Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Sana.Tujadili mada mkuu maana unautoa uzi nje ya reli.
Mada uliyoweka ni ya akili kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana.Tujadili mada mkuu maana unautoa uzi nje ya reli.
Mada uliyoweka ni ya akili kubwa.
Kila baada ya miezi mitatu tunasheherekea mwaka mpya.2018 Miaka 12 how?
Sponsor ni code name mkuu.Headline inasema kiongozi content inamzungumzia sponsor, sponsor kwa mujibu wa uzi wako ni nani?
Pumba kama hizi nawaunga mkono moderator wakiwa wanazifuta kupunguza matakata JF.Idara zote za usalama wa nchi kuna idara ya ndani ambayo jukumu lake kuu ni kumdhibiti sponsor. Kwa maslahi ya nchi.
Idara hii ni ndogo na ya hatari mno na wote waliomo ni unnyonimous hata kwa wao wenyewe! Jukumu lao ni la hatari pia kwasababu kunapotokea ulazima wa kumu eliminate sponsor hutakiwa kuact kwa haraka na weledi ili nchi isitikisike na wao wasisalitiane kuvujisha mission japo hutumia code tata sana. Itaendelea...........
Angalizo: moderators hawanipendi huwa wanafuta 90% ya nyuzi zangu.
Ana maanisha yule anaeshika remote na kumcontrol aliekua kamara harris wa huku au sio!!!?Kwa kutaja tu neno Sponsor, Kiintelijensia anaonekana kuna kitu anajua. Tuliosoma Cuba tumemwelewa Sana. Sponsor, Mlaji, Mdhamini na Codes kama hizo hawezi kuzijua Mbumbumbu tu.
Unazani awakupend tatizo wanaogopa avatar yako,ni avatar ngumu sanaIdara zote za usalama wa nchi kuna idara ya ndani ambayo jukumu lake kuu ni kumdhibiti sponsor. Kwa maslahi ya nchi.
Idara hii ni ndogo na ya hatari mno na wote waliomo ni unnyonimous hata kwa wao wenyewe! Jukumu lao ni la hatari pia kwasababu kunapotokea ulazima wa kumu eliminate sponsor hutakiwa kuact kwa haraka na weledi ili nchi isitikisike na wao wasisalitiane kuvujisha mission japo hutumia code tata sana. Itaendelea...........
Angalizo: moderators hawanipendi huwa wanafuta 90% ya nyuzi zangu.
Huyo mjinga mjinga atakueleza nini? Anayejuwa idara ni Rais, DG, Deputy DG na wakurugenzi wa madawati, na angalau RSO, hats DSO hajui, yeye anaripoti taarifa zote kwa RSO hana access zaidi ya hapo, labda kama ni dharura ana access mpaka kwa Rais.Sikutegemea kukukuta huku.
Haya tupe materials ya hii idara ipoje
Kujua sio tatizo ila kumjua nani ni nani ndio ni ngumu..Wewe umejuaje??au ni mmoja wapo wa hao idara nyeti??
HapanaKuna ukweli wowote kwenye hili? Kwamba mwendazake alikuwa na ulinzi personnel kutoka Rwanda?
Leo hata mimi kwa hili ni mbumbumbu ninatoa macho tuKwa kutaja tu neno Sponsor, Kiintelijensia anaonekana kuna kitu anajua. Tuliosoma Cuba tumemwelewa Sana. Sponsor, Mlaji, Mdhamini na Codes kama hizo hawezi kuzijua Mbumbumbu tu.
Hapo kwenye wakurugenzi wa madawati umeenda deep mkuu.Huyo mjinga mjinga atakueleza nini? Anayejuwa idara ni Rais, DG, Deputy DG na wakurugenzi wa madawati, na angalau RSO, hats DSO hajui, yeye anaripoti taarifa zote kwa RSO hana access zaidi ya hapo, labda kama ni dharura ana access mpaka kwa Rais.
Watumishi wengine wote hakuna mtu anayejuwa kazi zaidi ya ofisi anayofanyia kazi, usisikilize porojo.
MkuuWewe umejuaje??au ni mmoja wapo wa hao idara nyeti??
DuhIdara zote za usalama wa nchi kuna idara ya ndani ambayo jukumu lake kuu ni kumdhibiti sponsor. Kwa maslahi ya nchi.
Idara hii ni ndogo na ya hatari mno na wote waliomo ni unnyonimous hata kwa wao wenyewe! Jukumu lao ni la hatari pia kwasababu kunapotokea ulazima wa kumu eliminate sponsor hutakiwa kuact kwa haraka na weledi ili nchi isitikisike na wao wasisalitiane kuvujisha mission japo hutumia code tata sana. Itaendelea...........
Angalizo: moderators hawanipendi huwa wanafuta 90% ya nyuzi zangu.
Nani kasema siyo waoUnataka kusema vifo vya ghafla ni wao?