FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
kayaman twende naye mdogomdogo tu mbona mweupe tu huyu? Ukali ni dalili ya kutojiamini na kujihami
Wewe unaejiami mbona unashindwa kuja? Nakuapia njoo, halafu kesho uje kuhadithia humu JF, kama utaweza. Unangoja nini?
Kama huijuwi Kariakoo, mwaka huu utaijuwa, tafadhal.
