Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Unaifahamu Azimio la BALFOUR DECORATIONS LA 1917??
Israel imekuwepo kabla ya hilo azimio la mchongo, ngoja nikupe kifungu kidogo;

Kutoka 4:22 Nawe umwambie Farao, Bwana asema hivi, Israel ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu;
 
unaijua hii Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)???

Na hii pia unajua Historia ya Zionism movement na tabia zake???

JIBU swali usilete porojo

Hayo unaongea wewe, sisi tunaongelea Israel. Kasome Quran 17:101 na 17:104 inatambua kabisa waisraeli ndio wakazi wa pale Sasa sijui haya mambo ya Zionist yanaingiaje kwenye Jambo amablao lipo wazi.
 
Tungeuwawa kama wanavyouwawa Wapelestina sizani kama kuna ataendelea kulishobokea hili taifa la israel maana hawajui kadhia wanayoipata Wapelestina kwenye ardhi yao. Yangetufikia sisi nadhani akili ingewakaa sawa

Kweli kabisa,, i think all afrikans wangeandamana na kusema hawapo kihalali, ni wavamizi,,,, ila kwakua wapo kwenye ardhi ya kiislamu ni halali kwao, na kama unavyojua wenzetu most of them wana chuki kwa waarabu, na uislamu unapigwa vita sana
 
Dini za kipumbavu sana.......

Waislam weusi wameamua kuwatumikia na kuwatetea mabwana zao waarabu hali ya kuwa weusi wenzao wanauana

Weusi wa kiyahudi wameamua kukaa bega kwa bega na mabwana zao wazungu na wayahudi huku wenzao wakiuana kila kukicha huko Congo...........


Wanabishana pasi na kujua kuwa hao wote ni mashetani na wanamuona mtu mweusi kama mavi tu.........

Mimi furaha yangu ni kuona hawa mashetani wakimwagana damu......vita iendelee mpaka waishe kabisa
 
Acha mawazo ya kidini JIBU maswali haya

Naomba nikujibu Kama ifuatavyo:

Swali la kwanza, UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

JIBU: Haya yalikuwa ni maazimio ya Umoja wa Mataifa kuigawanya Palestina kuwa na Dola mbili ya Palestina na Israel. Pia kwenye maazimio hayo, Jerusalem ilibakia kuwa eneo lisilo kuwa na mwenyewe na lilitakiwa kuwa Chini ya usamamizi wa Umoja wa Mataifa. Israel waliiheshimu maazimio haya na kuijitangazia uhuru mwaka 1948. So kwa hapa Israel walikuwa wanatekeleza sheria halali ya maazimio ya Umoja wa Mataifa. Shida ni kwamba baadala ya waarabu au wapalestina kuanzisha taifa lao, wao wakaanzisha Palestinian war dhidi ya Israel.

Swali la pili, 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

JIBU: mwaka 1948 yalitokea matukio mengi ila nitataja manne.

La Kwanza, ni tukio la Israel kuijitangazia uhuru wake mwaka 1948 Mwezi wa tano siku ya tarehe 14. Hii ikiwa ni kutekeleza maazimio ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 1947.

La pili, ni tukio la Palestinian war au Vita vya Palestina. Hii ilasababishwa na azimio namba 181 la umoja wa Mataifa kuigawanya Palestina kuwa na nchi mbili, na Israel kukotangazia uhuru wake.ambapo waarabu hawakutaka kabisa, hivyo vikundi vya kipalestina na waarabu vikaanza kupigana na Israel na vikundi vya kiyahudi.

La tatu, Ni Nakba, baada ya vikundi vya Palestina waarabu kuwachokoza wayahudi, ndipo walipopigwa kusukumizwa pembeni, na kuleta kitu kinaitwa Nakba.

La nne , ni vita vya Israel na Mataifa ya kiarabu. Kipindi hicho yakijulokana Kama United Arab Republic, Misri, Jordan na Syria wakisaidiwa na Saudi Arabia. Hivi vita ndivyo vilipelekea mzozo tunaouona Leo, baada ya kichapo, Israel ikachukua baadhi ya maeneo ya Misri na Jordan amabyo ni Gaza na Jordan. kwani iliwashinda kwenye vita.

Kuhusu swali la tatu kwamba 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

JIBU: Fahamu kwamba neno gaidi au Terrorism halikianzishwa na Marekani. Neno terrorism lilianza kutumika mwaka 1793 wakati wa mapinduzi ya ufaransa Yani French Revolution na neno Hilo lilitumika kutokana na ukatili wa serikali mpya ya kuwaua kwa kunyongwa watu waliokuwa wakidhaniwa kuwa wanaopinga mapinduzi hayo. Na lilianza kutumika kwenye kamusi mwaka 1840.

Swali la mwisho UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo??

JIBU: Nadhani Kama Palestina nao wangetangaza uhuru wao Kama Israel mwaka 1948, na kuacha kuwavamia waisraeli na kuanzisha vita ya Palestina , wasingepigwa na kivurumushqa maana Israel iliona ikiwaachia Hawa watawasumbua. Ile Nakba ni kisingizio tu lakini uchokozi aliuanza Palestina.
 
Mbona unaongea sana Ndugu aliyekuambia waarabu wanatuona sisi nyani ni nani. Unafikiri Uislam ni ubaguzi kama nyinyi mnavyobaguana huko makanisani. Nenda kaswali misikitini ya upanga, kariakoo na mnazi mmoja uone jinsi tunavyoishi na waarabu kama Ndugu. Kama nyinyi wazungu wanavyowaona manyani huko makanisani.. usichukulie na Uislam ni hivo hivo tembea ujione na sio kuleta chuki za kidini

Acha uongo, mbona Janjaweed wanawachinja waislamu wenzao kisa weusi?
 
Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?

Acha uongo, mwalimu aliitambua Israel Kama nchi , lakini hakuitambua Israel kwenye maeneo ya West Bank na Gaza. Inaitwa Partial Recognition of Israel. Yani hutambui Occupied territories Kama eneo la Israel.
 
Dunia nzima inasimama na Wapelestina kupinga dhulma ya hawa fakes jews mimi ni nani nisisimae na palestine.
Dunia nzima labda wewe na basha wako


Uache kusimama na ndugu zako watanzania wanakufa Kwa kukosa huduma za afya unasimama na waisraeli na wapalestina!


Jinga jinga wewe
 
Picha uletewe pia mfalme ama raisi utajiwe. Hivi KWA akili yako unavyoona hayo majengo, airport, madarasa, misikitini, yalijengwa bila kuwepo Kiongozi wa eneo hilo. Changamsha ubongo wako sio kila kitu utafutiwe
Kipi kinakushinda hapo kwenye kutaja jina la kiongozi ?
 
Ziwa Victoria haipo kwenye ramani ya Judea.

Ila ya palestina ndio ipo kwenye ramani ya judea 😁 aise Qur’an inatuambia Mayahudi na manaswara hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila yao, ndio haya tunayaona mnatumia nguvu zote kuteteana
 
Hakuna aliyejibu hata moja zaid ya kuleta porojo za Kidini. Welete maswali nasubiri majibu sitaki ushabiki

Naomba nikujibu Kama ifuatavyo:

Swali la kwanza, UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

JIBU: Haya yalikuwa ni maazimio ya Umoja wa Mataifa kuigawanya Palestina kuwa na Dola mbili ya Palestina na Israel. Pia kwenye maazimio hayo, Jerusalem ilibakia kuwa eneo lisilo kuwa na mwenyewe na lilitakiwa kuwa Chini ya usamamizi wa Umoja wa Mataifa. Israel waliiheshimu maazimio haya na kuijitangazia uhuru mwaka 1948. So kwa hapa Israel walikuwa wanatekeleza sheria halali ya maazimio ya Umoja wa Mataifa. Shida ni kwamba baadala ya waarabu au wapalestina kuanzisha taifa lao, wao wakaanzisha Palestinian war dhidi ya Israel.

Swali la pili, 14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

JIBU: mwaka 1948 yalitokea matukio mengi ila nitataja manne.

La Kwanza, ni tukio la Israel kuijitangazia uhuru wake mwaka 1948 Mwezi wa tano siku ya tarehe 14. Hii ikiwa ni kutekeleza maazimio ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 1947.

La pili, ni tukio la Palestinian war au Vita vya Palestina. Hii ilasababishwa na azimio namba 181 la umoja wa Mataifa kuigawanya Palestina kuwa na nchi mbili, na Israel kukotangazia uhuru wake.ambapo waarabu hawakutaka kabisa, hivyo vikundi vya kipalestina na waarabu vikaanza kupigana na Israel na vikundi vya kiyahudi.

La tatu, Ni Nakba, baada ya vikundi vya Palestina waarabu kuwachokoza wayahudi, ndipo walipopigwa kusukumizwa pembeni, na kuleta kitu kinaitwa Nakba.

La nne , ni vita vya Israel na Mataifa ya kiarabu. Kipindi hicho yakijulokana Kama United Arab Republic, Misri, Jordan na Syria wakisaidiwa na Saudi Arabia. Hivi vita ndivyo vilipelekea mzozo tunaouona Leo, baada ya kichapo, Israel ikachukua baadhi ya maeneo ya Misri na Jordan amabyo ni Gaza na Jordan. kwani iliwashinda kwenye vita.

Kuhusu swali la tatu kwamba 1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

JIBU: Fahamu kwamba neno gaidi au Terrorism halikianzishwa na Marekani. Neno terrorism lilianza kutumika mwaka 1793 wakati wa mapinduzi ya ufaransa Yani French Revolution na neno Hilo lilitumika kutokana na ukatili wa serikali mpya ya kuwaua kwa kunyongwa watu waliokuwa wakidhaniwa kuwa wanaopinga mapinduzi hayo. Na lilianza kutumika kwenye kamusi mwaka 1840.

Swali la mwisho UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo??

JIBU: Nadhani Kama Palestina nao wangetangaza uhuru wao Kama Israel mwaka 1948, na kuacha kuwavamia waisraeli na kuanzisha vita ya Palestina , wasingepigwa na kivurumushqa maana Israel iliona ikiwaachia Hawa watawasumbua. Ile Nakba ni kisingizio tu lakini uchokozi aliuanza Palestina.
 
Acha hoja za kidini JIBU maswali apo juu?? Sitaki kusikia habari za bibilia maaana mmedanganywa wayahudi wa bibilia na wayahudi halisi
Kama wewe binafsi huamini vitabu vya Mwenyezi Mungu pole sana, utaendelea kuteseka bure na kutafuta history FAKE ambazo hazitakuja kukusaidia wala kukupa suluhisho lolote zaidi ya kupoteza muda bure kujitesa nafsi yako, utamaliza muda wako wa kuishi hapa duniani utaondoka utaiacha Israel ipo na itaendelea kuwepo milele

.Usiwe mkubwa kuliko Mungu aliye kuumba na anayejua yote.
 
We ni muongo sana israel inapata uhuru mwaka 1948 idd amin au gadaffi hakuna aliyekua rais uganda na libaya yalikua ni makoloni sasa unasemaje walipinga israel isiwe nchi kama sio uongo wa waziwazi

Iddi anapata urais 1971 tayari isreali ilishapata uhuru kitambo sana, harakai za wayahudi ziliaanza miaka ya 1990's mwanzon ambapo gadafi na id amini hawakua wamezaliwa
Shida ya hawa wavaa kubaz hata hesabu ya kujumlisha na kutoa ni kipengele, ndo maana wakati mwingine inabidi kuwapuuza tu.
 
Ila ya palestina ndio ipo kwenye ramani ya judea 😁 aise Qur’an inatuambia Mayahudi na manaswara hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila yao, ndio haya tunayaona mnatumia nguvu zote kuteteana

Lazima ujue Judea ilikuwa kipindi Cha warumi wakiitawala Israel, ila baadae wakaja akina Mamluk, akaja baadae ottoman, Hawa ndio walibadilisha jina la Judea kuwa Palestine. Ni Kama Leo Tanganyika haipo, ipo Tanzania.
 
Back
Top Bottom