Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 2, 2024 #2 Nimesoma Mwanzo mpaka mwisho sijaona masharti ya kuingia Antartica zaidi ya porojo tu.
Walt white JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 258 Reaction score 670 Apr 2, 2024 #3 Inaendelea?
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Apr 2, 2024 #4 Kwani maajabu ya Mungu yapo kwenye uumbaji wa sehemu zinazovyutia peke yake.. Mwili wako tu ni very complex ni ajabu Kuu jinsi mifumo ilivyo so mtu kama ni kuamini Mungu aamue tu mwenyewe asifikirie
Kwani maajabu ya Mungu yapo kwenye uumbaji wa sehemu zinazovyutia peke yake.. Mwili wako tu ni very complex ni ajabu Kuu jinsi mifumo ilivyo so mtu kama ni kuamini Mungu aamue tu mwenyewe asifikirie
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Apr 2, 2024 #5 nipe yote said: Inaendelea? Click to expand... Imeisha hiyo.
M Mkono Mmoja JF-Expert Member Joined Jan 26, 2019 Posts 3,359 Reaction score 6,568 Apr 2, 2024 #6 Ukishashikwa katika mkondo wa drake passage uanze kusumbua watu waje kukuokoa
Sangizi JF-Expert Member Joined Nov 9, 2015 Posts 1,942 Reaction score 4,230 Jun 28, 2024 #7 Heading na content ziko tofauti au hatujakuelewa mtoa mada?
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,697 Reaction score 15,497 Jun 28, 2024 #8 Kuna sehemu tuliambiwa haturuhusiwi kupiga picha...ilikuwa kwenye makumbushi!
safuher JF-Expert Member Joined Feb 11, 2019 Posts 11,837 Reaction score 17,412 Jul 29, 2024 #9 Zamaulid said: Kuna sehemu tuliambiwa haturuhusiwi kupiga picha...ilikuwa kwenye makumbushi! Click to expand... Wapi huko
Zamaulid said: Kuna sehemu tuliambiwa haturuhusiwi kupiga picha...ilikuwa kwenye makumbushi! Click to expand... Wapi huko