutakuhukumuni kwa uadilifu.
 
Back
Top Bottom