Je unajua ni kwanini siku ina saa 24?

Je unajua ni kwanini siku ina saa 24?

Inter-grav.jpg
 
Qur-an inasema allah amekuumbieni usiku na mchana ili mpate kujua idadi ya miaka( miezi,masiku,masaa) na hesabu(ahadi mlizowekeana). Kwa kuwa mchana unadumu kwa takriban masaa 12, na usiku unadumu kwa takriban masaa 12. Ndo tunapata masaa 24 ya siku. Allah knows best.

Kwann hiyo iwe 12hrs, kwann mchana usingekuwa na masaa6 na Usiku ukawa na masaa6 ktk kipimo kilekile cha kubalance mchana na usiku... vinginevyo utoe tena andiko linalo-cite kuwa mchana una masaa12...
 
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?

Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...

Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?

Ukifika Addis Ababa utashangaa sana. Hawa jamaa mfumo wao wa masaa ni tofauti. Kwa mfano wao siku inaanza saa kumi na mbili asubuhi. Na masaa yao yako 6hrs nyuma ya masaa ya kawaida(24hrs).

Mfano ukifika kwao saa moja jioni7pm(saa yako ikikwambia saa moja jioni) tambua kuwa wao wako saa saba mchana 1pm. Na ikifika saa sita usiku(kwa saa yako) kama unabadilisha siku wao watakuwa saa kumi na mbili jioni na bado siku ile ile.

Na ikifika saa sita usiku kwa wao bado ni siku ile ile, mpaka ifike saa kumi na mbili asubuhi.
 
Mimi baada ya kukosa jawabu hata ya kubahatisha, niliuliza katika Google, "Why a day has 24 hours?" na nimepata jawabu za kunishawishi niridhike. Ninawashauri wale walio wadadisi watupie jicho huko.

Mkuu unaiamini google....
 
Mkuu unaiamini google....
Google inaweza kuwa rejea ya kuaminika kama unapotafuta kitu unakumbana na vyanzo tafauti vinavyozungumzia suala hilo hilo. Vyenginevyo, kwa kutegemea rejea (reference) moja tu, google haiaminiki. Hata hiyo ya kupata rejea nyingi, inakubidi "...ya kuambiwa, uchanganye na yako."
 
Google inaweza kuwa rejea ya kuaminika kama unapotafuta kitu unakumbana na vyanzo tafauti vinavyozungumzia suala hilo hilo. Vyenginevyo, kwa kutegemea rejea (reference) moja tu, google haiaminiki. Hata hiyo ya kupata rejea nyingi, inakubidi "...ya kuambiwa, uchanganye na yako."

Sure mkuu...
 
Qur-an inasema allah amekuumbieni usiku na mchana ili mpate kujua idadi ya miaka( miezi,masiku,masaa) na hesabu(ahadi mlizowekeana). Kwa kuwa mchana unadumu kwa takriban masaa 12, na usiku unadumu kwa takriban masaa 12. Ndo tunapata masaa 24 ya siku. Allah knows best.

unaposema allah knows best unamcompare na nani?
 
Hayo tumejipangia wenyewe tu kwa maana jela siku moja ina masaa 12
 
kwann hiyo iwe 12hrs, kwann mchana usingekuwa na masaa6 na usiku ukawa na masaa6 ktk kipimo kilekile cha kubalance mchana na usiku... Vinginevyo utoe tena andiko linalo-cite kuwa mchana una masaa12...

qur-an 36:38 "na jua linapita katika vituo vyake.mwendo huo ni makadirio ya mwenye nguvu(za kulipitisha),mwenye ujuzi(masaa 12 ya mchana ufanye kazi kwa kiasi na masaa 12 ya usiku upumzike kwa kiasi) muhimu:qur-an 18:54 ".....mwanadamu ni kiumbe anayependa mijadala"
 
Na hivi mwezi usingekuwepo, siku zingekuwa zinaishia tarehe ngapi?
Wafanyakazi mshahara tungekuwa tunalipwa tarehe ngapi?

😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Lukansola hata kama siku ingekuwa na saa 48, mambo yangekuwa yale yale, mimba ungebebwa miezi 18, labda tofauti ni kwamba watu waliokufa juzi juzi wangekuwa bado wapo na wengi angekuwa hajazaliwa!

😂😂😂😂😂😂
 
siku ikiwa na masaa 48 au 12 miezi na miaka haiwezi kuchange. siku ni muunganisho wa usiku na mchana hivyo siku ikiwa na saa 48 maana yake nusu saa ya sasa ndiyo ingekuwa saa. na siku ikiwa na saa 12 maana yake masaa mawili ya sasa yangakuwa ni saa moja. speed za saa ndiyo zingebadilika.
 
Kama unajua tafadhali nielimishe, nimeijiwa tu na hili wazo from nowhere nikiwaza ingekuwaje siku ingekuwa na saa 48 kwa mfano; ningeweza kuwa na muda zaidi?

Si nadra siku kuisha ukiwa na viporo vya majukumu...

Anyways back to the topic, ni nani aliamua siku iwe na saa 24 tu?

Masaa katika siku yanategemea sayari husika inatumia mda gan kulizunguka jua,. Kwa upande wa earth planet inatumia 24hrs .
Ndo maana kuna masaa 24
 
Back
Top Bottom